Hutaki kugawana Mali zako halafu unafunga ndoa, una akili sawasawa KWELI? Ni Bora usioe tuu!

Hutaki kugawana Mali zako halafu unafunga ndoa, una akili sawasawa KWELI? Ni Bora usioe tuu!

Bila mwanamke Dunia ingekuwa sehemu salama ya kuishi.
 
Russian President Vladimir Putin said that “it’s best not to argue with women”
Wanawake tunazaliwa nao na ni watoto wetu pia but wengi wao ni watu wa hovyo sana.

Na mbaya zaidi siku hizi sheria zinamkandamiza Mwanaume kuliko Mwanamke.Ukipata mwanamke wa maana utakuwa mwenye furaha Daima,shida ni kumpa sasa huyo Mwanamke.
Kenge tuu hawa wagegede alafu tupa kule
 
mwanamke yeyote aliyekubali kuolewa ni kwa sababu ameona retiremet plann yake ipo bright.... akiona your future ni isiyoeleweka na retirement yake iliyo na jasho anakuacha anabeba na watoto unakua total losser...nguvu zote umezipotezea kwake...anakuja kwakoa akifikiria atapata watoto ambao watamsaidia uzeeni utakufa utamwachia nyumba aishi na wanae au mali ale na wanae na wanaumezake...
Sio wote hawa unaowaongelea hapa ni wadangaji ukioa mdangaj lazima kikulambe
 
Mapenzi hayana formula,labda kama mtu uamue kuoa kimkakati tu bila kuhusisha hisia.
 
Back
Top Bottom