Davortesha
Member
- Jun 19, 2021
- 83
- 119
Wewe ni fala sana. Juzi SI wamegawa chakula Cha msaada Singida Kwa sababu njaa imepiga sana. Hilo ghala la chakula halikuwepo?Yaani katika mtu wa hovyo kuliko wote ni wewe na andiko lako.
1. Chakula kipo knye ghala za taifa na kinauzwa hata wewe ukitaka leo kanunue NFRA bei ni shilingi 620 kwa kilo. na bei ni hiyo hiyo mikoa yote
2. Issue ya kuzuia kupeleka mazao nje ndo ulidumaza watu kuwekeza knye kilimo, maana unazalisha kwa bei juu kisha soko linasumbua suluhu ni sasahivi chakula kiuzwe hata chote ili mwaka kesho watu wengi wakawekeze knye kilimo baada ya kuona faida
3. Dunia nzima hakuna mtu anakuletea chakula nyumbani lazima ukitafute sasa waziri unataka afanye nini?
Asant Mh. Basha kwa majibu mujarabuYaani katika mtu wa hovyo kuliko wote ni wewe na andiko lako.
1. Chakula kipo knye ghala za taifa na kinauzwa hata wewe ukitaka leo kanunue NFRA bei ni shilingi 620 kwa kilo. na bei ni hiyo hiyo mikoa yote
2. Issue ya kuzuia kupeleka mazao nje ndo ulidumaza watu kuwekeza knye kilimo, maana unazalisha kwa bei juu kisha soko linasumbua suluhu ni sasahivi chakula kiuzwe hata chote ili mwaka kesho watu wengi wakawekeze knye kilimo baada ya kuona faida
3. Dunia nzima hakuna mtu anakuletea chakula nyumbani lazima ukitafute sasa waziri unataka afanye nini?
Kwa taarifa yako wakulima hao hao ndio wanakufa Kwa njaa sasa hivi na si watu was Sinza. Wekeni ujinga pembeni japo kidogoHakuna mtu aliyeenda sokoni akakosa kupata chakula anachotaka..
Kama bei ni kubwa sana basi ni fursa kuingia shambani ujilimie chakula chako..mapori yapo kibao.
Sio mtu unakaa Sinza unashinda saluni kufanya scrub then wanaume tutoe jasho la damu shambani then wewe uje utupangie namna ya kuuza mazao yetu..hell no.
Na ndio maana ukiwambia waingie barabarani hawakuelewi na wale wanaowalisha wanaogopa eti wakivunjwa miguu nani atatafutia watoto chakulaufaransa mkate ulipanda bei watu wakaingia kuandamana nyinyi mnalelewa na wazazi wenu bado hata bei chakura hamuijui
We bwana tuongee kwanza unatoa Junia mia nane au inalima heka mia nanemimi ni mkulima mzoefu na mkubwa kiasi ekari zaidi ya 800 naongea kwa uzoefu na wa kutoa ajira zaidi ya 40 , najua uchungu wa kukopa bank kulimia , unavuna vizuri ,halafu serikali inafunga mipaka hapo una deni la M 400 la bank
Hebu tuambie hivyo vyote ukitoa namba 5 vimefanyika wapi?Najua kabisa Bashe ni team lowassa na yupo karibu na Rostam, Hilo sio tatizo kwa sababu kama mtu ni kiazi kichwani ni kiazi tu, Bashe ameonyesha uwezo wa kiutendaji na kufuatilia sana hujuma za knye sector ya kilimo, Samia mwenyewe nadhani kwa mara ya kwanza baada ya baba wa taifa ndo kaonyesha utashi wa kisiasa wa kufanya mageuzi ya kilimo kweli mfano.
1. Kutenga billioni 900 knye kilimo mara nne ya bajeti tulizozoea
2.Kuanzisha na kufufua irrigations schemes Nchi nzima , huu utakuwa mwarobaini wa kudumu wa issue za ukame na hasara za hovyo hovyo knye kilimo.
3. Kuanzisha block farming itawasaidia sana vijana na wenye mitaji midogo ku organize resources and extensions services
4. Kugawa mashine za kupima udongo ni bonge ya step , zamani mpaka utume sample SUA usubiri miezi miwili majibu na gharama zaidi ya laki 2 kwa sisi tuliokuwa tuna mashamba Morogoro. Je wa mbinga au katavi angesaidikaje?
5. Kubwa kuliko lote ni kuachia soko huria, Rais angekuwa hana nia angeshazuia kupeleka mazao nje, ile ilikuwa ni kuwanyonya mno wakulima , badala ya kuacha soko liamue bei unalazimisha kupunguza demand ili bei iwe chini , ILIKUWA NI SERA YA HOVYO SANA. BORA KITOKE CHOTE mwaka kesho wote tutachangamkia fursa ya kufanya kilimo na wakulima watatajirika , Mbona hatupangi bei za bidhaa za viwandani? au bei za vyumba vya kulala wageni? Soko linaamua bei . Tuwaaachie wakulima soko liamue
Aisee nalima eka 800 kabisa , mchanganyiko kuna mbingu mpunga eka 200 Kilindi 600 mahindi na maharageWe bwana tuongee kwanza unatoa Junia mia nane au inalima heka mia nane
Muulize mama yakoWewe unafaa kwa lipi?
Wewe ndo nakushangaa nikianza kutumia lugha yako tutakuwa sawa kiakili, nakwepa upunguani ngoja nikujibu vizuri.Wewe ni fala sana. Juzi SI wamegawa chakula Cha msaada Singida Kwa sababu njaa imepiga sana. Hilo ghala la chakula halikuwepo?
Hivi hujui ni rahisi kutunza chakula kuliko pesa?
Sasa si upumbavu wao?..wewe shida yako nini?.Kwa taarifa yako wakulima hao hao ndio wanakufa Kwa njaa sasa hivi na si watu was Sinza. Wekeni ujinga pembeni japo kidogo
Ndugu ebu kasikilize hansard za bunge la budget la mwaka huu halafu uje uwanjani, hata google youtube tu utaona tofauti kubwa sana ya miaka iliyopita na mwaka huuHebu tuambie hivyo vyote ukitoa namba 5 vimefanyika wapi?
Ni chakula sio chakurahakuna chakura na hali ni mbaya sana.
Ukiingia mitaani kuna familia hata mlo mmoja ni shida! Katika biblia kuna hadithi ya yusufu aliemshauri mfalme farao ahifadhi chakura kwa kuwa kuna dalili kubwa ya njaa
Mhhh hizi sio chuki binafsi kweli ? Bashe msomali , Kinana je? Jenerali Ulimwengu?MO ? Rostam? Shivji/Amemshauri Hangaya chakula kiuzwe nchi za nje ili kwao Somalia wasife njaa
Hiki kitu alikua hakijui mkuu na hajapata maelezo ya kutosha kutoka kwa Bashe kuhusu hili ndio maana akatoa hayo maelezo, kwa mimi nilivyomuelewa mtoa mada alihitaji kujua chakula anachosema Bashe kipo kipo wapi?Chakula kipo knye ghala za taifa na kinauzwa hata wewe ukitaka leo kanunue NFRA bei ni shilingi 620 kwa kilo. na bei ni hiyo hiyo mikoa yote
Hapana mimi sio Bashe wala simfahamu sana , tuligongana tu 2015 knye vuguvugu za uzinduzi wa safari ya matumaini, Tukaangukia pua lakini maisha yameenda , sikuwahi kukutana naye tena wala kumwona zaidi ya knye TVAsant Mh. Basha kwa majibu mujarabu