Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😃😃😃Kama hajapita hata Nursery, mwandiko mbovu kinyama like a scumbag
Wenzetu wameaidiwa vingiDuniani nitaishi kikristo, mbengoniii ntaenda kuwa mslam☹️, hawa jamaa peponi wanahadi masanga 🍻🍺 yanatiririka mtoni. That's win win situation to me
Ahahha Atto umeona uonge leoMwachi unapenda sana kuandika andika, jifunze basi uwe unaandika vizuri kama binadamu wengine.
AminaSisi tukaze macho kufika Mbinguni kwa kuonesha UPENDO, ukarimu , upole ,kujali na kutokubagua, hivyo ndivyo tutakavyomuhubiri kristo,hata bila kusema watatusikia,walio bahatika neema ya utukufu wataongoka, siyo kwa kisu,upanga Wala mabomu,ila kwa kudhihirisha UPENDO,
jina Yahweh lihimidiwe wapendwa
Ahahah au sio?Kama hajapita hata Nursery, mwandiko mbovu kinyama like a scumbag
KabisaYESU lazima ajadiliwe. Yeye ni mwokozi wa ulimwengu. Hata Mohamed anamtumaini yeye.
Na Siku za mwisho injili itahuburiwa Dunia kote hii ni pamoja na misikitini.
Siamini hii habari hata kidogo... Mama hawezi kuruhusu upuuzi huu ambao madhara yake yalionekana kipindi cha JK kama sio Mkapa.... So kwa kipindi hiki hawezi kuruhusu. Mleta uzi acha uchochezi bana..... Namuamini sana mama katika kutuunganisha watanzania wote bila kujali mambo ya imaniHappy xmass
Nimeona tangazo hili azam tv kuwa kutakuwa na mdaharo wa maswali na majibu kuhusu Mohammed na Jesus
Nachojiuliza why waislamu wanapenda sana kuongelea mambo ambayo wao hawayaamini?
Mmeshawai sikia wakristo wameandaa matamasha au mdaharo kwa lengo la kupambanisha imani?
Kuna namna nyingi sana za kutafuta waumini hubirini kweli ambayo mna iamini sio vyema kwa mnachokifanya kabisa
Nimeshangaa pia leo naangalia tiktok nakutana na shekhee amekazana kukataza waislamu kusheherehekea mpaka kuuza vitu vya sikukuu ya xmass embu jitafakarini kiasi fulani mnakosea
Hilo tangazo limetoka lini ,,umesema umeliona azam TV sasa iweje unawalaumu waislam,,kwani azam TV ni chombo cha kiislam?Happy xmass
Nimeona tangazo hili azam tv kuwa kutakuwa na mdaharo wa maswali na majibu kuhusu Mohammed na Jesus
Nachojiuliza why waislamu wanapenda sana kuongelea mambo ambayo wao hawayaamini?
Mmeshawai sikia wakristo wameandaa matamasha au mdaharo kwa lengo la kupambanisha imani?
Kuna namna nyingi sana za kutafuta waumini hubirini kweli ambayo mna iamini sio vyema kwa mnachokifanya kabisa
Nimeshangaa pia leo naangalia tiktok nakutana na shekhee amekazana kukataza waislamu kusheherehekea mpaka kuuza vitu vya sikukuu ya xmass embu jitafakarini kiasi fulani mnakosea
Azam tv kwaza nataka kuachana nayo kabisaTangazo umeona wapi mkuu...?
Ngoja nifanyie hili suala kazi hapa
Nifah hebu tuhabarishe kuhusu hili jamboKinachofwata tunajua
Watafute vizuriMakobazi wanatumia nguvu kubwa kutafuta wafuasi
Hapana mkuu ngoja nishughulikie hilo.sualaAzam tv kwaza nataka kuachana nayo kabisa