Huu hapa Wasifu wa IGP wa Kenya Joseph Boinett

Huu hapa Wasifu wa IGP wa Kenya Joseph Boinett

Mti wenye matunda ndio hupigwa mawe, sasa Nyie mtalipuliwa mna maana ipi dunia hii kama si uchawai na kunywa supu ya albino? Hata makonda kasema juzi labda Ile siku mtaacha uganga na uchawi mtakua target.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenu kuna nini wanachotafuta? Sio unaleta methali ambazo hujui maana yake.
Then ni kwamba sisi jeshi letu imara sana tunaogopwa
 
Mti wenye matunda ndio hupigwa mawe, sasa Nyie mtalipuliwa mna maana ipi dunia hii kama si uchawai na kunywa supu ya albino? Hata makonda kasema juzi labda Ile siku mtaacha uganga na uchawi mtakua target.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaha, the following are fruits from Kenya
1) Tribalism
2)Corruption
3)Hunger
4Unemployment
5)Slums
6)Crime
7)Police brutality and killings
8)Political assassination and instability
9)Terrorism
10)Land grabbers and injustice
..........

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Atakuwa na uzalendo kweli mbona elimu yake yote kaitoa kwa wakaoloni tu?
 
Mkuu kama ni mfatiliaji wa kinachoendelea kenya ni mikakati mingi sana Wana ipanga haswa iko based on Tehama na just incase kenya wakafanikiwa Kwa hayo wanayoyapanga Basi Later on Kenya itakuwa stable sana, Kumbuka tz ni vile hatuna Adui wa moja kwa moja ila usiniambie kwamba Jeshi letu la Polisi liko aware kiasi iko, Sio kwamba nalipuuza ila tu in real sense hawa jamaa wanapiga hatua

Kwanini Kenya ana adui wa moja kwa moja na kwanini sisi hatuna? Na nani mwenye akili kati ya anayejiletea majanja na anaeyaepuka?
 
Mambo kama haya yananishawishi kuzuia democrasia inaweza ikawa ni jambo jema.

Hata siku moja kuzuia watu wasiwe na uhuru katika kuendeleza maisha yao halijawahi kuwa jambo jema; mara zote watu wanapobanwa wasiwe na uhuru hutafuta njia mbadala za kupata uhuru huo wa kujiamulia mambo yao.

Mfano mdogo tu ni pale unapowafungia watu ndani ya nyumba ili wasitoke; hufanya kila namna mpaka watatoka hata ikiwa kupitia dirishani , hivyo kuminya demokrasia ni kujidanganya tu kwani huzusha furugu katika jamii zisizo na msingi. Viongozi madictator huwa hawana confidence ya kupendwa na wale wanaowaongoza ndio maana hutumia mabavu katika utawala wao badala ya hoja!!
 
NAME: Joseph Kipchirchir Joseph Boinnet

MARITAL STATUS: Married
AGE: 52

HOME DISTRICT: Keiyo

WORK EXPERIENCE:
1984 TO PRESENT: Police Service and NIS (Analysis and Production Division)

ACADEMIC QUALIFICATIONS
Masters in National Security Policy – Australian National University

Masters of Arts Diplomatic studies – University of Westminster, United Kingdom

Bachelor of Arts International Studies and Diplomacy – Washington International University

International Studies – 21st century Diplomacy at the University of Malta

View attachment 1007791
Umesahau Moja bachelor ya ushoga "Gay" pia anayo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
What is it leads in police killings and trible by the way, si uongee tu kiswahili

Sent using Jamii Forums mobile app
Akitumia kiswahili ndio atakukanganya zaidi. Inabidi ukubali kwamba baadhi ya wale tunaojadili nao humu ni mazuzu kupindukia. Kisa elimu duni ,na zaidi yake walienda shule kwasababu ya shughuli moja tu, kuvunja madirisha.
 
Kwenu kuna nini wanachotafuta? Sio unaleta methali ambazo hujui maana yake.
Then ni kwamba sisi jeshi letu imara sana tunaogopwa
Jini kisirani kweli.jeshi lenu imara vipi? Juzi Mo alipotekwa nyara iliwachukua siku ngapi kumpata ? Kama si FBI na intelligence ya Kenya angepatikana?.Isitoshe wanaolipua Kenya ni watanzania kwa kinyongo chenu ju ya maendeleo yetu hata leo wamehukumiwa kifungo watu wenu watatu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom