Huu hapa Wasifu wa IGP wa Kenya Joseph Boinett

Huu hapa Wasifu wa IGP wa Kenya Joseph Boinett

Bird Watcher

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2013
Posts
3,151
Reaction score
6,261
NAME: Joseph Kipchirchir Joseph Boinnet

MARITAL STATUS: Married
AGE: 52

HOME DISTRICT: Keiyo

WORK EXPERIENCE:
1984 TO PRESENT: Police Service and NIS (Analysis and Production Division)

ACADEMIC QUALIFICATIONS
Masters in National Security Policy – Australian National University

Masters of Arts Diplomatic studies – University of Westminster, United Kingdom

Bachelor of Arts International Studies and Diplomacy – Washington International University

International Studies – 21st century Diplomacy at the University of Malta

afm1lctevwt1558473b2e56d9.jpg
 
CV haina maana kama wanashindwa kupambana na ugaidi nchini mwao.
Mkuu kama ni mfatiliaji wa kinachoendelea kenya ni mikakati mingi sana Wana ipanga haswa iko based on Tehama na just incase kenya wakafanikiwa Kwa hayo wanayoyapanga Basi Later on Kenya itakuwa stable sana, Kumbuka tz ni vile hatuna Adui wa moja kwa moja ila usiniambie kwamba Jeshi letu la Polisi liko aware kiasi iko, Sio kwamba nalipuuza ila tu in real sense hawa jamaa wanapiga hatua
 
Kenya wako siriazi na mambo ya nchi yao. TZ kila kitu ni siasa. Hawawezi kufika popte kwa mikakati ya hovyo kiasi hicho. Watu wanaochagua watendaji kwa kuangalia sifa kuu kama ni mwnachama mtiifu?!
 
NAME: Joseph Kipchirchir Joseph Boinnet

MARITAL STATUS: Married
AGE: 52


HOME DISTRICT: Keiyo

WORK EXPERIENCE:
1984 TO PRESENT: Police Service and NIS (Analysis and Production Division)


ACADEMIC QUALIFICATIONS
Masters in National Security Policy – Australian National University
Masters of Arts Diplomatic studies – University of Westminster, United Kingdom
Bachelor of Arts International Studies and Diplomacy – Washington International University
International Studies – 21st century Diplomacy at the University of Malta
Hapa Sirro hathubutu kutia mguu,huku kwetu hawaangalii elimu na exposure wanaangalia nani atamtii bwana mkubwa
ISIS
MSAGA SUMU
Pascal Mayalla
 
Unaijua CV ya Sirro?

Pamoja na hiyo CV wapi Kuna ugaidi na wapi haupo?

Tofauti ya mkenya na mtanganyika ni mkenya atasifia kila kitu cha kwao aidha kizuri au kibaya wakati mtanganyika ataponda kila kitu cha kwao na kusifia kila kitu cha nje hasa Kama kinatoka Kenya mnaiona Kenya kama Ulaya vile.
Hapa Sirro hathubutu kutia mguu,huku kwetu hawaangalii elimu na exposure wanaangalia nani atamtii bwana mkubwa
ISIS
MSAGA SUMU
Pascal Mayalla
 
Hahaha huku kwetu angekuwa taahira huyo. Maana huku wakipata PhD udsm tu unaona wanavyokuwa.
 
Tanzania sio kwamba hawana adui kwa bahati, wanaishi kimkakati. Mpaka hapo sijaona CV Bali academic history . ujuzi sio vyeti ni uwezo wa kutenda.
Mkuu kama ni mfatiliaji wa kinachoendelea kenya ni mikakati mingi sana Wana ipanga haswa iko based on Tehama na just incase kenya wakafanikiwa Kwa hayo wanayoyapanga Basi Later on Kenya itakuwa stable sana, Kumbuka tz ni vile hatuna Adui wa moja kwa moja ila usiniambie kwamba Jeshi letu la Polisi liko aware kiasi iko, Sio kwamba nalipuuza ila tu in real sense hawa jamaa wanapiga hatua
 
Unaijua CV ya Sirro?

Pamoja na hiyo CV wapi Kuna ugaidi na wapi haupo?

Tofauti ya mkenya na mtanganyika ni mkenya atasifia kila kitu cha kwao aidha kizuri au kibaya wakati mtanganyika ataponda kila kitu cha kwao na kusifia kila kitu cha nje hasa Kama kinatoka Kenya mnaiona Kenya kama Ulaya vile.
1981 to 1984
He went Uru catholic seminary o level
1984 to 1987 high school in chemistry, Biology and Geograph at Tosamaganga secondary
1989 he joined UDSm where he studied Education
He joined Policeforce in the early ninetees
 
Tanzania sio kwamba hawana adui kwa bahati, wanaishi kimkakati. Mpaka hapo sijaona CV Bali academic history . ujuzi sio vyeti ni uwezo wa kutenda.
Hemu kamsome Boinett in details halafu urudi. Kama Elimu sio inshu basi mkuu atuachie professors wafundishe vyuoni. Kuna sehemu hazitakiwi bra bra au siasa bali being professional
 
Back
Top Bottom