Huu Hapa ukweli kuhusu Utata wa selemani aliyeimbwa na Mbosso..

Chief inaonekana ukiwa theatre unaliwazwa na ngoma za kikwetu maana unazijua vilivyo mpaka raha .



Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Vipi kuhusu MASUDI wa Marijani Rajabu, MZEE WA BUSARA wa Gangwe Mobb, JERRY wa Solid Ground family
Hawahusiki kwenye kizazi cha huyuu Seleee??
Kuna Yule Athumani (yule athumani akishalewa lewa) ni Mjomba wake seleee...
Masudi ndo ukoo Huo huo Hahahaah Sema Jerry Dah Yeye naona ndo amemrithisha Seleman maaana yeeye akishavuta bangi tu Kichaaa
 
Ila komando anaonekana ni jike shupa kweli kweli. Beef na jasiri muongoza njia wa mawingu halikuisha mpaka jasiri akakata moto. Lile na kukoboa nadhani bado linaishi.
Kwenye page zake huwa anawajibu wakosoaji wake kwa ukali sana.
Kuna siku aliulizwa Anajutia kutokusameheana na Jasiri, akajibu hajutii hata kidogo na wala haumii kutosameheana naye, akaulizwa hata kama amekufa haoni shida kusema hivyo , akajibu haoni tatizo kwani bado hajabadilisha maamuzi
 
Apia
 
Nzuri mtafute mshairi basi inaweza kuwa muendelezo. Siku za nyuma cloud walikuwa na segment ya kutengeneza stori kupitia nyimbo tofauti. Sikumbuki kipindi kiliitwaje.
Hembu tute genezee stori ya boxer nganou ukizingatia kina muhamed Ally. Hawa vijukuu vya Ally.
 
Awaap wewe ni copycat kubali yaishe.
If that Will make you feel happy and reduce your inferiority Then its Ok l
i am a big Copycat....
Happy now!...

But its better Your Show me..Nimekopi wapi ns Uonyeshe u achomisema ili kiwe sahihi...
Vinginevyo Ndo maaana kizazi cha Millenial mpaka gene Z hamuendelei..
Huwa mnageuza Uvivu na kukosa akili kuwa chuki jifunzeni...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…