Nitajie nchi iliyofanikiwa weka na ushahidi.Kwani kwa wenzetu waliwezaje kususia bidhaa na huduma na sisi tushindweje?
Ni suala la kupunguza spending tu.
Kwa Zanzibar wanaweza... ila jamii acha kabisaHayupo wa kufanya huo ujinga
Pesa ya kununua tu taabu, halafu wapate pesa waboycott. Hakuna raia anayejitambua atafuata huu umavimavi.Subiri uone mamilioni ya raia wakubali kujinyima kununua huduma na vitu fulanifulani ili kuinyima serikali kodi, hapo ndo utajua mbinu ya economic boycott inafanya kazi au la!
Hapa kama sijaelewa hivi, kwani voda ni kampuni ya serikali?Hivi voda ilivyo sasa ndivyo ilikuwa miaka 5 iliyopita? Unajua voda imetengeneza hasara ya billion 60 mwaka Jana
Unafikiri ni kwanini wametengeneza hasara wakati
Airtel, Tigo na halotel wametengeneza faida?
Labda wewe mimi niko tayari kuboycotPesa ya kununua tu taabu,alafu wapate pesa waboycott.Hakuna raia anayejitambua atafuata huu umavimavi.
NdioHapo ulipo unayo hayo maendeleo?
Kuishi kijijini ndio sifa ya kuwa kiongozi?Hao watu wa vijijini wenyewe wanafuata lolote linaloamuliwa mjini. Kama mngekuwa mnawathamini hao watu wa vijijini viongozi nao wangeishi huko vijijini.
Hakuna iliposhuka hiyo asilimia unayotungaMsipuuze kila kitu vingine vitakuja kutokea kwa surprise.
Mfano tu suala la miamala ya simu kushuka kwa zaidi ya 75% huoni serikali inavyohaha kulishughulikia?
Huku sio KenyaMkuu lakususia linawezekana kabisa tena linafanya kazi vizuri.
Hukumbuki Wakenya walivyosusia bidhaa zitokanazo na wanasiasa wa upande wa Jubilee ulivyoteteresha uchumi hadi kufikia kukaa meza moja na wapinzani?
Mfano mimi ndo baba wa familia mbona hilo lakususia linawezekana vizuri kabisa na wala sipigwi mabomu.
Huyataki wewe na nani?Maendeleo ya kujengea viongozi waliostaafu mahekalu na kuwapa magari? Hayo maendeleo ya viongozi wanaokaa maofisini na kujinunulia maVXR hatuyataki.
Wakipunguza nani atawalisha? Kwani wanafanya matumizi for leisure au kama hisani auWa mjini ndo wana cashflow ya maana na ndo waelewa.
Hawa wana uwezo wa ndani ya siku kadha wa kadha watakazochagua kupunguza kutumia magari yao, kupunguza matumizi ya pombe, kupunguza matumizi ya data, ili kuinyima serikali kodi.
Nakuhakikishia kama watu milioni moja wakiamua kupunguza spending mara tatu tu ndani ya mwezi, makusanyo lazima yashuke
Haujaelewa yanayogusiwa unakuja na ujinga wa headless chickens!Huo mgomo ni wa KIPUMBAVU kabisa na wala hauwezi kuleta impact kwa uchumi hata kwa 0.00000001%.
Kwa mfano kugomea mitandao ya simu unaanzanje? Hata kwenye hiyo Space wanatumia simu. Una mzazi wako inabidi umpelekee fedha ya chakula au dawa, utafikisha vipi ukigoma ?
Vijana wengi hayo makampuni ya huduma ndiyo ajira zao indirectly, wanasoma halafu wanakosa kipato.
Hiyo mijadala yao ni ya KIPUMBAVU
Kwa utafiti upi?Tanzania ina watu milioni 60,approximately
50% ya Watanzania wanapenda opposition,ni 30 million approximately
Sasa "wapi" ndio akina nani unawaulizia maana swali lako limekaa kiduwanzi!
Kuishi kijijini ndio sifa ya kuwa kiongozi?
Mimi na mke wangu.Huyataki wewe na nani?
Mi mmojawapo nimeacha kutumia mpesa zaidi ya mwaka sasa!Voda unajua hali yake lakini kwa miaka 5 iliyopita.
Unajua mwaka Jana wametengeneza hasara ya 60 billions?
Kilichopi ni mpesa sio voda, voda ilishakufa kitambo sana .
Na mpesa wakicheza haya matozo inakufa nayo.
Hatuna wana CCM Tanzania ,tuna Malaya wa kisiasa wa CCM ni wachache mno!Vuta picha na wa CCM wakifanya hivyo kwenu!
Bado ni UPUMBAVU TU. Wewe unajuwa market share ya VODACOM/ VODAFONE hapa nchini? Unajuwa amekamata segment gani ya wateja? It's corporate business ndiyo cash cow yake. Wewe na vocha zako za mawazo kwendraaaaaaaaaHaujaelewa yanayogusiwa unakuja na ujinga wa headless chickens!
Kuna kampuni za simu kama 2 hivi ndizo ziko targeted sio zote,we have specific targets kwenye bidhaa na huduma za makampuni na watu wale tu wenye mlengo wa kuisupport ccm.
Wewe nunua si ni CCM !Ni hivi malaya wa kisiasa wa chache wataendelea kununuawanaosema hivyo baadhi hawako Tanzania, wakisusia sisi tunanunua tu
Halafu matokeo yake yalikuwaje?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hawa watu ni wajinga sana aisee!
Wamenikumbusha wakati ule wana saini petition ya kumtoa Diamond kwenye tuzo za BET