Kwa UCHACHE tu ni kwamba TANZANIA Wanaiita NCHI ya MAZIWA MAKUU
waliposema BINADAMU wa KWANZA aliishi TANZANIA hawakukosea
TANZANIA ina HISTORIA kubwa na ya kusisimua katika HIDDEN WORD
Nastajabu aliyeichora RAMANI ya TANZANIA je alikuwa anajua haya yote
mkuu LANGO jingine au wewe waita SHORTCUT YA VENUS lipo KIGOMA pia but ni kwa majini wa low PROFILE sana
ukitaka la HIGH PROFILE ndio lipo DAR ESALAAM
lkn pia Lango JINGINE lipo MWANZA
kwa wasiofahamu kunakuwa na mkutano Mkubwa wa KIDUNIA unaohusisha kila SECTA unayoijua wewe katika kujadili MUHKTASARI wa DUNIA katika NYANZA zote unazozifahamu wewe
na hata ukanda wetu wa MAZIWA MAKUU tunatoa MUWAKILISHI
hata hilo TAIFA mnalosema limeendelea KITEKINOLOJIA [emoji1148] linatoa WAWAKILISHI pia
NI kweli kila SAYARI unayoifahamu wewe ina VIUMBE wanaishi kulingana na HALI husika ya hiyo SAYARI
mfano Zebaki majini wanoishi katika SAYARI hiyo wapo katika mfumo wa cheche sijui niseme spock lkn wapo katika mfumo wa moto
kuna mengi mengi mno kuhusu
Ukitaka kuyajua yote utaonekana Chizi
same walivyokuwa wanadhani me ni chizi
ni kama unavyomuona huyu bwana
LIKUD unaweza ukahisi km anabwabwanya au alokosa maendeleo asikwambie mtu MAARIFA makubwa lazima uyapate kwa MAJINNI utake usitake ipo hvyo
niishie hapa tu kwa uchache