mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 31,415
- 38,761
Jini kisirani kweli.jeshi lenu imara vipi? Juzi Mo alipotekwa nyara iliwachukua siku ngapi kumpata ? Kama si FBI na intelligence ya Kenya angepatikana?.Isitoshe wanaolipua Kenya ni watanzania kwa kinyongo chenu ju ya maendeleo yetu hata leo wamehukumiwa kifungo watu wenu watatu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwisho utalala njaa useme ni watz hawajakupikia.
Imefikia hatua feilure zenu zote mnaona tz ndio inasababisha.