Sasa jamaa kapoteza Hadi muda kabsa. Kwan hamjui mbwembwe na fujo. Aache zake huyo mwamba kujikuta anzaijua nambaUnaamini alikaa chini kupiga hesabu kama wewe ulivyoamua kua serious?
Its just a matter of time shida ni moja tu Mo kazidiwa hata hekima na barbara ,Mo akifanikiwa kumpuuza huyu mjinga na kunyamaza kimya itakuwa poa sanaManara aombe Mungu hizi drama zake zisiwe na matatizo na kufanya Simba iyumbe. Hapo ndio ataiona Tanzania chungu
Mo Mswahili sana ingawa kwa sasa tunamwitaji zaidiIts just a matter of time shida ni moja tu Mo kazidiwa hata hekima na barbara ,Mo akifanikiwa kumpuuza huyu mjinga na kunyamaza kimya itakuwa poa sana