Huu hapa uongo wa Manara kuhusu pesa za Bakhresa

Huu hapa uongo wa Manara kuhusu pesa za Bakhresa

hiram

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2013
Posts
266
Reaction score
393
posting.jpg


MANARA anadai eti bilioni 223 za mkataba wa Azam na TFF zinaweza kupanga elfu kumi kumi zikafika brazil na kurudi
umbali wa kutoka dar es salaam hadi brazil ni kama kilometa 9000 na kurudi ni karibu kilometa 18000

Noti moja ya shilinigi elfu kumi ina urefu wa sentimita 14

unahitaji noti za elfu kumi kumi 128,571,428 ambayo ni sawa na shilingi 1,285,714,285,714 (trilioni moja na ushei)

post1.jpg
post3.jpg
post2.jpg
 
Its just a matter of time shida ni moja tu Mo kazidiwa hata hekima na barbara ,Mo akifanikiwa kumpuuza huyu mjinga na kunyamaza kimya itakuwa poa sana
Mo Mswahili sana ingawa kwa sasa tunamwitaji zaidi
 
Daaah mwana umeipigia na calculation kabisa[emoji2][emoji2][emoji2]...
 
Wacha kupoteze muda we jamaa, kuna watu walishawahi kusema maneno kama hayo tena wakiwa serious kabisa na hawana hata milion 50 benki...
 
Kwenye masuala ya mpira jokes hua nyingi mno...asa wew utaonekana ndio hamna kitu maana kauli izo hua ni jokes ..siku manara akisema ile kauli ya kuny** hapa mpaka morogoro nawe utapiga hesabu
 
Back
Top Bottom