Ata hili unataka ufafanuzi ama limurikwe tochi? unaambiwa wajumbe kutoka Zanzibar ni 35 na zile kura za shamsi na Khalid ni 35, lakini idadi ya wajumbe kutoka Tanganyika ni iliyobaki kwenye Idadi ukitoa 35, Kwa akili yako yakawaida tu bila ya akili ya darasani ivi kweli Mizengopinda anaweza kumpigia kura Dr. Khalid ama Shamsi?
Haya mambo yapo miaka nenda miaka rudi, Wazanzibari na maalim seif wamepiga kelele mpaka vifua vimewakauka lakini ccm wa zanzibar bado walikuwa na tamaa watampata rais wao wamtakae. Sasa matokeo yake pressure imeanza kuwakumba huko huko Dodoma, na kama mwinyi ndo atafuata nyayo za mkuu ccm zanzibar wategemee anguko kubwa la wale waliokuwa wakijifanya wana hati miliki kwenye chama cha Mapinduzi Zanzibar.