Zanzibar 2020 Hussein Mwinyi kukosa Kura zote za Zanzibar za Halmashauri Kuu ya CCM (NEC) inafikirisha sana. Haki ya Wazanzibar kuchagua iko Wapi?

Zanzibar 2020 Hussein Mwinyi kukosa Kura zote za Zanzibar za Halmashauri Kuu ya CCM (NEC) inafikirisha sana. Haki ya Wazanzibar kuchagua iko Wapi?

Utavunjwa tu(ni muda tu ndio utaongea), hakuna mzanzibar anayetaka MUUNGANO ,hauna faida kwao zaidi ya kuwanyonya tu!!
umenena vizuri mkuu ni kweli ni suala la muda sababu kila lenye mwanzo lina mwisho!
tatizo ni kuwa hiyo siku ya kuuvunja muungano ni miaka mingi mno ijayo labda hatutakuwepo kwahiyo it doesnt matter!!
safari mpya ya matumaini ya kuuvunja muungano itaanza tena upya miaka kumi ijayo!!
ushauri wangu ni bora wazenji kuukubali ukweli kuwa wameungana na bara ili waishi kwa raha!
 
Matokeo ya yaliyompa ushindi Dr Hussein Mwinyi katika kikao Cha halmashauri k ya chama nec yalikuwa Kama ifuatavyo ,Nahodha 16, Khalid 19 jumla 35 ambazo ndio idadi kamili ya wajumbe wa Zanzibar na kura 129 Za Hussein Mwinyi ambazo na za wajumbe wote wa Tanzania barabara ,haki ya Wazanzibar kuchagua kiongozi wao imeheshimiwa? Mbona kama wamechaguliwa kiongozi au wenzangu mnalionaje hili.Hawana haki ya kulalamika?View attachment 1504475
Mimi namshauri Dr Hussein asitumie staili ya JPM kuiongoza Zanzibar kwa sababu wazanzibari ni tofauti kabisa na wabara.
 
Matokeo ya yaliyompa ushindi Dr Hussein Mwinyi katika kikao Cha halmashauri k ya chama nec yalikuwa Kama ifuatavyo ,Nahodha 16, Khalid 19 jumla 35 ambazo ndio idadi kamili ya wajumbe wa Zanzibar na kura 129 Za Hussein Mwinyi ambazo na za wajumbe wote wa Tanzania barabara ,haki ya Wazanzibar kuchagua kiongozi wao imeheshimiwa? Mbona kama wamechaguliwa kiongozi au wenzangu mnalionaje hili.Hawana haki ya kulalamika?View attachment 1504475
Screenshot 2020-07-02 at 14.27.45.png
 
Matokeo ya yaliyompa ushindi Dr Hussein Mwinyi katika kikao Cha halmashauri k ya chama nec yalikuwa Kama ifuatavyo ,Nahodha 16, Khalid 19 jumla 35 ambazo ndio idadi kamili ya wajumbe wa Zanzibar na kura 129 Za Hussein Mwinyi ambazo na za wajumbe wote wa Tanzania barabara ,haki ya Wazanzibar kuchagua kiongozi wao imeheshimiwa? Mbona kama wamechaguliwa kiongozi au wenzangu mnalionaje hili.Hawana haki ya kulalamika?View attachment 1504475
Inamaana hata yeye mwenyewe Mwinyi hakujipigia kura?
 
VIJANA WA CCM TUKAE KWA KUTULIA.

Na Thadei Ole Mushi.

Kila nikiangalia hii picha ya Joshua Nasari, nikikumbuka na swali lililoulizwa na Mjumbe Wa NEC toka Songwe kuhusu wahamiaji kupewa Vyeo badala ya vijana waliopo CCM nacheka Sana.

Definitely tuache Hawa vijana wajinafasi kwa kuwa sioni ndani ya UVCCM mwenye uwezo wa kuwazidi. Nilipokuwa nasema Sana kuhusu hili miaka ya kuanzia 2017 Hakuna waliokuwa wanaunga mkono Hoja hiyo kila mtu alikuwa anaimba litania, Ngonjera,Pambio za Masifu, kupiga Manyanga nk.

Niliwaambia ifikapo 2020 mtakumbuka haya niliyokuwa nawaandikia na niliwaambia CCM Asilia itakuwa imetekwa na kutiwa mfukoni. Ni Dhahiri baada ya chuo Cha kivukoni kushindwa kupika vijana wa CCM Chadema inatusaidia jukumu Hilo.

Huwa nawaambia mnapata wapi ujasiri wa kuwaita Chadema Nyumbu? Hahahahah tutulie infact hatuna vijana wanaofikia viwango vya Hawa watu. Tutulie tuendelee na kujifua.

Ukiona baba yako anawagawia watoto wa Jirani Urithi ujue wewe ni mvuta bangi na mla Unga. Akikupa Urithi utauza upate hela ya kulamba Unga.

Ole Mushi
0712702602
Point yako nzuri sana, ila ukirudi nyuma utagundua kuwa wengi wa hao waliokuwa CHADEMA ni wale waliokuwa CCM (sipokuwa labda Mtatiro na Kafulila), lakini wakafanyiwa rafu ndipo wakakimbilia CHADEMA na kushinda wakiwa kule. Naona CCM inachotaka kufanya ni kuondoa rafu za waziwazi, waache wote washindane kwenye level ground moja, halafu mshindi atakayekubaliwa hata na aliowashinda ndiye apewe kijiti.
 
Ndugu mnapiga kelele bure, Jee mnajua kuwa hakuna wakati wazanzibari wamejichagulia kiongizi wa chaguo lao, Always Bara ndiyo yenye uamuzi, kuanzia Mzee Karume ambaye hakuhusika na mapinduzi, baada ya John Okelo na genge lake kupindua serekali ya sultan, nyerere akamuita Dar wazungumze, Okelo alipofika hakurusiwa tena kurudi Znz, na baadaye akarudishwa kwao Uganda. Baada ya Okelo kutua Dar, Nyerere alimtuma Karume aliyekuwa mafichonj kwenda kushika usukani wa dola.

Jee mnajua kuwa Karume ni Mmalawi aliyezaliwa malawi, alikuja Zanzibar na wazazi wake akiwa mdogo sana.
 
Matokeo ya yaliyompa ushindi Dr Hussein Mwinyi katika kikao Cha halmashauri k ya chama nec yalikuwa Kama ifuatavyo ,Nahodha 16, Khalid 19 jumla 35 ambazo ndio idadi kamili ya wajumbe wa Zanzibar na kura 129 Za Hussein Mwinyi ambazo na za wajumbe wote wa Tanzania barabara ,haki ya Wazanzibar kuchagua kiongozi wao imeheshimiwa? Mbona kama wamechaguliwa kiongozi au wenzangu mnalionaje hili.Hawana haki ya kulalamika?View attachment 1504475
Kwa hiyo Husein Mwinyi hakujipigia kura au?

Naye si mjumbe kutoka Zanzibar. Tuache ramli chonganishi
 
Umemjibu vema kabisa. Na anasahau kabisa kuwa ZEC inamtaka mtu kuwa mzanzibar (wao wanaita mkaazi) ili kuwa mpiga kura au mgombea. Kama jamaa alikuwa Mbunge wa Mkuranga - wanamchukulia sio mzanzibar na ndio maana alishinda kwa kura za wabara!! Mimi sielewi ni kwanini wajumbe watofautiane kwa idadi kati ya nchi hizi mbili. Labda ni kwa kuwa siko katika siasa lakini ni dhahiri maamuzi ya wanaCCM Zanzibar yatafanywa na CCM Bara - siku zote!!

Naona njia nyeupe kwa Seif, ziliwemo kura nyingi za wanaCCM hasa baada ya mshindi kusema ataongoza Zanzibar kama JPM anavofanya Bara!
Sijui nini kimekuja kutokea na kuipotosha ccm mpya. Mwanzoni wakati wa kuunganisha TANU na ASP jitihada zilikuwa zinafanyika kuzipa pande zote mbili za muungano uzito unaofananafanana.
 
Wak
VIJANA WA CCM TUKAE KWA KUTULIA.

Na Thadei Ole Mushi.

Kila nikiangalia hii picha ya Joshua Nasari, nikikumbuka na swali lililoulizwa na Mjumbe Wa NEC toka Songwe kuhusu wahamiaji kupewa Vyeo badala ya vijana waliopo CCM nacheka Sana.

Definitely tuache Hawa vijana wajinafasi kwa kuwa sioni ndani ya UVCCM mwenye uwezo wa kuwazidi. Nilipokuwa nasema Sana kuhusu hili miaka ya kuanzia 2017 Hakuna waliokuwa wanaunga mkono Hoja hiyo kila mtu alikuwa anaimba litania, Ngonjera,Pambio za Masifu, kupiga Manyanga nk.

Niliwaambia ifikapo 2020 mtakumbuka haya niliyokuwa nawaandikia na niliwaambia CCM Asilia itakuwa imetekwa na kutiwa mfukoni. Ni Dhahiri baada ya chuo Cha kivukoni kushindwa kupika vijana wa CCM Chadema inatusaidia jukumu Hilo.

Huwa nawaambia mnapata wapi ujasiri wa kuwaita Chadema Nyumbu? Hahahahah tutulie infact hatuna vijana wanaofikia viwango vya Hawa watu. Tutulie tuendelee na kujifua.

Ukiona baba yako anawagawia watoto wa Jirani Urithi ujue wewe ni mvuta bangi na mla Unga. Akikupa Urithi utauza upate hela ya kulamba Unga.

Ole Mushi
0712702602
Bahati yao mbaya,inawachukua muda kuja kuelewa kuwa CDM na Upinzani kuna wazalendo wa kweli na siyo hawa wa plastic waliopo huko CCM hasa hii mpya.Wanaimba mapambio ambayo mtunzi/producer wao ni Polepole,unatarajia Mhe.Rais afanyeje?
Wangekubali tu CDM iongoze nchi kwa walau miaka mitano tufanye ulinganifu baina yao na hawa CCM.Tukigundua hawawezi tutairudisha CCM na/au kuipa ACT Wazalendo,NCCR Mageuzi,UDP,UPDP,CHAUMA,TADEA,CUF etc.Endapo CDM/ACT Wazalendo wakiungana tunaweza kuisahau CCM na Watanzania hawatawasamehe kamwe na itapotea kama KANU.
 
Back
Top Bottom