Zanzibar 2020 Hussein Mwinyi kukosa Kura zote za Zanzibar za Halmashauri Kuu ya CCM (NEC) inafikirisha sana. Haki ya Wazanzibar kuchagua iko Wapi?

Zanzibar 2020 Hussein Mwinyi kukosa Kura zote za Zanzibar za Halmashauri Kuu ya CCM (NEC) inafikirisha sana. Haki ya Wazanzibar kuchagua iko Wapi?

Wee kilaza kweli alete ushahidi gani tena wakati matokeo yalitangazwa na kwamba wajumbe wa bara wanaopiga kura ni 129 Zanzibar ni wajumbe 35 shamsi alipata kura 16. DK alipata kura 19 umeelewa hapo
Mkuu, wale wahuni wa Lumumba hawajui hesabu
 
VIJANA WA CCM TUKAE KWA KUTULIA.

Na Thadei Ole Mushi.

Kila nikiangalia hii picha ya Joshua Nasari, nikikumbuka na swali lililoulizwa na Mjumbe Wa NEC toka Songwe kuhusu wahamiaji kupewa Vyeo badala ya vijana waliopo CCM nacheka Sana.

Definitely tuache Hawa vijana wajinafasi kwa kuwa sioni ndani ya UVCCM mwenye uwezo wa kuwazidi. Nilipokuwa nasema Sana kuhusu hili miaka ya kuanzia 2017 Hakuna waliokuwa wanaunga mkono Hoja hiyo kila mtu alikuwa anaimba litania, Ngonjera,Pambio za Masifu, kupiga Manyanga nk.

Niliwaambia ifikapo 2020 mtakumbuka haya niliyokuwa nawaandikia na niliwaambia CCM Asilia itakuwa imetekwa na kutiwa mfukoni. Ni Dhahiri baada ya chuo Cha kivukoni kushindwa kupika vijana wa CCM Chadema inatusaidia jukumu Hilo.

Huwa nawaambia mnapata wapi ujasiri wa kuwaita Chadema Nyumbu? Hahahahah tutulie infact hatuna vijana wanaofikia viwango vya Hawa watu. Tutulie tuendelee na kujifua.

Ukiona baba yako anawagawia watoto wa Jirani Urithi ujue wewe ni mvuta bangi na mla Unga. Akikupa Urithi utauza upate hela ya kulamba Unga.

Ole Mushi
0712702602
Ukiona baba yako anawagawia watoto wa Jirani Urithi ujue wewe ni mvuta bangi na mla Unga.

Akikupa Urithi utauza upate hela ya kulamba Unga.

++++++++++++++++++++++++++
du!!!
 
Umejuaje kama hao 35 hawakumpigia kura Dr Mwinyi?!
Eti na Mgombea JMT naye kapata kura asilimia 💯 unataka kusema na huyu mjumbe amepiga kura ya ndiyo?
 

Attachments

  • 2453233_IMG_20200711_182102.jpg
    2453233_IMG_20200711_182102.jpg
    38.3 KB · Views: 1
Wajumbe kutoka znz ni 67 sio idadi hiyo aliyosema jamaa
Matokeo ya yaliyompa ushindi Dr Hussein Mwinyi katika kikao Cha halmashauri k ya chama nec yalikuwa Kama ifuatavyo ,Nahodha 16, Khalid 19 jumla 35 ambazo ndio idadi kamili ya wajumbe wa Zanzibar na kura 129 Za Hussein Mwinyi ambazo na za wajumbe wote wa Tanzania barabara ,haki ya Wazanzibar kuchagua kiongozi wao imeheshimiwa? Mbona kama wamechaguliwa kiongozi au wenzangu mnalionaje hili.Hawana haki ya kulalamika?View attachment 1504475
 
Ndugu Sky Eclat, sijui ukweli unamipita wapi, ndugu mmejipifua sana kwa kukataa kuyaona maovu ndani ya chama chenu, hadi linefanya kuwa macho yenu hayaoni ukweli.

Sky uchaguzi kwa Maalim umezidi kuwa mgumu na ushaguzi wa halali umetoweka kabisa. Msitegemee ACT kutangazwa mshindi hata siku moja, kama Mbowe atakovyo kosa kiti chake cha ubunge hata akipata 70% ya kura, kama atagombea ubunge badala ya Uraisi
Duh.. aliyeshindwa kutangazwa mshindi ww unaona ni sawa??
 
Matokeo ya yaliyompa ushindi Dr Hussein Mwinyi katika kikao Cha halmashauri k ya chama nec yalikuwa Kama ifuatavyo ,Nahodha 16, Khalid 19 jumla 35 ambazo ndio idadi kamili ya wajumbe wa Zanzibar na kura 129 Za Hussein Mwinyi ambazo na za wajumbe wote wa Tanzania barabara ,haki ya Wazanzibar kuchagua kiongozi wao imeheshimiwa? Mbona kama wamechaguliwa kiongozi au wenzangu mnalionaje hili.Hawana haki ya kulalamika?View attachment 1504475
Mbona wajumbe wa CCM , NEC Zanzibar inasemwa wako 68?
 
Zanzibar hatuna figisu figisu wala fekenye fekenye, Muungano wetu ni zaidi ya hayo.
Wenye visokorokwinyo shauri yenu, CCM mbele kwa mbele.
 
Usitukane wazanzibari , wazanzibari wanajitambua kuliko mnavojitambua(watanganyika) tatizo CCM Zanzibar wachache wameisaliti Zanzibar kwa masilahi binafsi. Binafsi nadhani hatimaye adui amejulikana kilichobakia is to bury the little differences among Zanzibaris and bury the hatchet in head of common enemy.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Matokeo ya yaliyompa ushindi Dr Hussein Mwinyi katika kikao Cha halmashauri k ya chama nec yalikuwa Kama ifuatavyo ,Nahodha 16, Khalid 19 jumla 35 ambazo ndio idadi kamili ya wajumbe wa Zanzibar na kura 129 Za Hussein Mwinyi ambazo na za wajumbe wote wa Tanzania barabara ,haki ya Wazanzibar kuchagua kiongozi wao imeheshimiwa? Mbona kama wamechaguliwa kiongozi au wenzangu mnalionaje hili.Hawana haki ya kulalamika?View attachment 1504475
Naiona nafasi ya maalim Seif Sharif pale michenzani akiibuka rais wa Zanzibar
 
Ndio maana utaona Mh.Rais hizi teuzi za hivi karibuni kaamua kuteua walioko ofisini sio vijana wa uvccm hiyo inaonyesha vijana wengi wa ccm hawana uwezo wa kiuongozi
Hao wamebaki kua walamba makalio wakisubiri vyeo kumbe mkuu pia anaangalia na kanda kabila na dini pia
 
Back
Top Bottom