Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Dotto Bulendu ni mhadhiri mwandamizi wa Saut, anatangaza just for the love of it.Sorry mkuu, hivi yule Dotto Bulendu sijui kama sijakosea jina lake la mwisho, yuko wapi? jamaa ni bonge la mtangazaji naona na Aloyce Nyanda anafuata nyao zake kwa karibu
The guy is really good.
P
Mama ni Mzanzibari.Kama ingekuwa zanzibar ni nchi ambayo hatujaungana nayo angekuwaje mzanzibar?
P