Hussein Bashe ni janga kubwa kwa taifa letu. Hatufai leo, hatufai kesho na hatufai kesho kutwa!

Hussein Bashe ni janga kubwa kwa taifa letu. Hatufai leo, hatufai kesho na hatufai kesho kutwa!

Mganguzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2022
Posts
1,604
Reaction score
3,715
Hussein Bashe waziri wa kilimo amekuwa muongo kupindukia. tukianzia nzega hapa hapa jimboni kwake hakuna chakura na hali ni mbaya sana.

Ukiingia mitaani kuna familia hata mlo mmoja ni shida! Katika biblia kuna hadithi ya yusufu aliemshauri mfalme farao ahifadhi chakura kwa kuwa kuna dalili kubwa ya njaa! WAZIRI WETU BASHE YEYE ALIMSHAURI MFALME WETU CHAKULA KILICHOPO KIUZWE NJE! Hali imekuwa mbaya, na inatisha sana.

Huko mikoani bei zipo juu ambazo raia wa kawaida hawezi kumudu yeye BASHE jana anamdanganya mfalme na umma wa watanzania kwamba ETI NCHI INA CHAKULA CHA KUTOSHA. huu ni uongo wa mchana usiofaa kabisa, amefanyia wapi hiyo research?

Na anadhani chakula kinapatikana kwenye makaratasi anayoyaita takwimu? BASHE hivi umetembelea masoko ya nafaka kama Kibaigwa, Njombe na rukwa ukaona hali iliyopo? kwanini usiongee ukweli na nchi ikapona? Unaogopa kumkosea mfalme kuliko kuwakosea wananchi?

BASHE UMEJIANGUSHA MWENYEWE NA UMEWAANGUSHA UIJANA WENZAKO!! #nchi ina njaa #nchi haina chakura
 
Hussein Bashe waziri wa kilimo amekuwa muongo kupindukia. tukianzia nzega hapa hapa jimboni kwake hakuna chakura na hali ni mbaya sana.

Ukiingia mitaani kuna familia hata mlo mmoja ni shida! Katika biblia kuna hadithi ya yusufu aliemshauri mfalme farao ahifadhi chakura kwa kuwa kuna dalili kubwa ya njaa! WAZIRI WETU BASHE YEYE ALIMSHAURI MFALME WETU CHAKULA KILICHOPO KIUZWE NJE! Hali imekuwa mbaya, na inatisha sana.

Huko mikoani bei zipo juu ambazo raia wa kawaida hawezi kumudu yeye BASHE jana anamdanganya mfalme na umma wa watanzania kwamba ETI NCHI INA CHAKULA CHA KUTOSHA. huu ni uongo wa mchana usiofaa kabisa, amefanyia wapi hiyo research?

Na anadhani chakula kinapatikana kwenye makaratasi anayoyaita takwimu? BASHE hivi umetembelea masoko ya nafaka kama Kibaigwa, Njombe na rukwa ukaona hali iliyopo? kwanini usiongee ukweli na nchi ikapona? Unaogopa kumkosea mfalme kuliko kuwakosea wananchi?

BASHE UMEJIANGUSHA MWENYEWE NA UMEWAANGUSHA UIJANA WENZAKO!! #nchi ina njaa #nchi haina chakura
Yaani katika mtu wa hovyo kuliko wote ni wewe na andiko lako.

1. Chakula kipo knye ghala za taifa na kinauzwa hata wewe ukitaka leo kanunue NFRA bei ni shilingi 620 kwa kilo. na bei ni hiyo hiyo mikoa yote
2. Issue ya kuzuia kupeleka mazao nje ndo ulidumaza watu kuwekeza knye kilimo, maana unazalisha kwa bei juu kisha soko linasumbua suluhu ni sasahivi chakula kiuzwe hata chote ili mwaka kesho watu wengi wakawekeze knye kilimo baada ya kuona faida
3. Dunia nzima hakuna mtu anakuletea chakula nyumbani lazima ukitafute sasa waziri unataka afanye nini?
 
Yaani katika mtu wa hovyo kuliko wote ni wewe na andiko lako.

1. Chakula kipo knye ghala za taifa na kinauzwa hata wewe ukitaka leo kanunue NFRA bei ni shilingi 620 kwa kilo. na bei ni hiyo hiyo mikoa yote
2. Issue ya kuzuia kupeleka mazao nje ndo ulidumaza watu kuwekeza knye kilimo, maana unazalisha kwa bei juu kisha soko linasumbua suluhu ni sasahivi chakula kiuzwe hata chote ili mwaka kesho watu wengi wakawekeze knye kilimo baada ya kuona faida
3. Dunia nzima hakuna mtu anakuletea chakula nyumbani lazima ukitafute sasa waziri unataka afanye nini?
Umempa makavu kuna watu hawajielewi huwezi kula kama hufanyi kazi. Mimi sasa hivi nimetoka sokoni kila kitu kipo soko limejaa na bado mteja unagombaniwa.
 
Umempa makavu kuna watu hawajielewi huwezi kula kama hufanyi kazi. Mimi sasa hivi nimetoka sokoni kila kitu kipo soko limejaa na bado mteja unagombaniwa.
Na sasahivi watu wengi watawekeza sana knye kilimo kwa sababu soko lipo , zamani watu wanawekeza knye mabaa na groceries kwa sababu ndo zina faida bashe na wizara wanajitahidi sana kufanya kilimo kuwa biashara na kuweka miundo mbinu ya kilimo, sema Watanzania tunajua kukatishana tamaa sana
 
Sio kweli. Bashe alimsoma huyu mama akamuelewa. Mama ukimpa ushauri wowote ambao ulikuwa unatekelezwa enzi za Magu anakutoa anaona humfai kwa serikali yake.

Ndio maana kwa sasa mawaziri hawasikiki tena hadi kina ummy mwalimu.

Umesahau alichofanyiwa profesa Mkenda alipojaribu kuelezea kuhusu utoaji wa vibali kuingiza sukari nchini?

Nikueleze tu, Bashe is very smart kuliko unavyodhani. Anamjua mtu anayefanya nae kazi na watu waliopo nyuma yake. Hili la nchi kuja kukosa chakula alilijua vizuri kabisa na alikuwa na uwezo wa kulidhibiti, tatizo aliyepo juu yake.

Tena nikuambie bashe ni timu Lowasa kindakindaki, timu iliyosababisha chama kimfie mkononi JK 2015. Lakini yuko pale sababu anaogopwa maana Bashe pia ni mtoto wa Rostam kikazi. Na samia na wenzie wanaijua nguvu ya Rostam.
 
Yaani katika mtu wa hovyo kuliko wote ni wewe na andiko lako.

1. Chakula kipo knye ghala za taifa na kinauzwa hata wewe ukitaka leo kanunue NFRA bei ni shilingi 620 kwa kilo. na bei ni hiyo hiyo mikoa yote
2. Issue ya kuzuia kupeleka mazao nje ndo ulidumaza watu kuwekeza knye kilimo, maana unazalisha kwa bei juu kisha soko linasumbua suluhu ni sasahivi chakula kiuzwe hata chote ili mwaka kesho watu wengi wakawekeze knye kilimo baada ya kuona faida
3. Dunia nzima hakuna mtu anakuletea chakula nyumbani lazima ukitafute sasa waziri unataka afanye nini?
Moja ya jukumu la serikali ni kuhakikisha kuna usalama wa chakula ikiwemo kusimamia chakula kuingia na kutoka nchini.

Hicho chakula huko NFRA wakitokea wajanja wachache wakaamua kununua kwa wingi wakapeleka nje mtakula nini?
 
Sio kweli. Bashe alimsoma huyu mama akamuelewa. Mama ukimpa ushauri wowote ambao ulikuwa unatekelezwa enzi za Magu anakutoa anaona humfai kwa serikali yake.

Ndio maana kwa sasa mawaziri hawasikiki tena hadi kina ummy mwalimu.

Umesahau alichofanyiwa profesa Mkenda alipojaribu kuelezea kuhusu utoaji wa vibali kuingiza sukari nchini?

Nikueleze tu, Bashe is very smart kuliko unavyodhani. Anamjua mtu anayefanya nae kazi na watu waliopo nyuma yake. Hili la nchi kuja kukosa chakula alilijua vizuri kabisa na alikuwa na uwezo wa kulidhibiti, tatizo aliyepo juu yake.

Tena nikuambie bashe ni timu Lowasa kindakindaki, timu iliyosababisha chama kimfie mkononi JK 2015. Lakini yuko pale sababu anaogopwa maana Bashe pia ni mtoto wa Rostam kikazi. Na samia na wenzie wanaijua nguvu ya Rostam.
Hakuna ulichoandika hapa mkuu. Hivi kwanini mnataka mkulima akandamizwe kwa ajili yenu? Bashe anatenda kwa weledi na anaelewa kwanini watu walikimbia kilimo. Kwa tunakoenda hata malalamiko ya kukosa ajira yatapungua kwa kuwa kilimo kitalipa. Hayo mengine uliyoandika hayana maana yoyote zaidi tu ya kuonesha kuwa humkubali mama Samia.
 
Tatizo umezoea kulalamika na akili Yako haiwezi kuona fursa ya kutatua matatizo zaidi
Ulitaka waziri akalime mashamba awagawie wananchi chakula
Kama umeona uhitaji wa chakula Kwa soko la ndani na nje Kwa watu wenye akili hiyo ni fursa ya kwenda shambani
Mara ngapi mazao ya wakulima yanaharibika Kwa kukosa solo , mliawasaidiaje



Kwa Sasa Tuko kwenye soko huria , hiyo sera ya kuzuia mazao ya wakulima na kuwapangia bei ndo imefanya wakulima kuwa maskini was kutupwa kwa miaka 60 ya uhuru
Kilimo ni sawa kiwanda kinachohitaji gharama kubwa sana ili kukiendesha Hadi kuuza na kupata faida,
Anayetakiwa achugue soko la kuuza ni mwenye kiwanda, kulingana na gharama zake na faida yake aliyokusudia, ili mwakani aweze kulima na faida afanyie maendeleo
Mbona hampangii bei viwanda vya bahresa na viwanda vingine na kuwazuia kuuza nje,
Haya mawazo ya kukundamiza wakulima ni ya kipumbavu sana
,
Wajinga wachache wanakaa mahali bei zikipanda wanafikiria kulalamikia serikali Ili ibane mazao ya wakulima yasiende soko lenye faida


Ungetumia akili yako vizuri ungekuja namna ya kuongeza uzalishaji wa mazao ya chakula nchini ili kukidhi soko la ndani na la nje pia litaongeza export na fedha za kigeni
 
Yaani katika mtu wa hovyo kuliko wote ni wewe na andiko lako.

1. Chakula kipo knye ghala za taifa na kinauzwa hata wewe ukitaka leo kanunue NFRA bei ni shilingi 620 kwa kilo. na bei ni hiyo hiyo mikoa yote
2. Issue ya kuzuia kupeleka mazao nje ndo ulidumaza watu kuwekeza knye kilimo, maana unazalisha kwa bei juu kisha soko linasumbua suluhu ni sasahivi chakula kiuzwe hata chote ili mwaka kesho watu wengi wakawekeze knye kilimo baada ya kuona faida
3. Dunia nzima hakuna mtu anakuletea chakula nyumbani lazima ukitafute sasa waziri unataka afanye nini?
Hawa Wana fikra za kipambavu Sana za kijamaa, wanataka serikali itatua Kila kitu Hadi chakula kiwaletee
 
Hakuna mtu aliyeenda sokoni akakosa kupata chakula anachotaka..

Kama bei ni kubwa sana basi ni fursa kuingia shambani ujilimie chakula chako..mapori yapo kibao.

Sio mtu unakaa Sinza unashinda saluni kufanya scrub then wanaume tutoe jasho la damu shambani then wewe uje utupangie namna ya kuuza mazao yetu..hell no.
 
Na sasahivi watu wengi watawekeza sana knye kilimo kwa sababu soko lipo , zamani watu wanawekeza knye mabaa na groceries kwa sababu ndo zina faida bashe na wizara wanajitahidi sana kufanya kilimo kuwa biashara na kuweka miundo mbinu ya kilimo, sema Watanzania tunajua kukatishana tamaa sana
Ujamaaa unaharibu mataifa mengi sana
 
Hakuna ulichoandika hapa mkuu. Hivi kwanini mnataka mkulima akandamizwe kwa ajili yenu? Bashe anatenda kwa weledi na anaelewa kwanini watu walikimbia kilimo. Kwa tunakoenda hata malalamiko ya kukosa ajira yatapungua kwa kuwa kilimo kitalipa. Hayo mengine uliyoandika hayana maana yoyote zaidi tu ya kuonesha kuwa humkubali mama Samia.
Ukiwa kiongozi huwezi kukwepa suala la usalama wa chakula katika nchi yako. Ukitafuta cheap popularity utaona ni sawa.

Hayo ni moja ya majukumu makubwa ya serikali nchi yoyote ile. Hatukatai chakula kuuzwa sababu wakulima hawazalishi ili kulisha nchi tu ila ni kwa ajili ya biashara.
 
Hussein Bashe waziri wa kilimo amekuwa muongo kupindukia. tukianzia nzega hapa hapa jimboni kwake hakuna chakura na hali ni mbaya sana.

Ukiingia mitaani kuna familia hata mlo mmoja ni shida! Katika biblia kuna hadithi ya yusufu aliemshauri mfalme farao ahifadhi chakura kwa kuwa kuna dalili kubwa ya njaa! WAZIRI WETU BASHE YEYE ALIMSHAURI MFALME WETU CHAKULA KILICHOPO KIUZWE NJE! Hali imekuwa mbaya, na inatisha sana.

Huko mikoani bei zipo juu ambazo raia wa kawaida hawezi kumudu yeye BASHE jana anamdanganya mfalme na umma wa watanzania kwamba ETI NCHI INA CHAKULA CHA KUTOSHA. huu ni uongo wa mchana usiofaa kabisa, amefanyia wapi hiyo research?

Na anadhani chakula kinapatikana kwenye makaratasi anayoyaita takwimu? BASHE hivi umetembelea masoko ya nafaka kama Kibaigwa, Njombe na rukwa ukaona hali iliyopo? kwanini usiongee ukweli na nchi ikapona? Unaogopa kumkosea mfalme kuliko kuwakosea wananchi?

BASHE UMEJIANGUSHA MWENYEWE NA UMEWAANGUSHA UIJANA WENZAKO!! #nchi ina njaa #nchi haina chakura
UNAWEZA KUWA NA HOJA MR Mganguzi ila approach yako ni kama shambulio binafsi kwa Mh Bashe, Nzega kuna RC,DC,MADIWANI NK lazimz kuwe na uwajibakaji wa pamoja!!!!!!!!!
POLENI NA NJAA,
Mie nipo Nzega Kijijini Puge napambana.
 
Pamoja na uhalisia ila huyu kabugi sana
Umempa makavu kuna watu hawajielewi huwezi kula kama hufanyi kazi. Mimi sasa hivi nimetoka sokoni kila kitu kipo soko limejaa na bado mteja unagombaniwa.
WEWE NA BASHE MNAWAZA KUTOKEA JUU KWENDA CHINI SISI TUNAWAZA KUTOKEA CHINI KWENDA JUU! hatulalamiki kwa sababu hatukulima au sisi ni wavivu kama akili yako ya kipumbavu inavyokwambia tunalalamika kwa sababu hata waliolima hawakupata kutokana na ukame watu hawakupata kabisa tatizo mnalelewa nyumbani hamjui chochote
 
Juzi nilikuwa Nzega wanasema Mahindi ya bei nafuu yameshatua ila Walanguzi wanawatumia Wazee kwenda kuyanununua halafu wanawauza kwa Wafanyabiashara wa wa Kenya.

Hapo ndio utajua tatizo liko wapi.
 
Bashe ni moja ya mawaziri bora sana wa kilimo kuwahi kutokea tangu tunapata uhuru. Sasa vijana tumeanza kuona kilimo kilivyo na tija. Ashilikie msimamo huo huo hadi kila mmoja azione fursa kwenye kilimo na aanze kukipenda kilimo.

Ahsante Bashe kwa kazi nzuri.
 
Back
Top Bottom