Dream Queen
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 8,263
- 18,201
Nausubiri uzi wa Paka,Ile nimeisitisha mkuu.
Plz uulete
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nausubiri uzi wa Paka,Ile nimeisitisha mkuu.
Usipovuta yale madude akili yako inatulia,
Ila hilo swali limenichekesha sana [emoji119]
Yes ni za kufikirika KWA sababu kufikiri sio kazi rahisi mkuuThread zako nyingi huwa za kufikirika tu, hazina ushahidi usioacha shaka.
Inaonekana kwako mtu akifikisha miaka 20 hata kama akiwa bikira hastahili kuitwa hivyo, kwako lazima awe under 15!.
Lakini hata wajinga huwa wanafikiri.Yes ni za kufikirika KWA sababu kufikiri sio kazi rahisi mkuu
Ukweli ni zile myth za kabila lako zinazohusiana na mwanzo wa mwanadamu na duniaUkweli ni upi
Nakazia warumi wa buza mukuye mujibu hiliHadi sasa anaendelea kua bikira hata baada ya kuzaa?
Ama baada ya kuzaa bikira ilirudi?
Kama ilirudi, Yusuph alikua anapiga punyeto ama nini?
Kwani si alizaa( na mzee yusuph) watoto wengine baada ya YesuHadi sasa anaendelea kua bikira hata baada ya kuzaa?
Ama baada ya kuzaa bikira ilirudi?
Kama ilirudi, Yusuph alikua anapiga punyeto ama nini?
Mbona unatoka njee ya mada mambo ya kakobe yametoka wapi kwani nimekuambia mim nasali kwa kakobeNa wewe onyesha mstari wa Biblia unao sema " Nenda kasali Mwenge KWA kakobe , au kawe KWA Mwamposa au St.Joseph katoliki".
Najua wewe ni mkristu na huwa unaenda kusali kanisani , kanisa unalo kwenda kusali let's say lipo Mbezi na linaitwa labda " Mlima wa Mungu" SASA utuonyeshe kifungu cha biblia kinacho kuelekeza uende kusali kwenye hilo kanisa
Ulikuwa unatangaza biashara yako ya uganga wa majini na ramli chonganishi sio?Siendelei nao. I will never give free content any more.
Ingependeza kama ungeleta historia ya Bikira Maria baada ya kumzaa Yesu je baadaye alizaa na Yoseph? Kama Watoto wangapi na wanaitwa kina nani? Kwahiyo Yesu ana ndugu zake wa kuzaliwa tumbo moja?KWA mujibu wa tamaduni za Wayahudi za kipindi hicho wanawake waliolewa wakiwa na umri wa miaka kumi na mbili. Wakichelewa sana BASI ni kumi na tatu au kumi na nne.
Bikira Maria alibeba ujauzito wa Yesu akiwa na miaka 12 au 13 na alijifungua akiwa na umri wa miaka kumi na tatu au kumi na nne..
Ndio maana ukisoma biblia kuhusu habari za mariamu kabla hajapata ujauzito wa Yesu she was reffered as " BIKIRA AITWAE MARIAMU"
Hilo neno bikira lilikuwa synonymous na msichana wa miaka 12/13 .
( Otherwise walijuaje kama ni bikira?)
Ni SAWA na wewe bwana Kiranga yule binti YAKO mwenye umri wa miaka.kumi na moja ukimuaddress kama bikira hakuna atakae kuhoji..
( Likud : Kaka mkubwa kiranga kwenye gari lako upo na nani?
Kiranga : nipo na bikira AITWAE Hamisa.
( Hamisa ni binti mwenye miaka 11)
UMRI WA ADAMU NA HAWA WAKATI WANAKULA TUNDA LA MTI WA KATIKATI.
HAWA alikuwa na miaka 13 tangu azaliwe ( HAWA alikuwa mtoto wa Adam. Adam alikuwa baba na mama wa HAWA )
ADAM = alikuwa na miaka 15 HADI 16 tangu atengenezwe/aumbwe
(.he was still a teenager)
Si atakuwa aliambiwa na Muumba wake, maana yeye ndio chazo cha maarifa.Anaendelea kua bikira hata baada ya kuzaa?
Aliemwambia adam kwamba sehemu ya kuingiza mashine ni hapa ni nani?