Hussein Bashe amechoka Uwaziri na kuamua kumchafua Rais Samia kwa Watanzania?

Akili zimerudi sasa kama umesikitika. Tunaposema haya ni matapeli tunamaanisha
 
Hivi unataka kusema ndio leo unakifahamu kiburi cha Bashe?
Kwa taarifa tu, huyo Mama hawezi kumtoa huyo kijana. Wewe endelea kububujikwa na machozi.
 
Aliposhindwa kutekeleza hilo akaiba uchaguzi wa 2020.
Hivi wewe kwa akili yako mwaka 2020 kulikuwa na upinzani wakuweza kushinda uchaguzi kweli!!? Hata sasa hivi yaani uchaguzi wa 2024 na 2025 kuna upinzani wa kuweza shinda kweli. Kuwa mkweli basi mkuu!!
 

Hawez kuongea vile from no where
 
Mlivyomuondoa Ole Mushi mkidhani mtajaza pengo lake, kumbe mmeweka big g kwenye gego.

SAMIA MUST GO
 
Nimelia sana hadi Jirani kaniuliza umefiwa nini Kamleta Mwenyekiti nimemuonyesha hili andiko lako Mwenyekiti kazimia kabisa hapa nimenyamaza nampepea Mwenyekiti ili akiamka nianze kulia sana Roho inauma mnooo😭
 
akaunti ya chawa imedukuliwa walah 🙂
 
Ukiwa chawa bhana...hata kukosoa unakosoa kwa kusifia! Ni ngumu kumtenganisha waziri na mkuu wake, ngumu mno so mpaka hapo ushajua...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…