Hussein Bashe amechoka Uwaziri na kuamua kumchafua Rais Samia kwa Watanzania?

Mkuu mara ya mwisho Tanzania kufanya uchaguz ilikuwa 2015 hzo nyngne ilikuwa kuwaachia wagonjwa wa akili kama knabashe kunda bungen kusubria maposho na upgaji mda ukfka 2025 watahara kwa mdomo hii nchi syo yakupelekwa kama gar bovu
 
Ukiondoa uchawa na kujikombakomba kuliko pitiliza kwa Rais Samia hadi kuonekana kama taahira fulani, ukweli unabaki you one of the few wenye good brain!.
Hili ndio bandiko lako la kwanza la kizalendo lenye objectivity ya kutanguliza mbele maslahi ya taifa, na sio bandiko la kichawa!.
Hongera sana for this!.
Naomba nikufinye sikio, kama unataka bright future CCM, kuwa mnafiki!, ukiwa mkweli wa kiwango hiki, make sure you are independent.
2. Stay away from powerful people!, Husein Bashe is very powerful, good brain, high IQ, very bright and brilliant, he is no nonsense man!
P
 
Sio bure wewe unavutaga bange za chooni.
 
Mwandishi umeegamia upande mmoja haukumskiliza Mh. Bashe alivosema hadi mwisho, alisema hivi "ataenda kuonana na wananchi wa kisesa na kuwauliza kama zile tuhuma anazozitoa mbunge wao ni tuhuma ambazo na wao wanaziamini zipo basi serikali haitapeleka kweli hizo dawa lakini kama sio maoni yao bali ni ya mbunge binafsi basi serikali itapeleka huduma kama kawaida bila kujali maneno ya mh. Mpina"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…