Huu mdahalo lengo ni nini? Mdahalo unaitwa “Jesus and Mohammed”

Huu mdahalo lengo ni nini? Mdahalo unaitwa “Jesus and Mohammed”

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2022
Posts
25,258
Reaction score
48,589
Happy Christmas

Nimeona tangazo hili azam tv kuwa kutakuwa na mdahalo wa maswali na majibu kuhusu Mohammed na Jesus

Nachojiuliza why waislamu wanapenda sana kuongelea mambo ambayo wao hawayaamini?

Mmeshawai sikia wakristo wameandaa matamasha au mdaharo kwa lengo la kupambanisha imani?

Kuna namna nyingi sana za kutafuta waumini hubirini kweli ambayo mna iamini sio vyema kwa mnachokifanya kabisa

Nimeshangaa pia leo naangalia tiktok nakutana na shekhee amekazana kukataza waislamu kusheherehekea mpaka kuuza vitu vya sikukuu ya xmass embu jitafakarini kiasi fulani mnakosea
 
Miezi michache iliyopita kumekuwa na mikwaju mizito ikielekezwa kwa uislam. Hasa suala lankutumia lugha katika ibada. Mpaka ikaonekana kwamba uislam siyo dini, bali ni chombo au mpango wa waarabu kueneza tamaduni, mila na desturi zao. Hivyo siyo dini bali ni utaratibu jumla wa maisha wa tamaduni za wengine.

Pia lingine ambalo watu wengi wameanza kulimulika ni ile hali ya chombo hiki kuwa sura ya uana harakati au upigania uhuru. Uislam ulivyo unajitanabaisha na harakati za kudai uhuru/haki maeneo mbali mbali duniani. Tofauti na tulivyokuwa tukitarajia uislam uwe kwa kuwaelekeza waumini wake kwenye maisha ya peponi baada ya haya. Wenyewe sasa wanawaendeleza maandamano na migogoro na mamlaka. Wakitaka haki na uhuru wao. Wakilazimisha sheria za nchi ambako wanaishi ziibadili sheria na kuongoza nchi hizo kwa sharia law. Kitu ambacho dini zingine hazijawahi kufanya.

Baada ya kuyaona hayo, nchi nyingi sasa hazichukulii uislam kama dini (kama waumini wake wanavyodai), bali ni mpango au chombo cha (wanaharakati cha) kupigania uhuru na haki ya waislam/waarabu kwa njia ya kipekee (exclusive right). Wanataka mahali popote wanapoishi wapewe uhuru/haki zao katika njia ambayo wengine hawawezi kupata. Wanataka wapewe special attention na mamlaka ya nchi husika. Hata kama kufanya hivyo kunaweza kwa hali au namna fulani kuathiri haki, uhuru, mamlaka na ustawi wa wengine.

Ndiyo maana mara zote nimekuwa nikiwa dhidi ya wazo la kwamba uislam ni dini. Kwa sababu nilizozitaja. Hiyo ni desturi yaani zaidi ya dini. Binafsi nawafananisha na wamasai. Wamasai licha ya kuwa wana ishi katika nchi zenye serikali yaani Jamhuri. Lakini bado wana utaratibu au namna yao ya utawala, siasa, imani (beliefs), lugha, sheria, mavazi nk. Pia jamii hii popote ikienda, lazima kuwe na msuguano na jamii walioikuta kwa kuwa siku zote wanaamini utamaduni wao ni bora kuliko wa wengine. Hili nilo mfanano dhahili wa uislam (yaani desturi za waarabu) na wamasai.
Naomba niishie hapa.
Alamsiki
 
Miezi michache iliyopita kumekuwa na mikwaju mizito ikielekezwa kwa uislam. Hasa suala lankutumia lugha katika ibada. Mpaka ikaonekana kwamba uislam siyo dini, bali ni chombo au mpango wa waarabu kueneza tamaduni, mila na desturi zao. Hivyo siyo dini bali ni utaratibu jumla wa maisha wa tamaduni za wengine.
Hawana upendo kabisa
 
Happy xmass

Nimeona tangazo hili azam tv kuwa kutakuwa na mdaharo wa maswali na majibu kuhusu Mohammed na Jesus

Nachojiuliza why waislamu wanapenda sana kuongelea mambo ambayo wao hawayaamini?

Mmeshawai sikia wakristo wameandaa matamasha au mdaharo kwa lengo la kupambanisha imani?

Kuna namna nyingi sana za kutafuta waumini hubirini kweli ambayo mna iamini sio vyema kwa mnachokifanya kabisa

Nimeshangaa pia leo naangalia tiktok nakutana na shekhee amekazana kukataza waislamu kusheherehekea mpaka kuuza vitu vya sikukuu ya xmass embu jitafakarini kiasi fulani mnakosea
Sisi tukaze macho kufika Mbinguni kwa kuonesha UPENDO, ukarimu , upole ,kujali na kutokubagua, hivyo ndivyo tutakavyomuhubiri kristo,hata bila kusema watatusikia,walio bahatika neema ya utukufu wataongoka, siyo kwa kisu,upanga Wala mabomu,ila kwa kudhihirisha UPENDO,


jina Yahweh lihimidiwe wapendwa
 
Back
Top Bottom