Huu mdahalo lengo ni nini? Mdahalo unaitwa “Jesus and Mohammed”

Huu mdahalo lengo ni nini? Mdahalo unaitwa “Jesus and Mohammed”

Siamini hii habari hata kidogo... Mama hawezi kuruhusu upuuzi huu ambao madhara yake yalionekana kipindi cha JK kama sio Mkapa.... So kwa kipindi hiki hawezi kuruhusu. Mleta uzi acha uchochezi bana..... Namuamini sana mama katika kutuunganisha watanzania wote bila kujali mambo ya imani
Mleta mada kazingua.
Tangazo linaonesha kuwa huyo sheikh atatoa mhadhara (lecture) na sio kufanya mdahalo (dialogue). Kwenye mafundisho hayo kutakuwepo na mada ya Jesus na Muhammad kama brothers in faith.
 
Mkuu hapa si ni common sense, ukisto unawataja kina Mussa na wengineo waliotangulia, halikadhalika uislam unawataja kina Jesus na wengineo waliotangulia.

Hii ni common sense mkuu, hata uwe mhindu hii unaelewa
Naelewa ndio why watumie neno Jesus wakati wao wamezoea kumuita Issa?
 
Happy xmass

Nimeona tangazo hili azam tv kuwa kutakuwa na mdaharo wa maswali na majibu kuhusu Mohammed na Jesus

Nachojiuliza why waislamu wanapenda sana kuongelea mambo ambayo wao hawayaamini?

Mmeshawai sikia wakristo wameandaa matamasha au mdaharo kwa lengo la kupambanisha imani?

Kuna namna nyingi sana za kutafuta waumini hubirini kweli ambayo mna iamini sio vyema kwa mnachokifanya kabisa

Nimeshangaa pia leo naangalia tiktok nakutana na shekhee amekazana kukataza waislamu kusheherehekea mpaka kuuza vitu vya sikukuu ya xmass embu jitafakarini kiasi fulani mnakosea
Azam media ni pro islam.. chunguza tamthilia zao tu ambazo watoto wetu wanaziangalia.
 
Mleta mada kazingua.
Tangazo linaonesha kuwa huyo sheikh atatoa mhadhara (lecture) na sio kufanya mdahalo (dialogue). Kwenye mafundisho hayo kutakuwepo na mada ya Jesus na Muhammad kama brothers in faith.
Sasa kwanini watujengee taharuki hivi. Siku hizi JF sijui imekuaje
 
Happy xmass

Nimeona tangazo hili azam tv kuwa kutakuwa na mdaharo wa maswali na majibu kuhusu Mohammed na Jesus

Nachojiuliza why waislamu wanapenda sana kuongelea mambo ambayo wao hawayaamini?

Mmeshawai sikia wakristo wameandaa matamasha au mdaharo kwa lengo la kupambanisha imani?

Kuna namna nyingi sana za kutafuta waumini hubirini kweli ambayo mna iamini sio vyema kwa mnachokifanya kabisa

Nimeshangaa pia leo naangalia tiktok nakutana na shekhee amekazana kukataza waislamu kusheherehekea mpaka kuuza vitu vya sikukuu ya xmass embu jitafakarini kiasi fulani mnakosea
Kama huu mdahalo utafanyika tiss watakuwa wanafanya kazi gani?!
 
Mleta mada kazingua.
Tangazo linaonesha kuwa huyo sheikh atatoa mhadhara (lecture) na sio kufanya mdahalo (dialogue). Kwenye mafundisho hayo kutakuwepo na mada ya Jesus na Muhammad kama brothers in faith.
Umesikia tangazo vizuri wamesema njoo na maswali yako yote utajibiwa means kutakuwa na majadiliano? Pia unaposema ivyo ni wazi kabisa kutakuwa na maswali ya kichokozi
 
Tusubiri tusikilize lazima tutajifunza kitu

Ila ifahamike kuwa hauwi mtakatifu kwa kuhesabu dhambi za wengine
 
YESU lazima ajadiliwe. Yeye ni mwokozi wa ulimwengu. Hata Mohamed anamtumaini yeye.

Na Siku za mwisho injili itahuburiwa Dunia kote hii ni pamoja na misikitini.
😆😆😆 unanikumbusha kuna mwanangu aliniambia alikutana na mganga wake kwa mwamposa
 
Happy xmass

Nimeona tangazo hili azam tv kuwa kutakuwa na mdaharo wa maswali na majibu kuhusu Mohammed na Jesus

Nachojiuliza why waislamu wanapenda sana kuongelea mambo ambayo wao hawayaamini?

Mmeshawai sikia wakristo wameandaa matamasha au mdaharo kwa lengo la kupambanisha imani?

Kuna namna nyingi sana za kutafuta waumini hubirini kweli ambayo mna iamini sio vyema kwa mnachokifanya kabisa

Nimeshangaa pia leo naangalia tiktok nakutana na shekhee amekazana kukataza waislamu kusheherehekea mpaka kuuza vitu vya sikukuu ya xmass embu jitafakarini kiasi fulani mnakosea
Nilifuatilia maigizo mengi yanayorushwa na hii tv yawe ya ndani na hasa hasa ya nje mtu mwenye akili finyu atasema ni ya historia lakini mtu mwenye uwezo wa kutumia akili yake vizuri ataelewa. Nadhani hii ni TV ya UMMA na sio ya dini na imepewa kibali na TCRA
 
Back
Top Bottom