Hussein Bashe: Hatutapeleka mbolea, mbegu wala wanunuzi wa Pamba Kisesa

Hussein Bashe: Hatutapeleka mbolea, mbegu wala wanunuzi wa Pamba Kisesa

Kauli kutoka kwa Kiongozi mwenye upeo mdogo!
Wewe Bashe umejiridhisha kwa utafiti upi kuwa madai ya Mpina hayakuwa kweli!
Unaposema Sisi Serikali,je uamuzi wa kutopeleka Mbegu na Wanunuzi ni uamuzi wako binafsi au ni maamuzi ya Baraza la Mawaziri!?
Acha kulewa madaraka, fuata Sheria ktk utendaji wako!
 
Ngoma ikisifiwa mlio ujue iko karibu kupasuka. Kelele na majigambo ya BRN yalipelekea MH Rais kuja na msemo "Ukitaka kazi ngumu iwe nyepesi mpe Msomali".

Ghafla Jana Bashe alitoa kauli tata ya kwamba "serikali" haitapeleka mbolea, mbegu wala wanunuzi kwenye Jimbo la Kisesa ili Mbunge wa Jimbo hilo anayetuhumu kwamba mbolea na mbegu za Pamba zilizopelekwa mwaka jana huko Kisesa zilikuwa feki na wanunuzi walikwenda kununua pamba toka kwa wakulima walitoa bei ya chini isiyorejesha gharama za wakulima na kuwapa faida.

Bashe anaposema Serikali haitapeleka inaonyesha kauli yake inatoka Baraza la Mawaziri.

Na kama ni kauli binafsi tunatarajia Mh. Rais afanye kama aliyofanya Kwa Waziri wa Kura feki.

Mbegu na mbolea za ruzuku zinanunuliwa kwa fedha za walipa kodi wakiwemo wa Kisesa.

Hivyo kuchukua kodi na huku hupeleki huduma Kwa kisingizio cha Mbunge wao kukutuhumu ni udikiteta

View attachment 3093882

Badala ya kufanya uchunguzi ili kuona kama maneno ya Mpina yana ukweli yafanyiwe kazi au kama ni ya uongo achukuliwe hatua, Waziri anakuja na approach ya ukewenza kwenye fedha za Umma?

Soma pia: Waziri Bashe kujiuzulu muda wowote kumfuata Kinana
Hayo ni maneno ya Samia Suluhu kupitia waziri wake.
 
Ngoma ikisifiwa mlio ujue iko karibu kupasuka. Kelele na majigambo ya BRN yalipelekea MH Rais kuja na msemo "Ukitaka kazi ngumu iwe nyepesi mpe Msomali".

Ghafla Jana Bashe alitoa kauli tata ya kwamba "serikali" haitapeleka mbolea, mbegu wala wanunuzi kwenye Jimbo la Kisesa ili Mbunge wa Jimbo hilo anayetuhumu kwamba mbolea na mbegu za Pamba zilizopelekwa mwaka jana huko Kisesa zilikuwa feki na wanunuzi walikwenda kununua pamba toka kwa wakulima walitoa bei ya chini isiyorejesha gharama za wakulima na kuwapa faida.

Bashe anaposema Serikali haitapeleka inaonyesha kauli yake inatoka Baraza la Mawaziri.

Na kama ni kauli binafsi tunatarajia Mh. Rais afanye kama aliyofanya Kwa Waziri wa Kura feki.

Mbegu na mbolea za ruzuku zinanunuliwa kwa fedha za walipa kodi wakiwemo wa Kisesa.

Hivyo kuchukua kodi na huku hupeleki huduma Kwa kisingizio cha Mbunge wao kukutuhumu ni udikiteta

View attachment 3093882

Badala ya kufanya uchunguzi ili kuona kama maneno ya Mpina yana ukweli yafanyiwe kazi au kama ni ya uongo achukuliwe hatua, Waziri anakuja na approach ya ukewenza kwenye fedha za Umma?

Soma pia: Waziri Bashe kujiuzulu muda wowote kumfuata Kinana
Mabillion ya sukari yamemlevya huyu Bashe
 
Ngoma ikisifiwa mlio ujue iko karibu kupasuka. Kelele na majigambo ya BRN yalipelekea MH Rais kuja na msemo "Ukitaka kazi ngumu iwe nyepesi mpe Msomali".

Ghafla Jana Bashe alitoa kauli tata ya kwamba "serikali" haitapeleka mbolea, mbegu wala wanunuzi kwenye Jimbo la Kisesa ili Mbunge wa Jimbo hilo anayetuhumu kwamba mbolea na mbegu za Pamba zilizopelekwa mwaka jana huko Kisesa zilikuwa feki na wanunuzi walikwenda kununua pamba toka kwa wakulima walitoa bei ya chini isiyorejesha gharama za wakulima na kuwapa faida.

Bashe anaposema Serikali haitapeleka inaonyesha kauli yake inatoka Baraza la Mawaziri.

Na kama ni kauli binafsi tunatarajia Mh. Rais afanye kama aliyofanya Kwa Waziri wa Kura feki.

Mbegu na mbolea za ruzuku zinanunuliwa kwa fedha za walipa kodi wakiwemo wa Kisesa.

Hivyo kuchukua kodi na huku hupeleki huduma Kwa kisingizio cha Mbunge wao kukutuhumu ni udikiteta

View attachment 3093882

Badala ya kufanya uchunguzi ili kuona kama maneno ya Mpina yana ukweli yafanyiwe kazi au kama ni ya uongo achukuliwe hatua, Waziri anakuja na approach ya ukewenza kwenye fedha za Umma?

Soma pia: Waziri Bashe kujiuzulu muda wowote kumfuata Kinana
Mpina mpuuzi mmoja. Anailetea hasira serikali nzima hajui ni kwa maumivu ya wakulima wake mwenyewe.

Kawa mjinga sana huyo mwananzengo analaumu bila ya kuwa hata na chembe ya ukweli wa hicho anachokilaumu.
 
hata kama kuna kauli zimetolewa kukosoa serikali lakini kudhani kuwanyima huduma wananchi ili kumkomoa mpina ni ujinga uliopitiliza na kwa hili si tu alipasa aombe radhi wana kisesa bali watanzania kwa ujumla wake.
Mpina mbunge wao pia asimame na kuomba radhi kwa hizo tuhuma zake kwa serikali kuu, Huwa serikali zinaongozwa na binadamu sio malaika.

Unapoibuka na kujua kulaumu kwa kila jambo angalau uwe na suluhisho la hicho usichokiunga mkono.
 
Okay nimecheki hio Video na nimekuja na points kadhaa....
  • Kama kweli hivyo vitu ni feki na havifai au kiwango ni cha chini basi ni Haki ya Mbunge au mlipa kodi yoyote kuongea kwamba havifai
  • Kama Serikali inasema ni iether kupeleka huduma duni au kutokupeleka basi isipeleke lakini pia isichukue kodi wala kuwakataza wakulima na wadau kuuza popote wanapotaka (Huwezi kuchukua pesa yangu through Kodi alafu ukasema wajibu wako ni Hisani)
Nilishasema kitambo huyu jamaa analeta siasa za kutafuta wachawi badala ya kujikita kwenye kutafuta suluhisho na ndio maana nilisema kitambo

Kwanini hizo mbolea ziwe hazifai kwenye jimbo lako pekee na kwa wengine zitumike bila ya shida yoyote ile?.

Mpina ni mjinga tu, ana hasira za kwanini Rais Samia anaongoza nchi muda huu anasahau kuwa Mpango wa Mungu huwa haupingwi kwa nguvu za kibinadamu.
 
Ngoma ikisifiwa mlio ujue iko karibu kupasuka. Kelele na majigambo ya BRN yalipelekea MH Rais kuja na msemo "Ukitaka kazi ngumu iwe nyepesi mpe Msomali".

Ghafla Jana Bashe alitoa kauli tata ya kwamba "serikali" haitapeleka mbolea, mbegu wala wanunuzi kwenye Jimbo la Kisesa ili Mbunge wa Jimbo hilo anayetuhumu kwamba mbolea na mbegu za Pamba zilizopelekwa mwaka jana huko Kisesa zilikuwa feki na wanunuzi walikwenda kununua pamba toka kwa wakulima walitoa bei ya chini isiyorejesha gharama za wakulima na kuwapa faida.

Bashe anaposema Serikali haitapeleka inaonyesha kauli yake inatoka Baraza la Mawaziri.

Na kama ni kauli binafsi tunatarajia Mh. Rais afanye kama aliyofanya Kwa Waziri wa Kura feki.

Mbegu na mbolea za ruzuku zinanunuliwa kwa fedha za walipa kodi wakiwemo wa Kisesa.

Hivyo kuchukua kodi na huku hupeleki huduma Kwa kisingizio cha Mbunge wao kukutuhumu ni udikiteta

View attachment 3093882

Badala ya kufanya uchunguzi ili kuona kama maneno ya Mpina yana ukweli yafanyiwe kazi au kama ni ya uongo achukuliwe hatua, Waziri anakuja na approach ya ukewenza kwenye fedha za Umma?

Soma pia: Waziri Bashe kujiuzulu muda wowote kumfuata Kinana
Bashe alipokuwa back bencha alikuwa na akili sana ila sasa nimeprove km serikali ya Tz INADUMAZA UWEZO na AKILI za watumishi!!!
 
Ngoma ikisifiwa mlio ujue iko karibu kupasuka. Kelele na majigambo ya BRN yalipelekea MH Rais kuja na msemo "Ukitaka kazi ngumu iwe nyepesi mpe Msomali".

Ghafla Jana Bashe alitoa kauli tata ya kwamba "serikali" haitapeleka mbolea, mbegu wala wanunuzi kwenye Jimbo la Kisesa ili Mbunge wa Jimbo hilo anayetuhumu kwamba mbolea na mbegu za Pamba zilizopelekwa mwaka jana huko Kisesa zilikuwa feki na wanunuzi walikwenda kununua pamba toka kwa wakulima walitoa bei ya chini isiyorejesha gharama za wakulima na kuwapa faida.

Bashe anaposema Serikali haitapeleka inaonyesha kauli yake inatoka Baraza la Mawaziri.

Na kama ni kauli binafsi tunatarajia Mh. Rais afanye kama aliyofanya Kwa Waziri wa Kura feki.

Mbegu na mbolea za ruzuku zinanunuliwa kwa fedha za walipa kodi wakiwemo wa Kisesa.

Hivyo kuchukua kodi na huku hupeleki huduma Kwa kisingizio cha Mbunge wao kukutuhumu ni udikiteta

View attachment 3093882

Badala ya kufanya uchunguzi ili kuona kama maneno ya Mpina yana ukweli yafanyiwe kazi au kama ni ya uongo achukuliwe hatua, Waziri anakuja na approach ya ukewenza kwenye fedha za Umma?

Soma pia: Waziri Bashe kujiuzulu muda wowote kumfuata Kinana
Ameshindwa kushughulica na Mpina sasa anashugulika na watanzania.
 
Kwanini hizo mbolea ziwe hazifai kwenye jimbo lako pekee na kwa wengine zitumike bila ya shida yoyote ile?.

Mpina ni mjinga tu, ana hasira za kwanini Rais Samia anaongoza nchi muda huu anasahau kuwa Mpango wa Mungu huwa haupingwi kwa nguvu za kibinadamu.
Kwamba majimbo yote yana mazao sawa, mahitaji sawa na uhitaji wa virutubisho na mbolea sawa ? Au kama majimbo mengine wanakubaliana na substandard na wewe ukubaliane nayo ?

Yeye ameongea kama mwakilishi wa jimbo lake na sio mwakilishi wa majimbo ya Tanzania, hivyo huenda yeye anaona it can be better..., kwahio kama option ni kuacha kupeleka basi waache ila wasichukue Kodi wala kulazimisha watu sehemu ya kuuza...;
 
Kwamba majimbo yote yana mazao sawa, mahitaji sawa na uhutaji wa virutubisho na mbolea sawa ? Au kama majimbo mengine wanakubaliana na substandard na wewe ukubaliane nayo ?

Yeye ameongea kama mwakilishi wa jimbo lake na sio mwakilishi wa majimbo ya Tanzania, hivyo huenda yeye anaona it can be better..., kwahio kama option ni kuacha kupeleka basi waache ila wasichukue Kodi wala kulazimisha watu sehemu ya kuuza...;
Huyo Mpina ajifunze kuongea vitu katika mtazamo ulio chanya sio kila kitu kwake ni kibaya tu, anakuwa kama kachanganyikiwa hivi.
 
Back
Top Bottom