Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya alishawahi kusema Davis Mosha tena hadharani.
Umepiga kwenye mshono Taikon Mtibeli ,Ukweli Mchungu ,The Naked Truth.
Half american ni rafiki yangu Flani noma kiroho safi, so we are just joking around.Intelligent businessman Half american nina GenZ wawili kila mtu atapata hamna haja ya kugombana mashemeji zangu. 🤭
Bila mwanamke Dunia ingekuwa sehemu salama ya kuishi.
Mwanamke ni mtu fulani ambaye muda wote anahisi kusaidiwa.
Mdogo wangu hilo jina litakugharimuHalf american ni rafiki yangu Flani noma kiroho safi, so we are just joking around.
Jina lake jingine ana itwa kubwa la manusu a.k.a nusu albino 😆 😂 😂
wenzako walio jaribu, wali ishia kupostiwa na mishumaa.Mdogo wangu hilo jina litakugharimu
Shem huyo asijejichanganya tu akafall kwa yule wangu.😅Intelligent businessman Half american nina GenZ wawili kila mtu atapata hamna haja ya kugombana mashemeji zangu. 🤭
Kenge tuu hawa wagegede alafu tupa kuleRussian President Vladimir Putin said that “it’s best not to argue with women”
Wanawake tunazaliwa nao na ni watoto wetu pia but wengi wao ni watu wa hovyo sana.
Na mbaya zaidi siku hizi sheria zinamkandamiza Mwanaume kuliko Mwanamke.Ukipata mwanamke wa maana utakuwa mwenye furaha Daima,shida ni kumpa sasa huyo Mwanamke.
Wenzio walio jaribu wali ishia kupostiwa na mishumaa 🤣😂Shem huyo asijejichanganya tu akafall kwa yule wangu.😅
Hata huko si kuna maisha piaWenzio walio jaribu wali ishia kupostiwa na mishumaa 🤣😂
Sio wote hawa unaowaongelea hapa ni wadangaji ukioa mdangaj lazima kikulambemwanamke yeyote aliyekubali kuolewa ni kwa sababu ameona retiremet plann yake ipo bright.... akiona your future ni isiyoeleweka na retirement yake iliyo na jasho anakuacha anabeba na watoto unakua total losser...nguvu zote umezipotezea kwake...anakuja kwakoa akifikiria atapata watoto ambao watamsaidia uzeeni utakufa utamwachia nyumba aishi na wanae au mali ale na wanae na wanaumezake...
Mdogo wangu hilo jina litakugharimu
Naona ume kiri mwenyewe, we ni kenge maji😂🤣Hata huko si kuna maisha pia