Tetesi: Hushpuppi hatima ya tuhuma zake fraud na scam zimefikia wapi?

Tetesi: Hushpuppi hatima ya tuhuma zake fraud na scam zimefikia wapi?

Mwingine huyu !anashugulika na nini?
Kama anafanya magumashi soon watamuokota

Ova
Berue de exchange in dubai yaan hizo ndio mishe zake kubwa ana C.E.O BERUE DE EXCHANGE IN DUBAI kama ilivokuwa kwa Laswai wa moshi. Mompha ni top officer.
 
Wamemkamata kijinga sana, alipost picha za birthday yake, FBI waka confirm identity yake kwenye US visa application kwa ku match date of birth ya visa application na yake.

Mara ya mwisho kesi yake ilitajwa over the summer huku alikuwa kafungwa rumande Chicago.

Ujanja mwingi, mbele kiza.

Yani hata mimi sina zali yoyote na serikali najua ku post birthday social media ni janga.

Sometime you can take the kid out of the village, but you can't take the village out of the kid.

Mafiosi old school wanasema kutengeneza hela haramu si kazi sana, kazi sana ni kuendelea kuishi kama huna hela wakati una hela haramu kibao.

Kuna kinyegenyege fulani cha kutaka watu wakujue.

Waswahili wanasema "Masikini akipata, matako hulia mbwata"

Ndiyo maana huwezi kusikia watoto wa Bill Gates wanajishaua na magari ya kifahari Instagram. Ni vitu fulani ambavyo hawahitaji kuvilimbukia.


 
Aisee umetufungua vema juu ya huyu jamaa, tuseme alilewa uwezo aliokuwa nao.
 
.....................Ni ujinga tu,yuko wapi sasa si huyo hapo wameshamng'ang'ania?angekaa kimya angeendelea kutusua mdogo mdogo ila miluzi yake mwenyewe imemuuza.

Yupo jamaa mmoja wa kiarabu ni hacker nadhani ni mu-Algeria yeye ishu zake alikuwa anapiga kwenye ma international banks tu yaani alikuwa akipata upenyo kidogo anasafisha account ila alikuwa hamiliki hata Altezza hata siku alipokamatwa Thailand huko hawakuamini kama ni yeye kwa jinsi alivyokuwa amevaa ila hii rangi ya mkaa hela kidogo tu server za mitandao zinajaa mapicha mapicha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Dah nimecheka sana rangi ya mkaa. Yani nigga ni mtu wa ajabu sana
 
Wamemkamata kijinga sana, alipost picha za birthday yake, FBI waka confirm identity yake kwenye US visa application kwa ku match date of birth ya visa application na yake.

Mara ya mwisho kesi yake ilitajwa ovwr the summwr huku alikuwa kafungwa rumande Chicago.

Ujanja mwingi, mbele kiza.

Yani hata mimi sina zali yoyote na serikali najua ku post birthday social media ni janga.

Sometime you can take the kid out of the village, but you can't take the village out of the kid.

Mafiosi old school wanasema kutengeneza hela haramu si kazi sana, kazi sana ni kuendelea kuishi kama huna hela wakati una hela haramu kibao.

Kuna kinyegenyege fulani cha kutaka watu wakujue.

Waswahili wanasema "Masikini akipata, matako hulia mbwata"

Ndiyo maana huwezi kusikia watoto wa Bill Gates wanajishaua na magari ya kifahari Instagram. Ni vitu fulani ambavyo hawahitaji kuvilimbukia.


 
Back
Top Bottom