Zanzibar 2020 Hussein Mwinyi atashinda uchaguzi, Maalim Seif atashinda kura

Zanzibar 2020 Hussein Mwinyi atashinda uchaguzi, Maalim Seif atashinda kura

Jibu swali we KUNGUNI
Nimekuomba ujiulize badala yake wanitusi. Nijibu swali gani? Inaonyesha umefikia mwisho wa kufikiri. Mazingira yalivyo ni kwamba Mwinyi tayari ni rais wa Zanzibar. Sio idadi ya kura inamweka rais madarakani bali tangazo la ZEC. Wanafanya watakavyo. Kufuta matokeo ya uchaguzi na kurudia. Kutangaza wamtakaye hata kama hakupata hata kura moja. Hakuna yeyote atapinga. Sanduku la kura ni la masharti ya kupatia mikopo!
Sanduku la kura kama linaheshimiwa hakuna shida. Hata akitoka baba akaingia mama baadaye mtoto na hata mjukuu ni mapenzi ya wapiga kura wenyewe. Tatizo ni pale fomu ya kutia nia inapochapwa moja tu. Kufukuzwa chamani kwa kutaka wachape fomu ya pili. Kweli utoto unakusumbua hadi kwenda hovyo kwa matusi!
 
Maalimu Seif toka aanze kugombea Zanzibar hadi leo wameshapita marais wangapi.
The sources said that Lieutenant Humud, 26 years old, had been a member of the Arab ethnic minority that had mono polized power on Zanzibar before the black majority seized power in a revolution on Jan. 12, 1964. Lieutenant Humud and four other assassins were later killed, reports said.

Sheik Karume's death re sulted from the long record of injustice, repression and cruelty that has marked Zanzibar his tory since the island was a 19th century slave market.
 
Maalim Seif amefanya kazi kama Waziri kiongozi wa Rais Ally Hassan Mwinyi mwaka 1984-1985.

Leo baada ya miaka 35 kupita anaenda kufanya kazi tena na mwana wa Rais Ally Hassan Mwinyi kama makamu wake wa kwanza wa rais.

Kwa ufupi amefanya kazi chini ya Baba(Ally) na sasa anaenda kufanya chini ya mtoto(Hussein).
The sources said that Lieu tenant Humud, 26 years old, had been a member of the Arab ethnic minority that had mono polized power on Zanzibar before the black majority seized power in a revolution on Jan. 12, 1964. Lieutenant Humud and four other assassins were later killed, reports said.

Sheik Karume's death re sulted from the long record of injustice, repression and cruelty that has marked Zanzibar his tory since the island was a 19th century slave market.
 
Huu ni uongo.

Fitna za Tanganyika dhidi ya Zanzibar ndio zilimueka Mwinyi SR na fitna hiyo hiyo ndio inataka kumuweka kwa nguvu Mwinyi JR.

Hivi hivi walimuweka Jumbe kutoka Mjimwema.

Bado Tanganyika kwa kutumia Sera ya devide and rule imepandikiza ccm wengi unguja na kuwapa vyeo vya chama eti kuiwakilisha Zanzibar Dodoma.

Makosa waliyofanya ccm asili Zanzibar kwa kufuata kasumba za kugawiwa na Bara ndio zinewafikisha hapo.

Tunakoelekea sio maslahi ya Zanzibar wala ya matumbo yao hayana nafasi.

Siku zote mkoloni si mwema
Nimeshangaa mwinyi senior mtu wa bara, aliweza vipi kuwa rais wa Zanzibar.
 
Sema Maalim Seif atashinda uchaguzi lakini, Mwinyi ndio atatangazwa mshindi.
Safari hii mkuu hayo hayawezekani. Kuna mtu atalazimisha kisha Yale ya 2001 yatatokea na sisi tutapata kwa Mara ya kwanza kiongozi/viongozi watakao nyea ndoo The Hague.
Dunia ya Leo sio ile tena ya wakati wa Mkapa, hii ni ya hata kauli tuu zinakupoteza bila kujali cheo chako.
 
Back
Top Bottom