Mzee Wa Republican
JF-Expert Member
- Jul 20, 2013
- 1,666
- 847
Ngoja nikuambie kitu mkuu.
Hivi unajua kuna wazanzibari waliozaliwa bara? Na unakubaliana na mimi kwamba kuna wasukuma waliozaliwa zanzibar? Na unajua kwamba kuna wamakonde waliozaliwa Musoma? Hao je tunawaitaje? Kuzaliwa kwao Musoma au Kagera kunawatoa umakonde wao?
Kama jibu ni sio hiyo ndiyo case ya Hussein Mwinyi pia. Hivi unajua kwamba hata baba yake aliwahi kuwa mbunge wa Mkuranga ? Mkuranga inaweza kuwa sehemu yake tu aliyoianzia siasa lakini kama asili yake ni Zanzibar basi alirudi nyumbani
Hivi unajua kuna wazanzibari waliozaliwa bara? Na unakubaliana na mimi kwamba kuna wasukuma waliozaliwa zanzibar? Na unajua kwamba kuna wamakonde waliozaliwa Musoma? Hao je tunawaitaje? Kuzaliwa kwao Musoma au Kagera kunawatoa umakonde wao?
Kama jibu ni sio hiyo ndiyo case ya Hussein Mwinyi pia. Hivi unajua kwamba hata baba yake aliwahi kuwa mbunge wa Mkuranga ? Mkuranga inaweza kuwa sehemu yake tu aliyoianzia siasa lakini kama asili yake ni Zanzibar basi alirudi nyumbani