Mchele kusema bei kali umedanganya acha uongo.
Tanzania kitu kinachotakiwa kufanya ni kutizama vyakula bei na usambazajo unafikaje kwa walengwa.
Ila vyakula Tz vipo vingi tu maana kila kona watu wamelima.
Kama hao wanakufa njaa serikali ndogo ikowapi ku adress matatizo ya hao raia??
Wabunge wako wapi ku adress matatizo ya hao raia??
Mwaka wa mbole ya ruzuku Dodoma ni miongoni mwa mikoa ilonufaika sana pia mradi wa Build better tomorrow Dodoma unafanyika na mazao mengi tu yamevunwa.
Local government iadress hilo tatizo kesha serikali kuu itizame hao walengwa wanasaidiwaje.
Msituletee ufala hapa wa kusema Tz vyakula hakuna.
Huu ufala acheni.
Hiyo michele isitumike narudia isitumike ikaja kutuumizia watoto.
Wenawe umeishiwa akili unaropoka ionekane mwana majimuhi!!
1.) Unataka kusema wewe hutumiagi vitu Toka Marekani? Je vilikufanya uwe shoga?
2.) Umetafiti na ukagunduai mashule Dodoma yanaweza kuwalisha watoto vizuri kwakuwa Mchele ni cheap?
3.) Umewahi kusaidia shuleni watoto wale?
4.) Unauhakika Mchele husika unamadhara?
5.) Tanzania inaweza kujisimamia bila misaada,hata kondom unazotumia unajuwa umesaidiwa au wewe unajivalisha tuu?
6.) Tanzania ilijitutumua kusaidia chakula wenzetu je tulitaka wawe mashoga?
7.) Siku tukikumbwa na shida kuu tutakataa chakula Toka Marekani?
8.) Tanzania ndiyo nchi ya kwanza kusaidiwa vyakula na marekani?
9.) Ngano,sukari,mafuta tunayoagiza nje ya nchi unauhakika navyo? Unapimaga wewe?
Wanasiasa wanajitutumua uchaguzi uko njiani naninyi vifuata upepo mnadakia bila kujielewa.
Acheni uzwazwa chakula kipimwe vizuri watu wale