Huu hapa umri wa Bikira Maria wakati anamzaa Yesu

Huu hapa umri wa Bikira Maria wakati anamzaa Yesu

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
18,037
Reaction score
33,681
Kwa mujibu wa tamaduni za Wayahudi za kipindi hicho wanawake waliolewa wakiwa na umri wa miaka kumi na mbili. Wakichelewa sana BASI ni kumi na tatu au kumi na nne.

Bikira Maria alibeba ujauzito wa Yesu akiwa na miaka 12 au 13 na alijifungua akiwa na umri wa miaka kumi na tatu au kumi na nne..

Ndio maana ukisoma Biblia kuhusu habari za Mariamu kabla hajapata ujauzito wa Yesu she was reffered as " BIKIRA AITWAE MARIAMU"

Hilo neno bikira lilikuwa synonymous na msichana wa miaka 12/13 .

( Otherwise walijuaje kama ni bikira?)

Ni SAWA na wewe bwana Kiranga yule binti YAKO mwenye umri wa miaka.kumi na moja ukimuaddress kama bikira hakuna atakae kuhoji..

( Likud : Kaka mkubwa kiranga kwenye gari lako upo na nani?

Kiranga : nipo na bikira AITWAE Hamisa.

( Hamisa ni binti mwenye miaka 11)

UMRI WA ADAMU NA HAWA WAKATI WANAKULA TUNDA LA MTI WA KATIKATI.


HAWA alikuwa na miaka 13 tangu azaliwe ( HAWA alikuwa mtoto wa Adam. Adam alikuwa baba na mama wa HAWA )


ADAM = alikuwa na miaka 15 HADI 16 tangu atengenezwe/aumbwe

(.he was still a teenager)
 
Wanasema zamani walikua wanahesabia miaka tofauti na siku hizi, kweli??
 
Kule kwenye Uzi wa Ukweli kuhusu majini na sehemu yanakopatikana Kwa wingi dar,vipi kule Uzi hatuendelei nao mkuu LIKUD?
 
KWA mujibu wa tamaduni za Wayahudi za kipindi hicho wanawake waliolewa wakiwa na umri wa miaka kumi na mbili. Wakichelewa sana BASI ni kumi na tatu au kumi na nne.

Bikira Maria alibeba ujauzito wa Yesu akiwa na miaka 12 au 13 na alijifungua akiwa na umri wa miaka kumi na tatu au kumi na nne..

Ndio maana ukisoma biblia kuhusu habari za mariamu kabla hajapata ujauzito wa Yesu she was reffered as " BIKIRA AITWAE MARIAMU"

Hilo neno bikira lilikuwa synonymous na msichana wa miaka 12/13 .

( Otherwise walijuaje kama ni bikira?)

Ni SAWA na wewe bwana Kiranga yule binti YAKO mwenye umri wa miaka.kumi na moja ukimuaddress kama bikira hakuna atakae kuhoji..

( Likud : Kaka mkubwa kiranga kwenye gari lako upo na nani?

Kiranga : nipo na bikira AITWAE Hamisa.

( Hamisa ni binti mwenye miaka 11)

UMRI WA ADAMU NA HAWA WAKATI WANAKULA TUNDA LA MTI WA KATIKATI.


HAWA alikuwa na miaka 13 tangu azaliwe ( HAWA alikuwa mtoto wa Adam. Adam alikuwa baba na mama wa HAWA )


ADAM = alikuwa na miaka 15 HADI 16 tangu atengenezwe/aumbwe

(.he was still teenager)
Hizi ni story za kufikirika. Hakuna ukweli
 
Ila waliotunga hizi hadithi za sungura waliokuwa na akili sana, karibu Dunia imeamini. Big up the Jews.
 
Wewe ndio unayewaambia wanyama sehem ya kuingiza mashine ni wapi?
Kuna kitu kinaitwa Silika/nature hiyo mtu hajifunzi ipogo
Mkuu unayoeleza yana uhalisia kwa dunia ya leo, lakini je unayatoa katika vyanzo gani bhana?

Tunaopenda historia, tunapenda kutandaziwa na evidence ya maandishi ama picha.
Na hili la kuita binti yako: "bikira fulani" hauoni ukakasi?
 
Back
Top Bottom