Hushpuppi kabambikiwa kesi kwa sababu ya ushamba pamoja na Mwafrika kuchukiwa akiwa na maisha ya juu

Hushpuppi kabambikiwa kesi kwa sababu ya ushamba pamoja na Mwafrika kuchukiwa akiwa na maisha ya juu

Huyo husshppi ndo nimeona leo niingie page yake instagram nijionee. Watu wanajua kuishi aisee watu wanakula rahaaa japo muda mfupi una injoyyyyyyy kabla hayajasanuka kama yalivyomsanukia.
Yaaan acha kabisaaa dea, Dunia haiko fair hat kidogo, kuna tofaut kubwa San kat ya maisha na uhai, still pumzi tyuuh iwepo.
 
Damon lol ana wasi wasi Dubai akawa anaiona BBC tyuuh 4rom now tyme. Khaaaaaaaah
 
**** it kabisa.. mzungu hajawahi kumpenda muafrika, mimi nilijua tu this day will come, pesa zako unashindwa hata kutanua nazo sababu unaogopa utashikwa, ni lazima walikua wanawaangalia tu na kushikwa na hasira kwamba a black man ananunua magari kila wiki, ana pesa za kutisha, utajiri wa kutisha, na pia maadui wao hao jamaa unakuta pengine kuna waarabu humo na wazungu hawakua wanapenda show off za hao jamaa, nimechukizwa na hizi habari japo nilitegemea hii siku ingekuja, bora hata ukiwa na pesa zako unatanua kimya kimya tu
Mzee Dangote nae ni mwafrika ujue!

Wenzetu huwa wanapeleleza sana chanzo chako cha kuingiza hela. Money laundering ni big issue. Usiingize urangi au uasili hapo. Wacha jamaa wafanye kazi yao ya upelelezi, watoe ushahidi wao na majamaa wajitetee kwa ushahidi wao vyanzo vyao vya mapato. Sio kila akikamatwa mtu mweusi mnasema kuwa anachukiwa.

Sasa kama mtu amekula $35Million za ventillators unataka aachiwe tu?
 
Mkuu hao mapompo tumeishi nao sana mbele ,majamaa ni wapigaji lakini wanaacha kurudi kwao ,mwisho wa siku wana hela nyingi ,starehe ,magari Makali hadi wanashtukiwa na wenyeji maana kazi zao hazionekani ,heri wangekuwa wanapiga hela na kuwekeza home na kuishi home waendeleze biashara
Wewe mpigaji, fedha umepata kiupigaji
Alafu unajionesha mtandaoni
Unategemea nini hapo

Ova
 
Hivi kupata nafasi ya kumvua chupi mtoto mzuri huddah the boss chick ni kiasi gani?

Yule mtoto nataka nimchukukie mkopo finca. Kwani pesa kitu gani?

Dollar 3,000 au TZS 7,000,000 anavua chupi?

Mtoto kama yule ukimla hata ukifa you die with dignity.
Amepanguswa Msomali huyo utapiga yeye anasoma gazeti
 
Hapana mkuu ukizoeana nao na wakakuamini hawana shida ,wanachoogopa ukijua utamchomea ramani.

Mi nilifundishwa na kufanya mishe moja ilipofanikiwa sikurudi ,majamaa wakanogewa balaa baadaye wakakamatwa sasa hivi wapo ndani wanatumikia
Wanajua sana, na ana labda uwe mnaija mwenzake hawezi kukuonyesha
 
Majamaa ni wazuri sana wakikuamini ,ila hata wao kwa wao wanaishi kwa codes hawaaminiani.

Hizo hela za mitandao ya dating ni zile za mboga.

Lakini kuna mikataba ya uuzwaji mafuta na madini mitandaoni hizo ndo mamillions za hela,anaweza akahangaikia mishe kama hiyo hata miezi 6 ikitiki ndo umetoka kimaisha
Nilikua na Rafik yangu mnigeria , yeye huwa anawatapeli sana wazungu , anaingia kwenye mtandao , hizi dating sites , anajifanya demu anatengeneza prfile ya mwanamke then anachat na wazungu, huwa wana collaborate na madem kwenye kuongea nao kwenye simu hili kuthibitisha kuwa ni wao , na alikua anatengeneza pesa ndefu sana .

Wabongo wengi tumezubaa sio wajanja kama wanaigeria, those people they know how to make money hawalali na njaa

I had a friend in Dubai also Nigerian , yeye alikua anajiuza yeye mwenyewe , anauza madawa ya kulevya, anauza watu , Ana deal ns wizi wa pesa za mitandaon , yan hakuna biashara haramu ambayo hafanyi[emoji23], yan utafikir wana mapepo.

Japokua watu wanaona wana roho ngumu , wanaigeria wengi wana huruma na upendo, japokua wana makelele sana na ni wakorofi, ukiishi na mnigeria huwez kulala njaa mjin
 
Yeah , wanaigeria ni wachawi, nimeishi nao, wana mairizi mwili mzima, halafu funny enough wengi ni Sex workers , wanaijeria huwa wamebarikiwa Sana maumbile yao , na wazungu huwa wanapenda wana midude mikubwa , Mwaka 2017 tulikua pattaya huko thailand na Rafik yangu mnigeria, kwa siku alikua anatengeneza $5000 had 10 kwa kuwafanya wazungu[emoji23]

Tukitoka hapo tunaenda five star hotel kula bata, mapicha kama yote[emoji23]
Kuna malaya fulani pale Mikocheni nyuma ya Clouds ,kuna kabar fulani hapo utawakuta watangazajiwengi wa Clouds ,akina PJ wakinywa maji ya Mchikichini nilimsikia malaya mmoja akisema hata iwekwe 1m mezani kamwe hawezi kwenda na Mnaija,alisema wanaija wana mikonga na hata wamasai wanasingiziwa kwa stamina
 
Kuna malaya fulani pale Mikocheni nyuma ya Clouds ,kuna kabar fulani hapo utawakuta watangazajiwengi wa Clouds ,akina PJ wakinywa maji ya Mchikichini nilimsikia malaya mmoja akisema hata iwekwe 1m mezani kamwe hawezi kwenda na Mnaija,alisema wanaija wana mikonga na hata wamasai wanasingiziwa kwa stamina

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyo husshppi ndo nimeona leo niingie page yake instagram nijionee. Watu wanajua kuishi aisee watu wanakula rahaaa japo muda mfupi una injoyyyyyyy kabla hayajasanuka kama yalivyomsanukia.

We acha tu , mpaka unajiuliza kama watu Duniani wanakula raha hivi Uko mbinguni (kama kupo) Sijui itakuaje, jamaa kaishi maisha bwana
 
Hivi kupata nafasi ya kumvua chupi mtoto mzuri huddah the boss chick ni kiasi gani?

Yule mtoto nataka nimchukukie mkopo finca. Kwani pesa kitu gani?

Dollar 3,000 au TZS 7,000,000 anavua chupi?

Mtoto kama yule ukimla hata ukifa you die with dignity.
Actually nimemwona sehem akila bata,nadhani ni picha zinatuchanganya,nimeona ni wa kawaida kabisa
 
Back
Top Bottom