Huu hapa ukweli kuhusu majini (eneo ambalo wanapatikana kwa wingi jijini Dar es Salaam)

Bwana Kiranga Wewe ndo huyo umeenda KWA mganga Mshana Jr unataka kumuua kichawi ndugu DeepPond kea sababu amekuchukulia nyumba ndogo YAKO[emoji23]
 
Hivi hii Elimu inaweza kutengeneza drones,au ni abrakadabla?
 
hapa nimekumbuka bandiko lako la mungu sophia ,aeon na wanachoamini freemaanson
 
Mkuu,, ni hivi juzi tu Jumatatu nilikua natoka msikitini kuswali ile swala ya jioni saa 12 (maghrib) nimevaa zangu kanzu safi, kabla sijafikia geti la nyumba ninayoishi akapita paka mwenye rangi ya brown and white kwenye miguu yangu kwa speed flani dizain kama alikua ananikimbilia mimi,, mpaka nikastuka.

vipi hiyo imekaaje mkuu
 
Hapa kwenye paka umechemka, paka wa Dar wanatumiwa sana na wachawi, Fanya research yako upya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…