greenwoods
JF-Expert Member
- Sep 21, 2020
- 2,328
- 3,955
We mpumbavu hatuwezi wote tukawa wakulima ebooo!!Yaani katika mtu wa hovyo kuliko wote ni wewe na andiko lako.
1. Chakula kipo knye ghala za taifa na kinauzwa hata wewe ukitaka leo kanunue NFRA bei ni shilingi 620 kwa kilo. na bei ni hiyo hiyo mikoa yote
2. Issue ya kuzuia kupeleka mazao nje ndo ulidumaza watu kuwekeza knye kilimo, maana unazalisha kwa bei juu kisha soko linasumbua suluhu ni sasahivi chakula kiuzwe hata chote ili mwaka kesho watu wengi wakawekeze knye kilimo baada ya kuona faida
3. Dunia nzima hakuna mtu anakuletea chakula nyumbani lazima ukitafute sasa waziri unataka afanye nini?
Chaimimi ni mkulima mzoefu na mkubwa kiasi ekari zaidi ya 800 naongea kwa uzoefu na wa kutoa ajira zaidi ya 40 , najua uchungu wa kukopa bank kulimia , unavuna vizuri ,halafu serikali inafunga mipaka hapo una deni la M 400 la bank
Ni kweli kabisa kama ilivyo hatuwezi wote kuwa waajiriwa au wajasiriamali au wachimba madini. sasa kwa nini wakulima pekee wasikewe mazingira bora ya kufanya kilimo biashara ili na wao wafaidi wawe kama wakulima wa nchi zingine? Mkulima ndo anatakiwa aongoze kwa kuwa na gari nzuri na nyumba nzuri ya ghorofaWe mpumbavu hatuwezi wote tukawa wakulima ebooo!!
Kwa Akili zake anataka SS wakulima tusinufaike iwe kazi yetu kuilisha mijitu isiyojitu .Yaani katika mtu wa hovyo kuliko wote ni wewe na andiko lako.
1. Chakula kipo knye ghala za taifa na kinauzwa hata wewe ukitaka leo kanunue NFRA bei ni shilingi 620 kwa kilo. na bei ni hiyo hiyo mikoa yote
2. Issue ya kuzuia kupeleka mazao nje ndo ulidumaza watu kuwekeza knye kilimo, maana unazalisha kwa bei juu kisha soko linasumbua suluhu ni sasahivi chakula kiuzwe hata chote ili mwaka kesho watu wengi wakawekeze knye kilimo baada ya kuona faida
3. Dunia nzima hakuna mtu anakuletea chakula nyumbani lazima ukitafute sasa waziri unataka afanye nini?
Hatuwezi kutatua matatizo ya kimfumo kwa kulalamikia watu.Hussein Bashe waziri wa kilimo amekuwa muongo kupindukia. tukianzia nzega hapa hapa jimboni kwake hakuna chakura na hali ni mbaya sana.
Ukiingia mitaani kuna familia hata mlo mmoja ni shida! Katika biblia kuna hadithi ya yusufu aliemshauri mfalme farao ahifadhi chakura kwa kuwa kuna dalili kubwa ya njaa! WAZIRI WETU BASHE YEYE ALIMSHAURI MFALME WETU CHAKULA KILICHOPO KIUZWE NJE! Hali imekuwa mbaya, na inatisha sana.
Huko mikoani bei zipo juu ambazo raia wa kawaida hawezi kumudu yeye BASHE jana anamdanganya mfalme na umma wa watanzania kwamba ETI NCHI INA CHAKULA CHA KUTOSHA. huu ni uongo wa mchana usiofaa kabisa, amefanyia wapi hiyo research?
Na anadhani chakula kinapatikana kwenye makaratasi anayoyaita takwimu? BASHE hivi umetembelea masoko ya nafaka kama Kibaigwa, Njombe na rukwa ukaona hali iliyopo? kwanini usiongee ukweli na nchi ikapona? Unaogopa kumkosea mfalme kuliko kuwakosea wananchi?
BASHE UMEJIANGUSHA MWENYEWE NA UMEWAANGUSHA UIJANA WENZAKO!! #nchi ina njaa #nchi haina chakura
Eti bei ni shs 620 tu😂. Unawaza mahindi tu. Je kwenye akiba ya chakula mchele au mpunga upo?, Maharage yapo au tutakula ugali tu na wala kitoweo hakuna?Yaani katika mtu wa hovyo kuliko wote ni wewe na andiko lako.
1. Chakula kipo knye ghala za taifa na kinauzwa hata wewe ukitaka leo kanunue NFRA bei ni shilingi 620 kwa kilo. na bei ni hiyo hiyo mikoa yote
2. Issue ya kuzuia kupeleka mazao nje ndo ulidumaza watu kuwekeza knye kilimo, maana unazalisha kwa bei juu kisha soko linasumbua suluhu ni sasahivi chakula kiuzwe hata chote ili mwaka kesho watu wengi wakawekeze knye kilimo baada ya kuona faida
3. Dunia nzima hakuna mtu anakuletea chakula nyumbani lazima ukitafute sasa waziri unataka afanye nini?
Nendeni Shambani mkalime, JPM alishasema Serikali Haina Mashamba.Eti bei ni shs 620 tu[emoji23]. Unawaza mahindi tu. Je kwenye akiba ya chakula mchele au mpunga upo?, Maharage yapo au tutakula ugali tu na wala kitoweo hakuna?
haki ya Mungu ww bossAisee nalima eka 800 kabisa , mchanganyiko kuna mbingu mpunga eka 200 Kilindi 600 mahindi na maharage