Hussein Bashe ni janga kubwa kwa taifa letu. Hatufai leo, hatufai kesho na hatufai kesho kutwa!

Hussein Bashe ni janga kubwa kwa taifa letu. Hatufai leo, hatufai kesho na hatufai kesho kutwa!

Yaani ni hivi Kama unataka chakula cha mserereko nenda kalime uweke stock yako ndani tena Bashe uyouyo kakufanyia Mbolea 70000,ila Kama Shamba uwezi tafuta pesa ununue chakula kwa bei iliyoko sokoni hakunanamna Broo
 
Yaani katika mtu wa hovyo kuliko wote ni wewe na andiko lako.

1. Chakula kipo knye ghala za taifa na kinauzwa hata wewe ukitaka leo kanunue NFRA bei ni shilingi 620 kwa kilo. na bei ni hiyo hiyo mikoa yote
2. Issue ya kuzuia kupeleka mazao nje ndo ulidumaza watu kuwekeza knye kilimo, maana unazalisha kwa bei juu kisha soko linasumbua suluhu ni sasahivi chakula kiuzwe hata chote ili mwaka kesho watu wengi wakawekeze knye kilimo baada ya kuona faida
3. Dunia nzima hakuna mtu anakuletea chakula nyumbani lazima ukitafute sasa waziri unataka afanye nini?
Wewe ni fala sana. Juzi SI wamegawa chakula Cha msaada Singida Kwa sababu njaa imepiga sana. Hilo ghala la chakula halikuwepo?

Hivi hujui ni rahisi kutunza chakula kuliko pesa?
 
Yaani katika mtu wa hovyo kuliko wote ni wewe na andiko lako.

1. Chakula kipo knye ghala za taifa na kinauzwa hata wewe ukitaka leo kanunue NFRA bei ni shilingi 620 kwa kilo. na bei ni hiyo hiyo mikoa yote
2. Issue ya kuzuia kupeleka mazao nje ndo ulidumaza watu kuwekeza knye kilimo, maana unazalisha kwa bei juu kisha soko linasumbua suluhu ni sasahivi chakula kiuzwe hata chote ili mwaka kesho watu wengi wakawekeze knye kilimo baada ya kuona faida
3. Dunia nzima hakuna mtu anakuletea chakula nyumbani lazima ukitafute sasa waziri unataka afanye nini?
Asant Mh. Basha kwa majibu mujarabu
 
Amemshauri Hangaya chakula kiuzwe nchi za nje ili kwao Somalia wasife njaa
 
Mtu analiingiza Taifa kwenye njaa na bado anaendelea kuwa Waziri.

Sijui ni lini tutakuwa serious na mambo yetu.
 
Hakuna mtu aliyeenda sokoni akakosa kupata chakula anachotaka..

Kama bei ni kubwa sana basi ni fursa kuingia shambani ujilimie chakula chako..mapori yapo kibao.

Sio mtu unakaa Sinza unashinda saluni kufanya scrub then wanaume tutoe jasho la damu shambani then wewe uje utupangie namna ya kuuza mazao yetu..hell no.
Kwa taarifa yako wakulima hao hao ndio wanakufa Kwa njaa sasa hivi na si watu was Sinza. Wekeni ujinga pembeni japo kidogo
 
ufaransa mkate ulipanda bei watu wakaingia kuandamana nyinyi mnalelewa na wazazi wenu bado hata bei chakura hamuijui
Na ndio maana ukiwambia waingie barabarani hawakuelewi na wale wanaowalisha wanaogopa eti wakivunjwa miguu nani atatafutia watoto chakula
 
mimi ni mkulima mzoefu na mkubwa kiasi ekari zaidi ya 800 naongea kwa uzoefu na wa kutoa ajira zaidi ya 40 , najua uchungu wa kukopa bank kulimia , unavuna vizuri ,halafu serikali inafunga mipaka hapo una deni la M 400 la bank
We bwana tuongee kwanza unatoa Junia mia nane au inalima heka mia nane
 
Najua kabisa Bashe ni team lowassa na yupo karibu na Rostam, Hilo sio tatizo kwa sababu kama mtu ni kiazi kichwani ni kiazi tu, Bashe ameonyesha uwezo wa kiutendaji na kufuatilia sana hujuma za knye sector ya kilimo, Samia mwenyewe nadhani kwa mara ya kwanza baada ya baba wa taifa ndo kaonyesha utashi wa kisiasa wa kufanya mageuzi ya kilimo kweli mfano.

1. Kutenga billioni 900 knye kilimo mara nne ya bajeti tulizozoea
2.Kuanzisha na kufufua irrigations schemes Nchi nzima , huu utakuwa mwarobaini wa kudumu wa issue za ukame na hasara za hovyo hovyo knye kilimo.
3. Kuanzisha block farming itawasaidia sana vijana na wenye mitaji midogo ku organize resources and extensions services

4. Kugawa mashine za kupima udongo ni bonge ya step , zamani mpaka utume sample SUA usubiri miezi miwili majibu na gharama zaidi ya laki 2 kwa sisi tuliokuwa tuna mashamba Morogoro. Je wa mbinga au katavi angesaidikaje?
5. Kubwa kuliko lote ni kuachia soko huria, Rais angekuwa hana nia angeshazuia kupeleka mazao nje, ile ilikuwa ni kuwanyonya mno wakulima , badala ya kuacha soko liamue bei unalazimisha kupunguza demand ili bei iwe chini , ILIKUWA NI SERA YA HOVYO SANA. BORA KITOKE CHOTE mwaka kesho wote tutachangamkia fursa ya kufanya kilimo na wakulima watatajirika , Mbona hatupangi bei za bidhaa za viwandani? au bei za vyumba vya kulala wageni? Soko linaamua bei . Tuwaaachie wakulima soko liamue
Hebu tuambie hivyo vyote ukitoa namba 5 vimefanyika wapi?
 
LUMUMBA WAMETOKA KWENYE PANGO UKIMGUSA LUMUMBA MWENZAO WANATOA MACHO KAMA KOROBOI YA UTAMBI made in ccm!
 
Wewe ni fala sana. Juzi SI wamegawa chakula Cha msaada Singida Kwa sababu njaa imepiga sana. Hilo ghala la chakula halikuwepo?

Hivi hujui ni rahisi kutunza chakula kuliko pesa?
Wewe ndo nakushangaa nikianza kutumia lugha yako tutakuwa sawa kiakili, nakwepa upunguani ngoja nikujibu vizuri.
1. Ghala la taifa kazi yake ni kununua mazao kipindi bei rahisi kuyahifadhi na kuyauza uhaba wa chakula unatokea au bei kupanda
2. Kwanini serikali ihifadhi? sababu ni wananchi au wafanya biashara hawawezi kuhifadhi kiwango kikubwa , Serikali inasaidia kwa kutumia kodi zetu hizi hizi bila kupata hasara
 
Hebu tuambie hivyo vyote ukitoa namba 5 vimefanyika wapi?
Ndugu ebu kasikilize hansard za bunge la budget la mwaka huu halafu uje uwanjani, hata google youtube tu utaona tofauti kubwa sana ya miaka iliyopita na mwaka huu
 
hakuna chakura na hali ni mbaya sana.

Ukiingia mitaani kuna familia hata mlo mmoja ni shida! Katika biblia kuna hadithi ya yusufu aliemshauri mfalme farao ahifadhi chakura kwa kuwa kuna dalili kubwa ya njaa
Ni chakula sio chakura
 
Chakula kipo knye ghala za taifa na kinauzwa hata wewe ukitaka leo kanunue NFRA bei ni shilingi 620 kwa kilo. na bei ni hiyo hiyo mikoa yote
Hiki kitu alikua hakijui mkuu na hajapata maelezo ya kutosha kutoka kwa Bashe kuhusu hili ndio maana akatoa hayo maelezo, kwa mimi nilivyomuelewa mtoa mada alihitaji kujua chakula anachosema Bashe kipo kipo wapi?
 
Asant Mh. Basha kwa majibu mujarabu
Hapana mimi sio Bashe wala simfahamu sana , tuligongana tu 2015 knye vuguvugu za uzinduzi wa safari ya matumaini, Tukaangukia pua lakini maisha yameenda , sikuwahi kukutana naye tena wala kumwona zaidi ya knye TV
 
Back
Top Bottom