Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MhTusubiri tusikilize lazima tutajifunza kitu
Ila ifahamike kuwa hauwi mtakatifu kwa kuhesabu dhambi za wengine
Mama yakoH
ivi bakhresa na baba yako nani mwenye akili?
Mkuu kama lengo lako lilikua kuandika Happy Christmas ni vizuri ukaandika neno kamili kama nilivyo bold. Hapo umebadilisha maana nzima umeongelea kitu kingine.Happy xmass
Acha basi😆😆😆 unanikumbusha kuna mwanangu aliniambia alikutana na mganga wake kwa mwamposa
Sawa marekebisho mkuuMkuu kama lengo lako lilikua kuandika Happy Christmas ni vizuri ukaandika neno kamili kama nilivyo bold. Hapo umebadilisha maana nzima umeongelea kitu kingine.
Hahahahaha 😂😂 na waoMama yako
Liko wapi hilojukwaa 😁..kuna yule shekh mazinge na prof ndacha wanashindanaga kuhusu dini hoja zao ni zakitoto sana japo watu wanawaona wana hoja nzito awajawai kukutana na mimi wote watakimbia na kupigwa mawe na waumini wao ....Unapambanaga sana na faiza mkuu, jukwaa la zakir naik ni kubwa sana litakufaa. Usiingie mitini mkuu,
MdahaloHujui?
Zakir Naik anatembeleaga nchi nyingi sana mkuu hata ukiwa unascroll youtube one time moja lazima ukutane nae, wewe achana na kina mazinge mkuu fika kwenye tarehe hizo. Unasemaga fulani hajakutana na wewe. Sasa huyu sheikh katoka huko kaja bongo kaka. Mambo yasiwe mengi fika na maswali yako, mimi ntafatilia kwa makini sana nisikie majibuLiko wapi hilojukwaa 😁..kuna yule shekh mazinge na prof ndacha wanashindanaga kuhusu dini hoja zao ni zakitoto sana japo watu wanawaona wana hoja nzito awajawai kukutana na mimi wote watakimbia na kupigwa mawe na waumini wao ....
Mia miaNafikiri ameeleweka! Aliongelee na hili kwenye huo mjadala! Huwa namkubali sana huyu mwanazuoni(Naik) coz hana jazba,hasira,mhemko wala papara!
Haya maswali mepesi sanaNafikiri ameeleweka! Aliongelee na hili kwenye huo mjadala! Huwa namkubali sana huyu mwanazuoni(Naik) coz hana jazba,hasira,mhemko wala papara!
Bora iwe hivo😂Mohammed Salah vs Gabriel JesusView attachment 3185821
Azam TV wameweka hilo Tangazo na Azam Media ndio wamemuwezesha huyo Shekhe kufika Tanzania (Wadhamini wa huo mdahalo wa upande mmoja)Tangazo umeona wapi mkuu...?
Ngoja nifanyie hili suala kazi hapa
Wanafanya against nani? Wanafanya sana akian Jeff Massawe na akina Ndacha ila kunakuwa na Sulle au Shekhe yule mzee msema hovyo.Midaharo mbona inafanyika mingi tu, au unajizima data kwamba wakristo hawafanyi?
Kama una imani yako, na umeishika sawasawa, haijalishi hata uchokozwe vipi. Dunia nzima watu wanahoji imani za wenzao lakini bado dini zinaendelea tu kuwepo.Umesikia tangazo vizuri wamesema njoo na maswali yako yote utajibiwa means kutakuwa na majadiliano? Pia unaposema ivyo ni wazi kabisa kutakuwa na maswali ya kichokozi
Sifahamu uelewa wako kuhusu dini, ila jamaa ni level nyingine coz ana ufahamu,uelewa,uzoefu,maarifa,elimu,ujuzi kuhusu dini zote za hapa duniani.Wanialike nije kumtoa knock out huyo shehe