Huu hapa Ukweli uliojificha kumhusu Mlalamikaji Mnafiki Fiston Mayele na Lawama zake za Kurogwa na Waganga wa Yanga SC

Huu hapa Ukweli uliojificha kumhusu Mlalamikaji Mnafiki Fiston Mayele na Lawama zake za Kurogwa na Waganga wa Yanga SC

Fiston Mayele yuko sahihi kwa 100% kwani Waganga Wawili Wakubwa wa Yanga SC mmoja akitokea Kisiwani Zanzibar na mwingine akitokea Kusini ( Mtwara na Lindi ) ni tatizo na sababu ya Kinachomkuta.

Taarifa za uhakika ambazo GENTAMYCINE nimepewa na Mmoja wa Wachezaji wa Ndani ( Mzawa ) wa Yanga SC na Kiongozi Mwandamizi Mmoja wa Yanga SC ni kwamba Fiston Mayele alikubali Mwenyewe kuwa Mbeba Majini ya Ufungaji kwa Sharti Kuu kuwa kila akifunga tu Goli awe anaomba na analazimisha Kutoka ili aingie mwingine asiharibu Utaratibu wa Kiushirikina.

Taarifa zaidi zinasema kuwa alichokisahau na kinachomtesa sasa Fiston Mayele ni kwamba Ushirikina aliofanyiwa na hao / hawa Waganga Wawili Wakubwa wa Yanga SC ulikuwa ni kwa ajili ya Nyota ya Yanga SC tu pekee na hilo Jini lake Lilinuiwa kuifanikisha Yanga SC kwa Magoli yake mengi na ya Ajabu Ajabu aliyokuwa Akiyafunga kwa msaada mkubwa wa Majini aliyobebeshwa.

GENTAMYCINE nimeendelea Kujulishwa kuwa kumbe hata Jezi ya Fiston Mayele na Viatu vyake ( Njumu ) vilikuwa vinalala kwa Waganga ili Wazitengeneze Kiushirikina na awe na Nguvu za Ajabu, Atishe Mabeki na Aogopwe nao na awe Anafunga mno Kitu ambacho Kilifanikiwa kwa 99.9%

Kwa sasa anachotakiwa Kukifanya Fiston Mayele ni ama kuja Tanzania ili Ategue Uchawi / Ishirikina mkubwa Alioufanya na Aliofanyiwa kisha kama Uwezo wake wa Kiuchumi unamruhusu basi aondoke na Mmoja wa hawa Waganga Wawili ili akaishi nae huko nchini Misri na aweze Kumsaidia kwani hata akifanyiwa kutokea Tanzania hatofanikiwa kwakuwa kamwe Uchawi hauvuki Bahari.

Mwishoni nikamaliziwa kuambiwa kuwa karibia 99% ya Timu Kubwa za Simba na Yanga huwa zinategemea mno Majini ya Kutuma na Kutekeleza huku Majini ya Yanga SC yakiwa ni ya Kike yanayopenda Kutumia Damu za Hedhi za akina Dada / Mama huku Simba SC ikiwa inatumia zaidi Majini ya Kiume ambayo hupenda sana Kuua na Kujeruhi vibaya ( Wachezaji Kupasuka na Kuumia vibaya kwa kutokwa na Damu ) kama sehemu yao Kafara.

Nimedokezwa kuwa hata Magoli ya mbali na ya Mashuti makubwa ya Balama Mapinduzi, Bernard Morrison, Zawadi Mauya, Feisal Salum 'Feitoto' na lile la karibuni la Kibu Denis yote yalitokana na Nguvu ya Msaada wa Jini / Majini.

Hivyo basi Kiherehere cha Fiston Mayele cha kujifanya anaipenda sana Yanga SC na Kukubali kubeba Makombora makubwa ( Majini ) ili Afunge Magoli na Ateteme kusudi Umaarufu wake usipotee ndiyo Kimemponza na huu Ukweli anaujua japo nimeshangaa kusikia / kuiba kuwa Analalamika Mitandaoni.

Na kama kuna Mtu ambaye Kamponza na Kumharibia Fiston Mayele juu ya haya Malalamiko yake na Kiwango chake Kushuka ni aliyekuwa Rafiki yake mkubwa ambaye ni Haji Manara.

Nyota Kali aliyokuwa nayo Fiston Mayele baada ya kuondoka rasmi Yanga SC na kwenda huko Pyramid FC ni kwamba Haji Manara kapita nayo mazima ( kaichukua ) na sasa anaitumia kiasi kwamba Nyota yake inawaka na anafanikiwa japo ndani ya miaka Mitatu Minne ijayo atashuka Kiumaarufu, Kufilisika na kuwa Mtu wa Kawaida ( Ngumbaru ) tu kama Mimi GENTAMYCINE.

Na sababu kubwa ya Haki Manara kujifanya kumsihi na kumshauri Fiston Mayele ni kwamba hataki Alichomfanyia ( kupitia Nyota ya Mayele na Majini ) kijulikane kwa sasa na Mtetemaji Fiston Kalala Mayele.

ANGALIZO

Sijamlazimisha Mtu yoyote Kuusoma na Kuuamini huu Uzi wangu japo nina uhakika nao ( tena kwa Kujiamini kabisa ) kwa 100% kwani Wanyetishaji wangu ni Wachezaji na Viongozi kadhaa kutoka Yanga SC yenyewe.

Hivyo basi unajua / unajijua kabisa kuwa kwa Ujuha wako hunipendi na unanichukia GENTAMYCINE hapa JamiiForums nakuomba acha kabisa kusoma Threads zangu na niachie wale Members Wanaonielewa na Wanajitambua Kichwani / Kiakili pia..

Soma tu Threads za Uwapendao Ok?


Haya na wale mnaopenda Kukopi Taarifa zangu mbalimbali na za Kipekee hapa JamiiForums na Kujifanya ni zenu na mmezitafuta nyie mkiitumia huko katika Blogu zenu na Kurasa zenu za Mitandao na hata katika Redio na Runinga tafadhali msiache na msione Wivu kusema kuwa mmeitoa Kwangu GENTAMYCINE The only SPORTS NEWS KING hapa Jamvini.

Kula Chuma hiki / hicho Kudadadeki.
Peleka Facebook.
 
Daah naona huruma mno kama tutaendelea kujadili huu upuuzi i, hivi kweli mtu amenunua smartphone na pesa zake kaweka bando na pesa zake kaamua kupost kwa mikono yake huu upuuzi??? Mimi nashindwa hata kuelewa yani
Na wewe popoma ukaamua kureply
 
K
Muongo ambaye Kutwa tu Unamsoma hapa JamiiForums na hupendi Kukosa Mada zake.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!
Muongo ambaye Kutwa tu Unamsoma hapa JamiiForums na hupendi Kukosa Mada zake.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!
we kweli chizi kwa iyo kukusoma ndo justifications ya wewe kua mkweli?? Jitahid ujinga wako kuuweka kando bro uyo mayele ana nn ambacho kimekosekana yanga kwa sasa ?
 
Waafrika tukiwemo Watanzania tutachelewa sana kupata maendeleo kama wengi wetu tunaamini kuanguka ama kupata maendeleo makubwa ulozi unaweza kuwa na mchango katika maisha yetu, nimestushwa sana na baadhi ya comment za wadau wa Jamii Forums wakiamini uchawi dah!Aisee!.
 
Ingekuwa kazi nyepesi hivyo, basi Konkoni hasingeachwa Yanga bali angepikwa na majini. Au Musonda angekiwasha vibaya mno kwa msaada wa majini. Kama una kiwango uta perform tu na kama garasa ni garasa tu hakuna cha majini wala nini
Alikubali kubeba mikoba?

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Fiston Mayele yuko sahihi kwa 100% kwani Waganga Wawili Wakubwa wa Yanga SC mmoja akitokea Kisiwani Zanzibar na mwingine akitokea Kusini ( Mtwara na Lindi ) ni tatizo na sababu ya Kinachomkuta.

Taarifa za uhakika ambazo GENTAMYCINE nimepewa na Mmoja wa Wachezaji wa Ndani ( Mzawa ) wa Yanga SC na Kiongozi Mwandamizi Mmoja wa Yanga SC ni kwamba Fiston Mayele alikubali Mwenyewe kuwa Mbeba Majini ya Ufungaji kwa Sharti Kuu kuwa kila akifunga tu Goli awe anaomba na analazimisha Kutoka ili aingie mwingine asiharibu Utaratibu wa Kiushirikina.

Taarifa zaidi zinasema kuwa alichokisahau na kinachomtesa sasa Fiston Mayele ni kwamba Ushirikina aliofanyiwa na hao / hawa Waganga Wawili Wakubwa wa Yanga SC ulikuwa ni kwa ajili ya Nyota ya Yanga SC tu pekee na hilo Jini lake Lilinuiwa kuifanikisha Yanga SC kwa Magoli yake mengi na ya Ajabu Ajabu aliyokuwa Akiyafunga kwa msaada mkubwa wa Majini aliyobebeshwa.

GENTAMYCINE nimeendelea Kujulishwa kuwa kumbe hata Jezi ya Fiston Mayele na Viatu vyake ( Njumu ) vilikuwa vinalala kwa Waganga ili Wazitengeneze Kiushirikina na awe na Nguvu za Ajabu, Atishe Mabeki na Aogopwe nao na awe Anafunga mno Kitu ambacho Kilifanikiwa kwa 99.9%

Kwa sasa anachotakiwa Kukifanya Fiston Mayele ni ama kuja Tanzania ili Ategue Uchawi / Ishirikina mkubwa Alioufanya na Aliofanyiwa kisha kama Uwezo wake wa Kiuchumi unamruhusu basi aondoke na Mmoja wa hawa Waganga Wawili ili akaishi nae huko nchini Misri na aweze Kumsaidia kwani hata akifanyiwa kutokea Tanzania hatofanikiwa kwakuwa kamwe Uchawi hauvuki Bahari.

Mwishoni nikamaliziwa kuambiwa kuwa karibia 99% ya Timu Kubwa za Simba na Yanga huwa zinategemea mno Majini ya Kutuma na Kutekeleza huku Majini ya Yanga SC yakiwa ni ya Kike yanayopenda Kutumia Damu za Hedhi za akina Dada / Mama huku Simba SC ikiwa inatumia zaidi Majini ya Kiume ambayo hupenda sana Kuua na Kujeruhi vibaya ( Wachezaji Kupasuka na Kuumia vibaya kwa kutokwa na Damu ) kama sehemu yao Kafara.

Nimedokezwa kuwa hata Magoli ya mbali na ya Mashuti makubwa ya Balama Mapinduzi, Bernard Morrison, Zawadi Mauya, Feisal Salum 'Feitoto' na lile la karibuni la Kibu Denis yote yalitokana na Nguvu ya Msaada wa Jini / Majini.

Hivyo basi Kiherehere cha Fiston Mayele cha kujifanya anaipenda sana Yanga SC na Kukubali kubeba Makombora makubwa ( Majini ) ili Afunge Magoli na Ateteme kusudi Umaarufu wake usipotee ndiyo Kimemponza na huu Ukweli anaujua japo nimeshangaa kusikia / kuiba kuwa Analalamika Mitandaoni.

Na kama kuna Mtu ambaye Kamponza na Kumharibia Fiston Mayele juu ya haya Malalamiko yake na Kiwango chake Kushuka ni aliyekuwa Rafiki yake mkubwa ambaye ni Haji Manara.

Nyota Kali aliyokuwa nayo Fiston Mayele baada ya kuondoka rasmi Yanga SC na kwenda huko Pyramid FC ni kwamba Haji Manara kapita nayo mazima ( kaichukua ) na sasa anaitumia kiasi kwamba Nyota yake inawaka na anafanikiwa japo ndani ya miaka Mitatu Minne ijayo atashuka Kiumaarufu, Kufilisika na kuwa Mtu wa Kawaida ( Ngumbaru ) tu kama Mimi GENTAMYCINE.

Na sababu kubwa ya Haki Manara kujifanya kumsihi na kumshauri Fiston Mayele ni kwamba hataki Alichomfanyia ( kupitia Nyota ya Mayele na Majini ) kijulikane kwa sasa na Mtetemaji Fiston Kalala Mayele.

ANGALIZO

Sijamlazimisha Mtu yoyote Kuusoma na Kuuamini huu Uzi wangu japo nina uhakika nao ( tena kwa Kujiamini kabisa ) kwa 100% kwani Wanyetishaji wangu ni Wachezaji na Viongozi kadhaa kutoka Yanga SC yenyewe.

Hivyo basi unajua / unajijua kabisa kuwa kwa Ujuha wako hunipendi na unanichukia GENTAMYCINE hapa JamiiForums nakuomba acha kabisa kusoma Threads zangu na niachie wale Members Wanaonielewa na Wanajitambua Kichwani / Kiakili pia..

Soma tu Threads za Uwapendao Ok?


Haya na wale mnaopenda Kukopi Taarifa zangu mbalimbali na za Kipekee hapa JamiiForums na Kujifanya ni zenu na mmezitafuta nyie mkiitumia huko katika Blogu zenu na Kurasa zenu za Mitandao na hata katika Redio na Runinga tafadhali msiache na msione Wivu kusema kuwa mmeitoa Kwangu GENTAMYCINE The only SPORTS NEWS KING hapa Jamvini.

Kula Chuma hiki / hicho Kudadadeki.
Nimelazimika kurudi tena kuisoma hii thread.

Muda ni mwalimu.
 
Back
Top Bottom