IDEGENDA
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 4,505
- 5,343
Lema na Lisu waliwahi kuja na kampeni kwamba wafuasi wao wasusie laini za voda,, na kweli wafuasi wajinga wakawa wanatuma vipicha eti wamevunja laini za voda.
Siku walipokamatwa hao kina Lema wakatoa namba zao za voda kwa ajili ya kupokelea michango [emoji23][emoji23][emoji23]
Ni ujinga
Siku walipokamatwa hao kina Lema wakatoa namba zao za voda kwa ajili ya kupokelea michango [emoji23][emoji23][emoji23]
Ni ujinga