Huu mjadala wa kususia bidhaa na huduma ni hatari kwa uchumi wa nchi

Huu mjadala wa kususia bidhaa na huduma ni hatari kwa uchumi wa nchi

Kwani kwa wenzetu waliwezaje kususia bidhaa na huduma na sisi tushindweje?

Ni suala la kupunguza spending tu.
Nitajie nchi iliyofanikiwa weka na ushahidi.

Kenya baada ya Post Election Violence ya mwaka 2007/8 ambapo Mwai Kibaki mkikuyu alishinda na kukawa na mauaji ya kikabila, kulifuatiwa na azimio la kugoma bidhaa za Wakikuyu. Kwenye real life ilionekana kuwa Mabilionea wakikuyu (Kenyatta, Njenga Karume, Michuki, Githanga etc) wanatoa ajira kwa 25% ya raia wa Kenya walio kwenye ajira.

Hivyo ikaonekana kugomea Wakikuyu ni kugomea kipato/ mshahara ambayo ni suicide
 
Subiri uone mamilioni ya raia wakubali kujinyima kununua huduma na vitu fulanifulani ili kuinyima serikali kodi, hapo ndo utajua mbinu ya economic boycott inafanya kazi au la!
Pesa ya kununua tu taabu, halafu wapate pesa waboycott. Hakuna raia anayejitambua atafuata huu umavimavi.
 
Hao watu wa vijijini wenyewe wanafuata lolote linaloamuliwa mjini. Kama mngekuwa mnawathamini hao watu wa vijijini viongozi nao wangeishi huko vijijini.
Kuishi kijijini ndio sifa ya kuwa kiongozi?
 
Msipuuze kila kitu vingine vitakuja kutokea kwa surprise.

Mfano tu suala la miamala ya simu kushuka kwa zaidi ya 75% huoni serikali inavyohaha kulishughulikia?
Hakuna iliposhuka hiyo asilimia unayotunga
 
Mkuu lakususia linawezekana kabisa tena linafanya kazi vizuri.

Hukumbuki Wakenya walivyosusia bidhaa zitokanazo na wanasiasa wa upande wa Jubilee ulivyoteteresha uchumi hadi kufikia kukaa meza moja na wapinzani?

Mfano mimi ndo baba wa familia mbona hilo lakususia linawezekana vizuri kabisa na wala sipigwi mabomu.
Huku sio Kenya
 
Wa mjini ndo wana cashflow ya maana na ndo waelewa.
Hawa wana uwezo wa ndani ya siku kadha wa kadha watakazochagua kupunguza kutumia magari yao, kupunguza matumizi ya pombe, kupunguza matumizi ya data, ili kuinyima serikali kodi.
Nakuhakikishia kama watu milioni moja wakiamua kupunguza spending mara tatu tu ndani ya mwezi, makusanyo lazima yashuke
Wakipunguza nani atawalisha? Kwani wanafanya matumizi for leisure au kama hisani au
 
Huo mgomo ni wa KIPUMBAVU kabisa na wala hauwezi kuleta impact kwa uchumi hata kwa 0.00000001%.

Kwa mfano kugomea mitandao ya simu unaanzanje? Hata kwenye hiyo Space wanatumia simu. Una mzazi wako inabidi umpelekee fedha ya chakula au dawa, utafikisha vipi ukigoma ?

Vijana wengi hayo makampuni ya huduma ndiyo ajira zao indirectly, wanasoma halafu wanakosa kipato.

Hiyo mijadala yao ni ya KIPUMBAVU
Haujaelewa yanayogusiwa unakuja na ujinga wa headless chickens!

Kuna kampuni za simu kama 2 hivi ndizo ziko targeted sio zote,we have specific targets kwenye bidhaa na huduma za makampuni na watu wale tu wenye mlengo wa kuisupport ccm.
 
Tanzania ina watu milioni 60,approximately

50% ya Watanzania wanapenda opposition,ni 30 million approximately

Sasa "wapi" ndio akina nani unawaulizia maana swali lako limekaa kiduwanzi!
Kwa utafiti upi?

Ulizunguka nchi nzima ukafanya huo utafiti?
 
Voda unajua hali yake lakini kwa miaka 5 iliyopita.

Unajua mwaka Jana wametengeneza hasara ya 60 billions?

Kilichopi ni mpesa sio voda, voda ilishakufa kitambo sana .

Na mpesa wakicheza haya matozo inakufa nayo.
Mi mmojawapo nimeacha kutumia mpesa zaidi ya mwaka sasa!
Nikahamia halopesa!.
Ilipoanza tozo nimetumia Mara 2 tu aisee hela imeniuma!
Na nimesitisha rasmi kutumia halopesa,natumia njia nyingine tu,simple!
Na sio mimi tu ,sa wanaobisha wasubiri majibu ya wenye makampuni ya cm.

Sent from my TECNO P701 using JamiiForums mobile app
 
Vuta picha na wa CCM wakifanya hivyo kwenu!
Hatuna wana CCM Tanzania ,tuna Malaya wa kisiasa wa CCM ni wachache mno!

Isingekuwa njaa na unafiki hakika CCM isingekuwepo.

Uhakika nchi hii wana CCM halisi kabisa wa kuipenda kutoka moyoni ni wachache sana
 
Haujaelewa yanayogusiwa unakuja na ujinga wa headless chickens!

Kuna kampuni za simu kama 2 hivi ndizo ziko targeted sio zote,we have specific targets kwenye bidhaa na huduma za makampuni na watu wale tu wenye mlengo wa kuisupport ccm.
Bado ni UPUMBAVU TU. Wewe unajuwa market share ya VODACOM/ VODAFONE hapa nchini? Unajuwa amekamata segment gani ya wateja? It's corporate business ndiyo cash cow yake. Wewe na vocha zako za mawazo kwendraaaaaaaaa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hawa watu ni wajinga sana aisee!

Wamenikumbusha wakati ule wana saini petition ya kumtoa Diamond kwenye tuzo za BET
Halafu matokeo yake yalikuwaje?
 
Back
Top Bottom