Intelligence Justice
JF-Expert Member
- Oct 23, 2020
- 3,443
- 4,006
Tabia za kisomali huwa hazibadiliki hata kama atazaliwa nchi tofauti na Somaliland. Msomali aliyependelewa kupewa cheo leo anatamka hadharani hatoi huduma kwa Mtanganyika huku kodi anazichukua kwenda kujinafasi?!!Okay nimecheki hio Video na nimekuja na points kadhaa....
Nilishasema kitambo huyu jamaa analeta siasa za kutafuta wachawi badala ya kujikita kwenye kutafuta suluhisho na ndio maana nilisema kitambo
- Kama kweli hivyo vitu ni feki na havifai au kiwango ni cha chini basi ni Haki ya Mbunge au mlipa kodi yoyote kuongea kwamba havifai
- Kama Serikali inasema ni iether kupeleka huduma duni au kutokupeleka basi isipeleke lakini pia isichukue kodi wala kuwakataza wakulima na wadau kuuza popote wanapotaka (Huwezi kuchukua pesa yangu through Kodi alafu ukasema wajibu wako ni Hisani)
Majukumu ya Waziri wa Kilimo ni yapi?
Imetokea kasumba mbovu ambayo mwisho wa siku ninaiita cheap politics na divide and rule..., Waziri amekuwa akijinasibu mtetezi wa wakulima kwamba hawapangii Bei na kuonyesha kana kwamba walaji ni wanyonyaji ambao wanataka kunyonya jasho la mkulima. Lakini ukiangalia kwa marefu na mapana hawa...www.jamiiforums.com
This arrogant behavior has now grown beyond derogatory assault; it is appealed to the appointing authority to hold him accountable for his discriminatory statement.