Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
😃😄Tangazo umeona wapi mkuu...?
Ngoja nifanyie hili suala kazi hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😃😄Tangazo umeona wapi mkuu...?
Ngoja nifanyie hili suala kazi hapa
Vin kama vin
Hapo kwenye kuandika kama binadamu wengine mimi hoii, 🤣🤣🤣🤣🤣Mwachi unapenda sana kuandika andika, jifunze basi uwe unaandika vizuri kama binadamu wengine.
Kabisa nashangaa wanaruhusu mambo kama haya au kisa nchi imeshikiliwa na muislamu?HUWEZI KUMLINGANISHA TAPELI MUDDY NA YESU KRISTO HUO MDAHALO NI BATILI. SERIKALI IPIGE MARUFUKU HARAKA SANA MDAHALO HUO, KAMA HAO WAISLAMU WANATAKA MDAHALO WAJADILI MTUME WAO PEKEE YAKE NA SIO KUCHANGANYA MAFAILI.
Weka picha ya hilo Tangazo kusapoti mada yako maana sio wote tunafahamu hilo.Ahahah au sio?
Mimi nimekua nikishuhudia midaharo hiyoNiliisha wahi kuona clip ya huyo sheikh, kifupi hana jipya ni kama mijadala ya mitaani ya ipi ni dini ya kweli kati ya uislam na ukristo.
nawalaumu Azam au waandaaji wa mahalo?Happy xmass
Nimeona tangazo hili azam tv kuwa kutakuwa na mdaharo wa maswali na majibu kuhusu Mohammed na Jesus
Nachojiuliza why waislamu wanapenda sana kuongelea mambo ambayo wao hawayaamini?
Mmeshawai sikia wakristo wameandaa matamasha au mdaharo kwa lengo la kupambanisha imani?
Kuna namna nyingi sana za kutafuta waumini hubirini kweli ambayo mna iamini sio vyema kwa mnachokifanya kabisa
Nimeshangaa pia leo naangalia tiktok nakutana na shekhee amekazana kukataza waislamu kusheherehekea mpaka kuuza vitu vya sikukuu ya xmass embu jitafakarini kiasi fulani mnakosea
Kwema kaka 😀😃😃😄Vin kama vin
e mwanangu nakuelewa uko postive sana tungepata watu 10 kama wewe kwenye nchii nchi ingefika mbali sanaSubiri kwanza, mbona kama unawashutumu ili hali wewe mwenyewe hujui dhumuni la huo mdahalo?
Awezi akatulamu wakati ajaleta ushahidSasa hapo u
nawalaumu Azam au waandaaji wa mahalo?
Ngoja wakitangaza nakuchukulia video naiweka hapaSiamini hii habari hata kidogo... Mama hawezi kuruhusu upuuzi huu ambao madhara yake yalionekana kipindi cha JK kama sio Mkapa.... So kwa kipindi hiki hawezi kuruhusu. Mleta uzi acha uchochezi bana..... Namuamini sana mama katika kutuunganisha watanzania wote bila kujali mambo ya imani
Kwema kaka naona taratibu unadownload squid game hapoKwema kaka 😀😃😃😄
Imeaandaliwa na waislamuHilo tangazo limetoka lini ,,umesema umeliona azam TV sasa iweje unawalaumu waislam,,kwani azam TV ni chombo cha kiislam?
ivi bakhresa na baba yako nani mwenye akili?Dini ni wendawazimu wa watu wasiokuwa na akili.
Ikishafika kwenye dini wengi ni kushambualiana tu bila kujali nini kimezungumzwa, ni hatari sana mkuuSubiri kwanza, mbona kama unawashutumu ili hali wewe mwenyewe hujui dhumuni la huo mdahalo?
Ngoja wakitangaza nachukua video kabisa naiweka hapaWeka picha ya hilo Tangazo kusapoti mada yako maana sio wote tunafahamu hilo.
Ahahah nimecheka sanaBila kusahau Mje mjipatie Majinn wazuri.
Dawa za Kisuni ikiwemo Firadus rukah'yat inayotoa Majinn wabaya, kutibu kijicho, zongo, Leembwata, kusafisha nyota na kuleta mvuto was kimapenzi.
Midaharo mbona inafanyika mingi tu, au unajizima data kwamba wakristo hawafanyi?Happy xmass
Nimeona tangazo hili azam tv kuwa kutakuwa na mdaharo wa maswali na majibu kuhusu Mohammed na Jesus
Nachojiuliza why waislamu wanapenda sana kuongelea mambo ambayo wao hawayaamini?
Mmeshawai sikia wakristo wameandaa matamasha au mdaharo kwa lengo la kupambanisha imani?
Kuna namna nyingi sana za kutafuta waumini hubirini kweli ambayo mna iamini sio vyema kwa mnachokifanya kabisa
Nimeshangaa pia leo naangalia tiktok nakutana na shekhee amekazana kukataza waislamu kusheherehekea mpaka kuuza vitu vya sikukuu ya xmass embu jitafakarini kiasi fulani mnakosea
Mdaharo = mdahaloHappy xmass
Nimeona tangazo hili azam tv kuwa kutakuwa na mdaharo wa maswali na majibu kuhusu Mohammed na Jesus
Nachojiuliza why waislamu wanapenda sana kuongelea mambo ambayo wao hawayaamini?
Mmeshawai sikia wakristo wameandaa matamasha au mdaharo kwa lengo la kupambanisha imani?
Kuna namna nyingi sana za kutafuta waumini hubirini kweli ambayo mna iamini sio vyema kwa mnachokifanya kabisa
Nimeshangaa pia leo naangalia tiktok nakutana na shekhee amekazana kukataza waislamu kusheherehekea mpaka kuuza vitu vya sikukuu ya xmass embu jitafakarini kiasi fulani mnakosea