Sasa kwanini tujiulize kuhusu Mwinyi kuwa MkurangaKwani halima alikuwa mbunge wa wapi ? Yeye ni kabila gani?
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kwanini tujiulize kuhusu Mwinyi kuwa MkurangaKwani halima alikuwa mbunge wa wapi ? Yeye ni kabila gani?
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Japo ni kweli Mzee Ali Hassan Mwinyi hakuwa Mzanzibari kwa kuzaliwa, kwani alihamia Zanzibar, akawa ni Mkaazi wa Zanzibar, akasoma Zanzibar, akao Zanzibar tena wakeze wote wawili, Bi Khadija na Bi. Sitti wote ni Wazanzibari, hivyo Dr. Hussein Mwinyi ni Mzanzibari kamili.Wanangu hamjambo? Kwa wanaojua kuwa mzee Ali Hassan Mwinyi ni Mzaramo wa Kivure watakubaliana nami kuwa hata mwanae ni Mzaramo. Je hii haimfanyi kuwa kama baba yake ambaye alitawala Zanzibar pamoja na kutokuwa mzanzibari? Je hii wanaichukuliaje wale wanaowaita watu bara machogo kuongozwa na machogo mara mbili?
Watajuana wenyewe wale acha waongozwe kama sisi tunavyoongozwa na MzanzibarWanangu hamjambo? Kwa wanaojua kuwa mzee Ali Hassan Mwinyi ni Mzaramo wa Kivure watakubaliana nami kuwa hata mwanae ni Mzaramo. Je hii haimfanyi kuwa kama baba yake ambaye alitawala Zanzibar pamoja na kutokuwa mzanzibari? Je hii wanaichukuliaje wale wanaowaita watu bara machogo kuongozwa na machogo mara mbili?
Japo ni kweli Mzee Ali Hassan Mwinyi hakuwa Mzanzibari kwa kuzaliwa, kwani alihamia Zanzibar, akawa ni Mkaazi wa Zanzibar, akasoma Zanzibar, akao Zanzibar tena wakeze wote wawili, Bi Khadija na Bi. Sitti wote ni Wazanzibari, hivyo Dr. Hussein Mwinyi ni Mzanzibari kamili.
P
Kama ingekuwa zanzibar ni nchi ambayo hatujaungana nayo angekuwaje mzanzibar?Japo ni kweli Mzee Ali Hassan Mwinyi hakuwa Mzanzibari kwa kuzaliwa, kwani alihamia Zanzibar, akawa ni Mkaazi wa Zanzibar, akasoma Zanzibar, akao Zanzibar tena wakeze wote wawili, Bi Khadija na Bi. Sitti wote ni Wazanzibari, hivyo Dr. Hussein Mwinyi ni Mzanzibari kamili.
P
Paschal washauri Star TV waboreshe mitambo yao hasa kwenye kipindi cha big agenda, ni kipindi kizuri lakini mara nyingine matangazo yanakatika na kipindi kinachelewa kuanza, hawana mitambo ya kuunganisha watu Dodoma, Dar na Mwanza kwa wakati mmoja kama BBC.Japo ni kweli Mzee Ali Hassan Mwinyi hakuwa Mzanzibari kwa kuzaliwa, kwani alihamia Zanzibar, akawa ni Mkaazi wa Zanzibar, akasoma Zanzibar, akao Zanzibar tena wakeze wote wawili, Bi Khadija na Bi. Sitti wote ni Wazanzibari, hivyo Dr. Hussein Mwinyi ni Mzanzibari kamili.
P
Hawezi kukubali kubaki Zanzibar maana hawana kitu pale wanategemea huku baraKama ingekuwa zanzibar ni nchi ambayo hatujaungana nayo angekuwaje mzanzibar?
Ushauri umefika.Paschal washauri Star TV waboreshe mitambo yao hasa kwenye kipindi cha big agenda, ni kipindi kizuri lakini mara nyingine matangazo yanakatika na kipindi kinachelewa kuanza, hawana mitambo ya kuunganisha watu Dodoma, Dar na Mwanza kwa wakati mmoja kama BBC.
Pamoja mkuuUshauri umefika.
P
yaani chadema hata historiahawajui hapo anataka kuleta uchonganishi tuJapo ni kweli Mzee Ali Hassan Mwinyi hakuwa Mzanzibari kwa kuzaliwa, kwani alihamia Zanzibar, akawa ni Mkaazi wa Zanzibar, akasoma Zanzibar, akao Zanzibar tena wakeze wote wawili, Bi Khadija na Bi. Sitti wote ni Wazanzibari, hivyo Dr. Hussein Mwinyi ni Mzanzibari kamili.
P
Sorry mkuu, hivi yule Dotto Bulendu sijui kama sijakosea jina lake la mwisho, yuko wapi? jamaa ni bonge la mtangazaji naona na Aloyce Nyanda anafuata nyao zake kwa karibuUshauri umefika.
P
Ameandika Afisa Habari wa CHADEMA?yaani chadema hata historiahawajui hapo anataka kuleta uchonganishi tu
Mbona ni jambo la kawaida sana...! Leo hii bara Raisi ni Mzanzibar, na Zanzibar Raisi ni Mbara wa Mkuranga. Kwa hiyo ni bila bila.! Fanya yako bwashee kazi Iendelee....Nyerere aliuza utu na utaifa wetu kwa Wazanzibari. Leo mwanafunzi wa kizanzibari anapata mkopo wa elimu ya juu kutoka bodi ya mikopo ya elimu ya juu kwa kodi za Wabara.
Yote tisa kumi ni kivipi Mzanzibari anakuwa Mbunge sehemu ya Bara?
HUSSEIN MWINYI aliweza vipi kuwa MP na jimbo lake la uwakilishi kuwa Mkuranga sehemu ya Bara?
Ha ha ha!!! Zamani ndiyo zamani!!! Hii kali kweli kweli!!!Zamani!
Dotto Bulendu ni mhadhiri mwandamizi wa Saut, anatangaza just for the love of it.Sorry mkuu, hivi yule Dotto Bulendu sijui kama sijakosea jina lake la mwisho, yuko wapi? jamaa ni bonge la mtangazaji naona na Aloyce Nyanda anafuata nyao zake kwa karibu