Huu hapa ukweli kuhusu majini (eneo ambalo wanapatikana kwa wingi jijini Dar es Salaam)

mbinu moja wapo ya kujua ni kiasi gani watz wengi(wasomi kwa wasio wasomi), wanaamini ktk uchawi na ushirikina, anzisha mada kama hii halafu tazama muitikio wake.

nawahakikishia, uzi huu utapata engagement kubwa sana kutoka kwa wanajf.
 
Naomba kuuliza maan nmeshindwa kusoma kote
Je majini na alien 👽 ni viumbe sawa ? sijui niseme viumbe sijui mizuka sijui roho
 
Naomba kuuliza maan nmeshindwa kusoma kote
Je majini na alien 👽 ni viumbe sawa ? sijui niseme viumbe sijui mizuka sijui roho
Majini na Alliens ni tofauti.

Hawa Alliens ni humanoid creatures( human -like creatures) ambao wanaishi katika sayari nyingine na makundi nyota (galaxies) nyingine.

KWA information nilizo nazo, binadamu na viumbe wote waliopo katika sayari ya dunia walikuwa genetically engineered ( created ) kwenye constellation inayo julikana kama ALPHA CENTAURI.

Hapo Alpha CENTAURI ndipo binadamu wa KWANZA walitengenezwa na kisha wakaja kuwa planted hapa duniani.

Umbali wa kutoka duniani HADI ALPHA CENTAURI KWA spidi ya Mwanga ni kilometa 4. Maana yake ni kwamba KWA kutumia chombo chenye spidi ya Mwanga itamchukua mwanadamu miaka elfu 6 na mia tatu kufika Alpha Centauri.


Binadamu alitengenezwa ALPHA CENTAURI lakini raw materials zilizo tumika Kumtengeneza binadamu zilitoka hapa hapa duniani.

Ndo maana inasema ADAM was created from the earth.

Mwili wa binadamu haujatengenezwa kwa udongo kama watu wengi walivyo aminishwa isipokuwa umetengenezwa KWA kutumia mali ghafi zilizo toka kwenye udongo.

Ni SAWA na kusema nguo uliyo vaa imetoka kwenye udongo. Ukweli ni kwamba nguo yako haitokani na udongo ila imetokana na pamba ambayo imelimwa kwenye udongo.

Ndivyo ilivyo KWA binadamu. Mali ghafi zilizo tumika Kumtengeneza mwanadamu zimetoka kwenye udongo. Mfano meno na mifupa( imetokana na aina ya mwamba ambao unapatikana hapa hapa duniani) nywele zimetokana na aina ya majani ( grasses)

Etc etc.

Turudi KWA Alliens
Wakati Mungu anawatengeneza Adam na Hawa, alitengeneza mabilioni ya Adam na Hawa.

Miongoni mwao alikuja kuwapanda hapa kwenye sayari ya dunia na wengine aliwapanda kwenye sayari tofauti tofauti...


Hao walio pandwa kwenye sayari tofauti tofauti ndio hao ambao tuna waita Alliens.

Miongoni mwao wapo ambao wameendelea kiteknolojia kuliko sisi na miongoni mwao, wapo ambao sisi tumeendelea kiteknolojia kuliko wao.

Majini ni tofauti.
 
Umesema kuna short cut ya kwenda Venus huko Zanzibar? So NASA Bora waje Zanzibar kurusha rockets?

Sio Zanzibar tu. Tanga, Dar, Lindi, Mtwara na India.

But mkuu nimesema kwa kutumia the latest human technology chombo kutoka duniani kwenda Venus kitatumia siku 109.

Hiyo short-cut way imekuwa powered na hiyo technology of the djinns kama nilivyo sema hapo awali kwamba hawa majini ni viumbe ambao wapo more advanced in technology kuliko binadamu so KWA kutumia technology yao umbali kutoka duniani HADI venus ni dakika saba.

Hiyo portal inayo connect hiyo short cut Kati ya Venus and earth ipo BAHARINi upande wa bahari ya Hindi.

Baadae nitaelezea na spiritual relevance of the bermuda triangle.

Nitaelezea kuhusu mlima kilimanjaro na Mlima Himalaya ( Everest)

Nitatoa sababu kwanini katika elimu ya kijini Mlima Kilimanjaro ndio inaitwa Mlima mrefu kushinda milima yote duniani

Nitaelezea Mlima Kilimanjaro una wakilisha kitu GANI hapa duniani.

Nitaelezea milima ina maanisha kitu GANI katika ulimwengu wa majini.

Nitaeleza kuhusu uwepo wa Mlima ndani ya ziwa victoria ( ambao umefunikwa na maji) na wenye upanda wa kutoka eneo la kisiwa cha ukara HADI Uganda na kwanini ndege hazipiti karibu na usawa wa eneo hilo na endapo zitapita kitu GANI kitatokea.
 
Ni mwiko kutaja. Unatakiwa ufanye utafiti mwenyewe KWA kwenda KILA kita ya dsm usiku kufanya ulozi. Siku utakayo fika kwenye eneo husika utaona utofauti hata wa hicho ambacho una kifanyia ulozi
hivi kipande cha mti kikikatwa halafu kikaachwa hadi kikauke kinaitwaje?
 
Alameda kulitokea nini? Napo ni constellation?
 
Aisee Ina maana ukijua jinsi yanavyo operate na coordinate zao unaweza ukatengeneza strategy za kivita kupambana na changamoto mbalimbali hapa Kwa maisha ya kawaida duniani,naanza kupata picha Kwa nini hapa duniani Kuna watu Wana ujuzi Mujarabu kabiSa na wengine hohehohe ata kusoma abcdefg hawezi miaka mia
 
Duh hiyo ni bonge la sayansi lazima Kuna kitu kifizikia kinahusika hapo wanasayansi wakihamishia maabara zao hapo Kuna jambo astonishing litaonekana la kisayansi lakini ambalo sasa sisi kwetu ndio tunaona this is magic,, spiritually tunasema majini.Lakini maybe ndio technology Yao hiyo majini as LIKUD anavyo claim,,who knows better?
 
Kwa UCHACHE tu ni kwamba TANZANIA Wanaiita NCHI ya MAZIWA MAKUU

waliposema BINADAMU wa KWANZA aliishi TANZANIA hawakukosea

TANZANIA ina HISTORIA kubwa na ya kusisimua katika HIDDEN WORD
Nastajabu aliyeichora RAMANI ya TANZANIA je alikuwa anajua haya yote

mkuu LANGO jingine au wewe waita SHORTCUT YA VENUS lipo KIGOMA pia but ni kwa majini wa low PROFILE sana
ukitaka la HIGH PROFILE ndio lipo DAR ESALAAM
lkn pia Lango JINGINE lipo MWANZA

kwa wasiofahamu kunakuwa na mkutano Mkubwa wa KIDUNIA unaohusisha kila SECTA unayoijua wewe katika kujadili MUHKTASARI wa DUNIA katika NYANZA zote unazozifahamu wewe
na hata ukanda wetu wa MAZIWA MAKUU tunatoa MUWAKILISHI
hata hilo TAIFA mnalosema limeendelea KITEKINOLOJIA [emoji1148] linatoa WAWAKILISHI pia

NI kweli kila SAYARI unayoifahamu wewe ina VIUMBE wanaishi kulingana na HALI husika ya hiyo SAYARI
mfano Zebaki majini wanoishi katika SAYARI hiyo wapo katika mfumo wa cheche sijui niseme spock lkn wapo katika mfumo wa moto
kuna mengi mengi mno kuhusu
Ukitaka kuyajua yote utaonekana Chizi
same walivyokuwa wanadhani me ni chizi
ni kama unavyomuona huyu bwana LIKUD unaweza ukahisi km anabwabwanya au alokosa maendeleo asikwambie mtu MAARIFA makubwa lazima uyapate kwa MAJINNI utake usitake ipo hvyo
niishie hapa tu kwa uchache
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…