Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 9,266
- 7,426
Kazi kweli kweli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nawewe eti unaamini kweli nchi ina safari ndefuSafi kabisa kumbe hakulazimishwa aliyataka mwenyewe ili amfunike mzee wa kuwajaza(Makambo).
Safari ndefu ya nin tena..Nawewe eti unaamini kweli nchi ina safari ndefu
Hivi wewe unaamini ujinga kama huo hivi haujiulizi kuwa kabla hajaja bongo mayele alikuwa na hatari ipi? Kwasababu kama kufeli nje wamefeli wengi mno tukianza na chama na luis hawa waliondoka wa moto mno ila huko wakafeli je wamewahi kusingizia uchawi?Safari ndefu ya nin tena..
Mzee hii inshu wala mim sipo serious nilikua namkubali sana jamaa lakini nimegundua hajui nin aseme na Kwa wakati gani..Hivi wewe unaamini ujinga kama huo hivi haujiulizi kuwa kabla hajaja bongo mayele alikuwa na hatari ipi? Kwasababu kama kufeli nje wamefeli wengi mno tukianza na chama na luis hawa waliondoka wa moto mno ila huko wakafeli je wamewahi kusingizia uchawi? Mayele akubali ukiishi maisha ya mtandaoni sana matokeo huwa yanakuwa haya...mechi ya afcon kati ya congo na Tanzania ilipoisha mayele akapost Instagram kuwa mbali ya kuchezesha mabeki wanne ila haikusaidia kitu wabongo bila kujali timu zao walimpopoa mno,tukija mechi ya pyramid na mamelody jamaa alikosa kibali cha kuingia south jamaa akapost kuwa eti wanamwogopa ndio maana wakamnyima visa ila kocha wa mamelod alimwambia punguza maisha ya mtandaoni
Mi huwa navutiwa sana kusoma n'uz za huyu mwamba, hata kama 'akili yangu' inanifanya nisiiamini hiyo habari!Hata sijasoma