Jini kisirani kweli.jeshi lenu imara vipi? Juzi Mo alipotekwa nyara iliwachukua siku ngapi kumpata ? Kama si FBI na intelligence ya Kenya angepatikana?.Isitoshe wanaolipua Kenya ni watanzania kwa kinyongo chenu ju ya maendeleo yetu hata leo wamehukumiwa kifungo watu wenu watatu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli haliko aware kama limeufyata kwa majambazi tu litaweza kwenye mambo mazito kama ugaidi?Mkuu kama ni mfatiliaji wa kinachoendelea kenya ni mikakati mingi sana Wana ipanga haswa iko based on Tehama na just incase kenya wakafanikiwa Kwa hayo wanayoyapanga Basi Later on Kenya itakuwa stable sana, Kumbuka tz ni vile hatuna Adui wa moja kwa moja ila usiniambie kwamba Jeshi letu la Polisi liko aware kiasi iko, Sio kwamba nalipuuza ila tu in real sense hawa jamaa wanapiga hatua
Chizi wewe, Kenya mnashindwa hata kudhibiti wakora hapo Nairobi, crime rate is the highest in Africa, eti mnaweza kusaidia Tanzania. Leteni polisi wenu waje kufundishwa na POLISI wa Tanzania jinsi ya kupambana na crime, otherwise mtaendelea kuwa na most ruthless police force, insecurity and police killings.Jini kisirani kweli.jeshi lenu imara vipi? Juzi Mo alipotekwa nyara iliwachukua siku ngapi kumpata ? Kama si FBI na intelligence ya Kenya angepatikana?.Isitoshe wanaolipua Kenya ni watanzania kwa kinyongo chenu ju ya maendeleo yetu hata leo wamehukumiwa kifungo watu wenu watatu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umuhimu was elimu huonekana pale elimu inapo tumika,hebu linganisha majibubya igp was tz Sikh alipotekwa MO na majibu igp was nyayo Siku ya tukio LA ugaidi kenyaCV haina maana kama wanashindwa kupambana na ugaidi nchini mwao.
Tufananishe bado nayale mauaji ya askari wetu takribani watano kama sikosei nao ilikuwa aina ya ugaidi!!Unaijua CV ya Sirro?
Pamoja na hiyo CV wapi Kuna ugaidi na wapi haupo?
Tofauti ya mkenya na mtanganyika ni mkenya atasifia kila kitu cha kwao aidha kizuri au kibaya wakati mtanganyika ataponda kila kitu cha kwao na kusifia kila kitu cha nje hasa Kama kinatoka Kenya mnaiona Kenya kama Ulaya vile.
Wewe hujui chochote Kenya isingekuwa na intelligence zuri ingekuwa inapigwa kila siku wanajitahidi sana na wanazuia matukio mengi sana yanayotokea ni bahati mbaya tu.CV haina maana kama wanashindwa kupambana na ugaidi nchini mwao.
Nakuunga mkono wanajitahidi sana kwaadui waliye naye wangekuwa wanapigwa kila siku wanajitahidi sana kuzuia matukio mengi sana kwa wako vizuriMkuu kama ni mfatiliaji wa kinachoendelea kenya ni mikakati mingi sana Wana ipanga haswa iko based on Tehama na just incase kenya wakafanikiwa Kwa hayo wanayoyapanga Basi Later on Kenya itakuwa stable sana, Kumbuka tz ni vile hatuna Adui wa moja kwa moja ila usiniambie kwamba Jeshi letu la Polisi liko aware kiasi iko, Sio kwamba nalipuuza ila tu in real sense hawa jamaa wanapiga hatua
Wewe unamatatizo sana, hivi unajua sababu zilizosababisha MZEE Malicela akiwa waziri mkuu kupiga marufuku safari za usiku kwa mabasi?, sababu ilikua ni ajali za barabarani na sio uhalifu.Ni kweli haliko aware kama limeufyata kwa majambazi tu litaweza kwenye mambo mazito kama ugaidi?
Hapa kwetu biashara ikifika saa 12, jioni zinafungwa, safari zinasitishwa, response kwenye matukio ni ya hovyo sana.
Uwafananishe na Kenya wanaopambana na ugaidi wa Alshabab?
Tuweni serious tunajeshi la polisi dhaifu sana linalojua kufanya drama za kipumbavu na kuvuruga mikutano ya vyama vya siasa.
Hakuna lolote
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe unamatatizo sana, hivi unajua sababu zilizosababisha MZEE Malicela akiwa waziri mkuu kupiga marufuku safari za usiku kwa mabasi?, sababu ilikua ni ajali za barabarani na sio uhalifu.
Wewe unapima utendandaji wa jeshi la POLISI kwa kuzingatia vigezo gani?, kazi ya jeshi la polisi ni kulinda usalama wa raia na Mali zao, sasa kati ya Kenya na TZ wapi kwenye usalama?, hivi unajua ujambazi na mauaji yanayotokea Kenya kila siku?
Kama Kenya inaongoza Afrika kwa police killings na brutality, corruption na kushindwa kupambana na crime, na bado unasifia POLISI wa Kenya, unajitambua kweli?
Sent using Jamii Forums mobile app
NAME: Joseph Kipchirchir Joseph Boinnet
MARITAL STATUS: Married
AGE: 52
HOME DISTRICT: Keiyo
WORK EXPERIENCE:
1984 TO PRESENT: Police Service and NIS (Analysis and Production Division)
ACADEMIC QUALIFICATIONS
Masters in National Security Policy – Australian National University
Masters of Arts Diplomatic studies – University of Westminster, United Kingdom
Bachelor of Arts International Studies and Diplomacy – Washington International University
International Studies – 21st century Diplomacy at the University of Malta
View attachment 1007791
Dah! Joto ka jiwe kweli ni nyani ambaye haoni kundule, Mwanajeshi wenu ambaye aliuwawa akijaribu kujinasua kutoka Kwa wabakaji , kwani hayo si mauwaji?.Chizi wewe, Kenya mnashindwa hata kudhibiti wakora hapo Nairobi, crime rate is the highest in Africa, eti mnaweza kusaidia Tanzania. Leteni polisi wenu waje kufundishwa na POLISI wa Tanzania jinsi ya kupambana na crime, otherwise mtaendelea kuwa na most ruthless police force, insecurity and police killings.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wambie kaka .Hapo umenena , ndicho kinachotuangusha Watanzania . Mf . Wilaya zilizo mpakani , wakuu wa wilaya wakikutana kwa nchi husika , kujadili jambo la maendeleo , wasioenda shule wanaishia kugonga meza kwa hasira .
Sent using Jamii Forums mobile app
We fala kweli eti FBI na Kenya intelligence tangu lini kwenye nchi yetu? Acha uongo wa Kimaku. Hatutegemei jeshi lolote la kingese from any where. Acha ukiboboJini kisirani kweli.jeshi lenu imara vipi? Juzi Mo alipotekwa nyara iliwachukua siku ngapi kumpata ? Kama si FBI na intelligence ya Kenya angepatikana?.Isitoshe wanaolipua Kenya ni watanzania kwa kinyongo chenu ju ya maendeleo yetu hata leo wamehukumiwa kifungo watu wenu watatu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nitajie hao wa Tz walio hukumiwa.Jini kisirani kweli.jeshi lenu imara vipi? Juzi Mo alipotekwa nyara iliwachukua siku ngapi kumpata ? Kama si FBI na intelligence ya Kenya angepatikana?.Isitoshe wanaolipua Kenya ni watanzania kwa kinyongo chenu ju ya maendeleo yetu hata leo wamehukumiwa kifungo watu wenu watatu.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115]Huku kwetu cha kwanza kadi ya ccm mengine baadae.
Kwani hujui kuwa maisha ni siasa?Kenya wako siriazi na mambo ya nchi yao. TZ kila kitu ni siasa. Hawawezi kufika popte kwa mikakati ya hovyo kiasi hicho. Watu wanaochagua watendaji kwa kuangalia sifa kuu kama ni mwnachama mtiifu?!
Trust me he is a gay wazugu wanetoboa sanaMarital status: Married, tafuta tafsiri yake kwa kiswahili, usiteletee huo ushetani wako hapa.
Hahahaha, tunazungumzia institution jombaa, sio individual. Jeshi la police la Kenya is the worst in Africa for brutality, extra judicial killings, corruption, ukabila, kushindwa kuzuia uhalifu, uzembe na kusababisha Kenya kuwa miongoni mwa nchi zenye usalama wa hovyo hapa Africa.Dah! Joto ka jiwe kweli ni nyani ambaye haoni kundule, Mwanajeshi wenu ambaye aliuwawa akijaribu kujinasua kutoka Kwa wabakaji , kwani hayo si mauwaji?.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23] ,the guy is stoopidAkitumia kiswahili ndio atakukanganya zaidi. Inabidi ukubali kwamba baadhi ya wale tunaojadili nao humu ni mazuzu kupindukia. Kisa elimu duni ,na zaidi yake walienda shule kwasababu ya shughuli moja tu, kuvunja madirisha.