Hussein Bashe, You are smart, you are potential, liangalie zao la Cocoa Tanzania

Hussein Bashe, You are smart, you are potential, liangalie zao la Cocoa Tanzania

Wasomali mbona hamtaki kwenda kuijenga nchi yenu?
Fuatilia background za marais karibia wote wa tanzania huwa hawanaga asili kabsa na nchi hii.
Nyerere_ana asili ya kirundi

Alhaji Mwinyi_ana asili ya yemen

B.W.Mkapa_baba yake mzazi ni mmakonde wa msumbiji,ata mkapa alikuja bongo akiwa ana miaka 4 ikabidi atumie jina la wajomba zake (Mkapa)ili kuficha ubini wake

JPM_Baba yake mzazi ni mrundi huyo msukuma ni baba ake wa kambo yaani alimlea JIWE akiwa na miaka 7

SSH_Ni muarabu pure
 
Nitamuona Smart mpaka pale atakaposhughulikia unyonyaju wa Wafanyabiashara kwenye Mambo ya Lumbesa wa Mazao
 
Fuatilia background za marais karibia wote wa tanzania huwa hawanaga asili kabsa na nchi hii.
Nyerere_ana asili ya kirundi

Alhaji Mwinyi_ana asili ya yemen

B.W.Mkapa_baba yake mzazi ni mmakonde wa msumbiji,ata mkapa alikuja bongo akiwa ana miaka 4 ikabidi atumie jina la wajomba zake (Mkapa)ili kuficha ubini wake

JPM_Baba yake mzazi ni mrundi huyo msukuma ni baba ake wa kambo yaani alimlea JIWE akiwa na miaka 7

SSH_Ni muarabu pure
Du tena?
 
Fuatilia background za marais karibia wote wa tanzania huwa hawanaga asili kabsa na nchi hii.
Nyerere_ana asili ya kirundi

Alhaji Mwinyi_ana asili ya yemen

B.W.Mkapa_baba yake mzazi ni mmakonde wa msumbiji,ata mkapa alikuja bongo akiwa ana miaka 4 ikabidi atumie jina la wajomba zake (Mkapa)ili kuficha ubini wake

JPM_Baba yake mzazi ni mrundi huyo msukuma ni baba ake wa kambo yaani alimlea JIWE akiwa na miaka 7

SSH_Ni muarabu pure
Hapo nina uhakika na huyo wa mwisho kuwa hakuwa mtanzania
 
Bashe ni smart kabla ata ya kuwa waziri, ni mtu anaeongea kwa data na hakurupuki.. kwa kifupi yuko timam sana ila kuwa rais ni ngumu sana na haiwezekani kabisa...
 
Nitakapoona mwenye ujasiri wa kufufua yale mashamba yaliyokuwa na miti ile ya kuzalisha mali ghafi ya mpira au niseme "rubber" iliyokuwa inatumika kuzalisha matairi "General Tyre" na wakafufua kile kiwanda cha kuzalisha matairi Arusha ndipo nitakubali kuunga mkono hoja.
 
Mimi sio mpenzi sana wa siasa za watu ila napenda kukiri kuwa so far, kati ya watu ninaowaona wana akili na wanaweza kushika vizuri kijiti kutoka kwa Mama Samia coming 2030 ni Ndug. Hussein Bashe. Ana vision zisizotofautiana sana na Mama Samia hasa kwenye uwezeshaji, uwekezaji na biashara ivo si vibaya Chama changu kikaanza kumuandaa sasa kama alivyoandaliwa Ben Mkapa na Jakaya Kikwete.

Ninamuona Kama mtu smart, mwenye mawazo chanya yenye kujenga biashara na uwezo wa Taifa katika kukamata fursa za dunia hasa kiuwekezaji na kibiashara ambapo huu ndo Mwenendo wa Dunia yetu kwa sasa!

Nirudi kwenye mada, Leo BBC wametoa habari juu ya kilimo cha Cacao Kyela. Nilifika Kyela mwaka jana 2021 nikitokea Mbaba Bay na kusema kweli kuna potential kubwa sana kwenye zao la Cacao ambayo Tanzania Bado hatuja iutilize vizuri. Wakulima hawajahamasishwa kulima zao hili kwa wingi na pia elimu sahihi bado haijatolewa katika kuhakikisha zao hili linalimwa kwa wingi, kwa ubora na kumnufaisha Mtanzania.

Maeneo ya kwetu Nyasa, Ludewa na Kyela yanaonekana yanafaa sana kwa kilimo cha Cacao na yakitumika vizuri kwa wakulima kuhamasishwa kulima kwenye mashamba makubwa kwa ubora ni hakika hata Tanzania tunaweza kuwa na Brand yetu ya chocolate kama nchi zingine.

Naomba kama Serikali inavyoweka mkazo katika kilimo cha chikichi ambacho ingawa kitaliondolea Taifa letu na uhaba wa mafuta na kama Serikali ilivyoanza kuweka nguvu kwenye kuhamasisha watu kulima korosho kufikia kutoa hadi Miti kwa wakulima basi serikali ihakikishe pia unaweka nguvu kwenye zao hili la Cacao. Najua unaweza sana basi fanya hili.

Naamini uwezo unao na utafanyia kazi ushauri wangu.
Tunataka bangi na milungi.
 
Back
Top Bottom