Huu mdahalo lengo ni nini? Mdahalo unaitwa “Jesus and Mohammed”

Huu mdahalo lengo ni nini? Mdahalo unaitwa “Jesus and Mohammed”

HUWEZI KUMLINGANISHA TAPELI MUDDY NA YESU KRISTO HUO MDAHALO NI BATILI. SERIKALI IPIGE MARUFUKU HARAKA SANA MDAHALO HUO, KAMA HAO WAISLAMU WANATAKA MDAHALO WAJADILI MTUME WAO PEKEE YAKE NA SIO KUCHANGANYA MAFAILI.
Kabisa nashangaa wanaruhusu mambo kama haya au kisa nchi imeshikiliwa na muislamu?
 
Niliisha wahi kuona clip ya huyo sheikh, kifupi hana jipya ni kama mijadala ya mitaani ya ipi ni dini ya kweli kati ya uislam na ukristo.
Mimi nimekua nikishuhudia midaharo hiyo
 
Sasa hapo u
Happy xmass

Nimeona tangazo hili azam tv kuwa kutakuwa na mdaharo wa maswali na majibu kuhusu Mohammed na Jesus

Nachojiuliza why waislamu wanapenda sana kuongelea mambo ambayo wao hawayaamini?

Mmeshawai sikia wakristo wameandaa matamasha au mdaharo kwa lengo la kupambanisha imani?

Kuna namna nyingi sana za kutafuta waumini hubirini kweli ambayo mna iamini sio vyema kwa mnachokifanya kabisa

Nimeshangaa pia leo naangalia tiktok nakutana na shekhee amekazana kukataza waislamu kusheherehekea mpaka kuuza vitu vya sikukuu ya xmass embu jitafakarini kiasi fulani mnakosea
nawalaumu Azam au waandaaji wa mahalo?
 
Siamini hii habari hata kidogo... Mama hawezi kuruhusu upuuzi huu ambao madhara yake yalionekana kipindi cha JK kama sio Mkapa.... So kwa kipindi hiki hawezi kuruhusu. Mleta uzi acha uchochezi bana..... Namuamini sana mama katika kutuunganisha watanzania wote bila kujali mambo ya imani
Ngoja wakitangaza nakuchukulia video naiweka hapa
 
Happy xmass

Nimeona tangazo hili azam tv kuwa kutakuwa na mdaharo wa maswali na majibu kuhusu Mohammed na Jesus

Nachojiuliza why waislamu wanapenda sana kuongelea mambo ambayo wao hawayaamini?

Mmeshawai sikia wakristo wameandaa matamasha au mdaharo kwa lengo la kupambanisha imani?

Kuna namna nyingi sana za kutafuta waumini hubirini kweli ambayo mna iamini sio vyema kwa mnachokifanya kabisa

Nimeshangaa pia leo naangalia tiktok nakutana na shekhee amekazana kukataza waislamu kusheherehekea mpaka kuuza vitu vya sikukuu ya xmass embu jitafakarini kiasi fulani mnakosea
Midaharo mbona inafanyika mingi tu, au unajizima data kwamba wakristo hawafanyi?
 
Happy xmass

Nimeona tangazo hili azam tv kuwa kutakuwa na mdaharo wa maswali na majibu kuhusu Mohammed na Jesus

Nachojiuliza why waislamu wanapenda sana kuongelea mambo ambayo wao hawayaamini?

Mmeshawai sikia wakristo wameandaa matamasha au mdaharo kwa lengo la kupambanisha imani?

Kuna namna nyingi sana za kutafuta waumini hubirini kweli ambayo mna iamini sio vyema kwa mnachokifanya kabisa

Nimeshangaa pia leo naangalia tiktok nakutana na shekhee amekazana kukataza waislamu kusheherehekea mpaka kuuza vitu vya sikukuu ya xmass embu jitafakarini kiasi fulani mnakosea
Mdaharo = mdahalo

Na pia huo mdahalo ni kwa nia ya kuelemishana,
Kama kuna jambo ambalo utakuwa hulielewi kuhusu uisilamu hapo ndo sehemu ya kupatia majibu mkuu.
Unakaribishwa.

2nd jan (diamond jubilee)
5th jan (kwa mkapa)
 
Back
Top Bottom