Zanzibar 2020 Hussein Mwinyi atashinda uchaguzi, Maalim Seif atashinda kura

Zanzibar 2020 Hussein Mwinyi atashinda uchaguzi, Maalim Seif atashinda kura

Maalimu Seif toka aanze kugombea Zanzibar hadi leo wameshapita marais wangapi
Maalim Seif amefanya kazi kama Waziri kiongozi wa Rais Ally Hassan Mwinyi mwaka 1984-1985.

Leo baada ya miaka 35 kupita anaenda kufanya kazi tena na mwana wa Rais Ally Hassan Mwinyi kama makamu wake wa kwanza wa rais.

Kwa ufupi amefanya kazi chini ya Baba(Ally) na sasa anaenda kufanya chini ya mtoto(Hussein).
 
Sultan seif Sharif Hamad bin qaboos anagombea Toka kijana mpaka Babu je mwaka 2025 atagombea pia?View attachment 1503282
Maalim Seif amefanya kazi kama Waziri kiongozi wa Rais Ally Hassan Mwinyi mwaka 1984-1985.

Leo baada ya miaka 35 kupita anaenda kufanya kazi tena na mwana wa Rais Ally Hassan Mwinyi kama makamu wake wa kwanza wa rais.

Kwa ufupi amefanya kazi chini ya Baba(Ally) na sasa anaenda kufanya chini ya mtoto(Hussein).
 
Seif Kaanza fitna za Urais 1983 wakati huo Baba yake Dr Hussein Mwinyi, Mzee Ally Hassan alikuwa 'Muuza' Ice cream pale Tandika kwa mwinyi baada ya kurudishwa nyumban toka Misri. Wakat huo Hussein yupo Aza boy

Fitna za Seif zikampa Urais Ally, bado fitna za Seif zinalazimisha Chama kufanya maamuzi ya kumpa Urais Hussein

Maalimu Seif toka aanze kugombea Zanzibar hadi leo wameshapita marais wangapi.
 
Seif Kaanza fitna za Urais 1983 wakati huo Baba yake Dr Hussein Mwinyi, Mzee Ally Hassan alikuwa 'Muuza' Ice cream pale Tandika kwa mwinyi baada ya kurudishwa nyumban toka Misri. Wakat huo Hussein yupo Aza boy

Fitna za Seif zikampa Urais Ally, bado fitna za Seif zinalazimisha Chama kufanya maamuzi ya kumpa Urais Hussein
Huu ni uongo.

Fitna za Tanganyika dhidi ya Zanzibar ndio zilimueka Mwinyi SR na fitna hiyo hiyo ndio inataka kumuweka kwa nguvu Mwinyi JR.

Hivi hivi walimuweka Jumbe kutoka Mjimwema.

Bado Tanganyika kwa kutumia Sera ya devide and rule imepandikiza ccm wengi unguja na kuwapa vyeo vya chama eti kuiwakilisha Zanzibar Dodoma.

Makosa waliyofanya ccm asili Zanzibar kwa kufuata kasumba za kugawiwa na Bara ndio zinewafikisha hapo.

Tunakoelekea sio maslahi ya Zanzibar wala ya matumbo yao hayana nafasi.

Siku zote mkoloni si mwema
 
Kwa hiyo zile Fitna za Seif kwa Aboud Jumbe alitumwa na Tanganyika?
Huu ni uongo.

Fitna za Tanganyika dhidi ya Zanzibar ndio zilimueka Mwinyi SR na fitna hiyo hiyo ndio inataka kumuweka kwa nguvu Mwinyi JR.

Hivi hivi walimuweka Jumbe kutoka Mjimwema.

Bado Tanganyika kwa kutumia Sera ya devide and rule imepandikiza ccm wengi unguja na kuwapa vyeo vya chama eti kuiwakilisha Zanzibar Dodoma.

Makosa waliyofanya ccm asili Zanzibar kwa kufuata kasumba za kugawiwa na Bara ndio zinewafikisha hapo.

Tunakoelekea sio maslahi ya Zanzibar wala ya matumbo yao hayana nafasi.

Siku zote mkoloni si mwema
 
Kwa hiyo zile Fitna za Seif kwa Aboud Jumbe alitumwa na Tanganyika?
Hapo mwenyewe unafanya kazi za uajenti.

Ukiambiwa toa ushahidi unao? Unatumia kasumba tu. Kwani hiyo maalim aliwahi kuwa personal secretary was Jumbe?

Usichokijua ni kwamba Jumbe alitumika, lkn mchezo ukamshinda njiani na ndipo mwalimu alipomuacha baada ya kumuona hana tena msaada.

Vijana wa frontline kwenye kundi LA akina Dr Salmon, Ali Ameir na Maalim walipingana na Jumbe kwa namna alivyokuwa akiendesha mambo.

Cha ajabu Leo anatajwa Maalim pekee eti alimsaliti Jumbe.

Jumbe aliwatishia kuwavuruga vijana na kutumia kitu kinaitwa "Revolutionary Justice" kwa kila aliyempinga.

Baada ya kuboronga na kuona mwalimu kamtosa kwa maslahi mapana ya nchi, ndipo sasa Jumbe akamgeukia mwalimu kwa kuibuka na muungano was serikali 3.

Hii ilikuwa in kumuadhibu mwalimu baada ya kuona katoswa kwenye mbinu zake ovu.

Initially, Jumbe alishafanikisha kuvunja ASP. Na kupoteza nguvu za Zanzibar.

Huyu Jumbe tatizo alipotea njia tu.

Fuatilia tu utaelewa siasa za Zanzibar.

Pale kuna draft linachezeshwa Bara.
 
Ninaona turufu ya wazi kwa Maalim Seif Sharrif Hamad. Hussen Mwinyi, atashinda Uchaguzi, Maalim Seif Hamad, atashinda kura na Mzee Jecha, atazihesabu kura tena.

Ndimi Mkulima wa Miwa, Bonde la Mto Simiyu- Magu-Mwanza

We MAMI mwenzangu kutoka huko USUKUMANI, usiyejua kula hata CHAPATI, hayo ya Zenji umeyajuaje?
 
Back
Top Bottom