Hussein Bashe, You are smart, you are potential, liangalie zao la Cocoa Tanzania

Wasomali wabaguz sana, hata iwe generation ya buku.0

Hata ukifka nzega wanajibagua sana, hata wasio na chochote watajibagua tu.

Huyo msomali akipewa nchi yafuatayo yatatokea.
1. Uhusiano wa tz na ke utazorota

2. Somalia itajiunga eac

3. Wasomali wataitawala kariako
 
Kwa nini wakulima wanasubiri serikali iweke mkazo ndiyo waanze kulima cacao? Halafu 2030 mgombea rais wa CCM atakuwa ni mkatoliki. Huwa wanabadilisha dini za wagombea wao kila awamu.
Mpaka leo Hili zao kama yalivyo mengine Serikali ndo inapanga bei na uuze lini na wapi! Japo Mbegu utuzanji wake ni wewe ndo unajua! So jamaa analosema na kushauri ni sahihi
 
Namkubali sana Bashe hayo ya nywele na usomali ni ubaguzi wa kawaida wa baadhi yetu . Ni mchapa kazi na huo ndio ukweli wenyewe
 
Zao la Kakao lilimwe Nchi nzima kwenye hali ya hewa inayoruhusu.
 
Mkuu kuwa serious kidogo basi, kuna mnyamwezi mwenye nywele hizo? acha utani bhana
Kuna wa iraqw wengi wana nywele kama za Bashe au na hao sio watanzania?Tena umuejjita eneo lao Babati.
Isije ikawa mlowezi unajiita Babati?
 
Namkubali sana Bashe hayo ya nywele na usomali ni ubaguzi wa kawaida wa baadhi yetu . Ni mchapa kazi na huo ndio ukweli wenyewe
Ubaguzi tu umemjaa hana tofauti na makabulu wa Africa kusini
 
Reactions: Tui
Zao la Kakao lilimwe Nchi nzima kwenye hali ya hewa inayoruhusu.
Kweli kabisa! Zao hili mikoa ya Rukwa, Ruvuma, Wilaya za Nyaya, Kyela, Rudewa linastawi vizuri sana maana hakuna tofauti kubwa ya hali ya hewa kwenye maeneo haya
 
Sikutaka kusoma sana nimependa sehemu umekiri wazi kuwa JIWE hakuandaliwa kuwa kiongozi.
 
Kweli kabisa! Zao hili mikoa ya Rukwa, Ruvuma, Wilaya za Nyaya, Kyela, Rudewa linastawi vizuri sana maana hakuna tofauti kubwa ya hali ya hewa kwenye maeneo haya
Wangelijaribu na Kagera,Mara,Arusha na Kilimanjaro
 
Wangelijaribu na Kagera,Mara,Arusha na Kilimanjaro
Kagera na kilimanjaro saivi serikali wanatoa miche ya kahawa kama mkakati wa muda mrefu. Kwa Mara itakuwa vizuri pia maana kule hawana kilimo kikuu cha kibiashara
 
Punguzeni Sifa za mara kwa mara Kwake mtamfanya ama Arogwe Afe au Arogwe awe Kilema kama si Kurogwa awe Mwendawazimu pia, kwani Waswahili ( hasa Wanasiasa ) tunajuana na tuna Mifano kem kem just ya hili.
 
Unapoangalia zao la kakao wamulike na Jatu
 
Punguzeni Sifa za mara kwa mara Kwake mtamfanya ama Arogwe Afe au Arogwe awe Kilema kama si Kurogwa awe Mwendawazimu pia, kwani Waswahili ( hasa Wanasiasa ) tunajuana na tuna Mifano kem kem just ya hili.
Unaweza kuwa sahihišŸ¤”
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…