Hussein Mwinyi alikuwaje Mbunge wa Mkuranga wakati yeye ni Mzanzibar?

Hussein Mwinyi alikuwaje Mbunge wa Mkuranga wakati yeye ni Mzanzibar?

Wakusoma 12

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2017
Posts
4,035
Reaction score
11,462
Nyerere aliuza utu na utaifa wetu kwa Wazanzibari. Leo mwanafunzi wa kizanzibari anapata mkopo wa elimu ya juu kutoka bodi ya mikopo ya elimu ya juu kwa kodi za Wabara.

Yote tisa kumi ni kivipi Mzanzibari anakuwa Mbunge sehemu ya Bara?

HUSSEIN MWINYI aliweza vipi kuwa MP na jimbo lake la uwakilishi kuwa Mkuranga sehemu ya Bara?
 
Nyerere aliuza utu na utaifa wetu kwa Wazanzibari. Leo mwanafunzi wa kizanzibari anapata mkopo wa elimu ya juu kutoka bodi ya mikopo ya elimu ya juu kwa kodi za Wabara. Yote tisa kumi ni kivipi Mzanzibari anakuwa Mbunge sehemu ya Bara? HUSSEIN MWINYI aliweza vipi kuwa MP na jimbo lake la uwakilishi kuwa Mkuranga sehemu ya Bara?
Zamani mkuranga ilikuwa Zanzibar!
 
Nyerere aliuza utu na utaifa wetu kwa Wazanzibari. Leo mwanafunzi wa kizanzibari anapata mkopo wa elimu ya juu kutoka bodi ya mikopo ya elimu ya juu kwa kodi za Wabara. Yote tisa kumi ni kivipi Mzanzibari anakuwa Mbunge sehemu ya Bara? HUSSEIN MWINYI aliweza vipi kuwa MP na jimbo lake la uwakilishi kuwa Mkuranga sehemu ya Bara?
Gwajima amekuwaje Mbunge wa Kawe wakati ni Msukuma?
 
Vyeo vya kugombea unagombea mahali pote, hata wewe unaweza kwenda gombea chatto kwa mwendazake
 
Nyerere aliuza utu na utaifa wetu kwa Wazanzibari. Leo mwanafunzi wa kizanzibari anapata mkopo wa elimu ya juu kutoka bodi ya mikopo ya elimu ya juu kwa kodi za Wabara. Yote tisa kumi ni kivipi Mzanzibari anakuwa Mbunge sehemu ya Bara? HUSSEIN MWINYI aliweza vipi kuwa MP na jimbo lake la uwakilishi kuwa Mkuranga sehemu ya Bara?
Mkuu, ukisikia viongozi wanakula viapo na kuahidi kutunza siri ktk nyadhifa wanazokabidhiwa, basi utambue baadhi ya hizo siri zina mambo mengine yenye ukakasi.
 
Nyerere aliuza utu na utaifa wetu kwa Wazanzibari. Leo mwanafunzi wa kizanzibari anapata mkopo wa elimu ya juu kutoka bodi ya mikopo ya elimu ya juu kwa kodi za Wabara. Yote tisa kumi ni kivipi Mzanzibari anakuwa Mbunge sehemu ya Bara? HUSSEIN MWINYI aliweza vipi kuwa MP na jimbo lake la uwakilishi kuwa Mkuranga sehemu ya Bara?
Familia yao ni asili ya Uzaramoni, zamani ikiwa wilaya ya Kisarawe kabla kugawanywa kuwa wilaya Y Mkuranga na walihamia Zanzibar baadhi wengine bado wapo Mkuranga. Baba yake alikuwa ana nyumba Yombo dovya kipindi akiwa raisi mama yake aliishi huko.
 
Nyerere aliuza utu na utaifa wetu kwa Wazanzibari. Leo mwanafunzi wa kizanzibari anapata mkopo wa elimu ya juu kutoka bodi ya mikopo ya elimu ya juu kwa kodi za Wabara. Yote tisa kumi ni kivipi Mzanzibari anakuwa Mbunge sehemu ya Bara? HUSSEIN MWINYI aliweza vipi kuwa MP na jimbo lake la uwakilishi kuwa Mkuranga sehemu ya Bara?
Kwani Nchi yetu inaitwa Zanzibar au Pwani Mkuranga au ni Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ( Zanzibar ikiwa imemezwa ) ndani kama ni Kiashirio tosha Sisi ni Wamoja na Mtu ana Uhuru wa Kuishi popote na hata Kugombea Uongozi wowote pale akiamua?
 
Nyerere aliuza utu na utaifa wetu kwa Wazanzibari. Leo mwanafunzi wa kizanzibari anapata mkopo wa elimu ya juu kutoka bodi ya mikopo ya elimu ya juu kwa kodi za Wabara. Yote tisa kumi ni kivipi Mzanzibari anakuwa Mbunge sehemu ya Bara? HUSSEIN MWINYI aliweza vipi kuwa MP na jimbo lake la uwakilishi kuwa Mkuranga sehemu ya Bara?
Yote hii inasababishwa na muundo wa muungano wa kipumbavu wa serikali mbili
 
Back
Top Bottom