Huu mjadala wa kususia bidhaa na huduma ni hatari kwa uchumi wa nchi

Huu mjadala wa kususia bidhaa na huduma ni hatari kwa uchumi wa nchi

Kuna mjadala unaendelea space pale twitter aisee kama haya maazimio ya kususia bidhaa na huduma yatafanikiwa hakika itakuwa hatari kwa uchumi.

Ushauri serikali wakutane na wapinzani haraka maana hata mishahara ya mapolisi inaweza kukosa huko mbeleni.

Ni ushauri tu mnaweza kuufanyia kazi au kuupuza ila kama hatua hizi zitafanikiwa hata kwa 25% makusanyo yataporomoka sana.
View attachment 1877729
Kipi ni hatari zaidi: kugomea Katiba mpya au bidhaa! Tujifunze kuheshimiana.
 
Kuna mjadala unaendelea space pale twitter aisee kama haya maazimio ya kususia bidhaa na huduma yatafanikiwa hakika itakuwa hatari kwa uchumi.

Ushauri serikali wakutane na wapinzani haraka maana hata mishahara ya mapolisi inaweza kukosa huko mbeleni.

Ni ushauri tu mnaweza kuufanyia kazi au kuupuza ila kama hatua hizi zitafanikiwa hata kwa 25% makusanyo yataporomoka sana.
View attachment 1877729
Mkuu hiyo app inaitwaje playstore??
 
Maamuzi ya maccm hayawaumizi Chadema tu bali Watanzania wote nchini wasio na chama na walio na vyama tia akili kichwani. Wafanyakazi, Wafanyabishara, Wakulima, graduates wote wameathirika kwa namna moja au nyingine.
Mbowe na Chadema wanapambana na CCM si kwa kutumia nguvu ya raia bali kwa kutumia unafasi wa Chama chao.

Sijui umenielewa?
 
Hujanijibu swali langu hapo juu labda kama huna majibu useme.
Mlango upo wazi kwa nini unaishi gerezani? Vipi ikiwa wewe umeshindwa kulielewa jawabu langu kwa kishindwa kuitumia tunu yako vizuri?
 
Nipo Space ya Maria Sarungi ambapo baadhi ya makada wa CHADEMA na Wanaharakati wanajenga hoja juu ya kususia bidhaa na huduma mbalimbali ili kuikosesha serikali mapato.

Wanaanza na kutoa historia ya Boycotting ambapo kwa wakati fulani, watu wa Uingereza walikuwa hawapendezwi na biashara ya Utumwa. Ili kuukomesha, wakaacha kutumia Sukari ambayo ilikuwa ikitengenezwa na Watumwa. Na hivyo ikasabisha kiwanda kufungwa kwa sababu bidhaa hazitoki.

Wanasema kuwa, jamii ya Watanzania wakipunguza matumizi ya bidhaa na huduma kama vile unywaji wa Bia, kupunguza matumizi ya sukari, maji ya kunywa, kupunguza miamala isiyo ya lazima na vyakula katika hoteli zilizosajiliwa.

Wanaamini kuwa kupunguza huko matumizi ya huduma na bidhaa itasababisha serikali kukosa kiasi kikubwa cha mapato.

Na kukosa huko mapato itasababisha serikali ishindwe kujiendesha kwa sababu mapato yamepungua. Na bila shaka, kutafuta namna ya kukaa na wadau na kuzungumza nao ili kuweza kutatua yaliyomo.

Wanaamini kuwa, njia hii ya kususia bidhaa na huduma 'Boycotting' itakuwa na ufanisi kwa sababu hakuna polisi watakaokuja kuwalazimisha watu watumie.

Wanaona kuwa njia hii ni ya amani na hivyo itawalazimisha serikali kurudi katika Misingi ya Utawala bora na kuleta uchocheo wa Katiba mpya.

Je, CHADEMA watafanikiwa kwa njia hii?
Hahaha..aiseee huwa nacheka sana ninapoona wanaharakati wa twiraaaa...hv hivyo vibint viwil..sijui sarungi na wenzake hawajaish maisha ya kitanzania halisi au? Hv wanazani watz wapo huko twitwangaaaa..ni wapuuzi sana nawaambia. Alaf hao chadema nao maisha yao yakojee..hawakai na watz halisi huko mitaani..hv mtu anatoka asubuh eti asusie beer..unajua utamu wa beer ww..etu sukar..yelewiii..alaf wanajadl upuuzi wakat watz asilimia 90 hawamo twiter
 

Mlango upo wazi kwa nini unaishi gerezani? Vipi ikiwa wewe umeshindwa kulielewa jawabu langu kwa kishindwa kuitumia tunu yako vizuri?

626CE047-07E0-497B-AC79-755D2228F718.jpeg
 
Hakuna kitu kama hicho.
Forum yao ilikuwa na peak ya 6k wakisikiliza wakiwemo wasiowaunga mkono.
Sasa hivi imedrop kwenye 2k. Assume wagome hao. Effect ni negligible. Shemasi siku hizi kawa dis. Ni empty set hao
 
Maamuzi ya maccm hayawaumizi Chadema tu bali Watanzania wote nchini wasio na chama na walio na vyama tia akili kichwani. Wafanyakazi, Wafanyabishara, Wakulima, graduates wote wameathirika kwa namna moja au nyingine.
Mkuu, hilo nalifahamu na kweli ulichokiandika ila kila jambo lina mahala pake.

Kwa sasa tunazungumzia kadhia iliyobeba kichwa cha huu Uzi.
 
CDM wasifanye iyo kitu,watanasa kwenye mtego wa Hoja ya ugaidi. Watu watahoji kama wamefanya haya Basi Na Hoja ya ugaidi ni kweli.

Dunia imebadilika sana Na serikali inalifahamu hilo. Ushauri Wangu kwa Cdm wajikite zaidi ktk kujibadili kimfumo Na kimuundo.
 
Mahala pake wapi tena ikiwa kauli ya kujenga kama hii inadhatauliwa na hii Serikali dhalimu!?

Mkuu, hilo nalifahamu na kweli ulichokiandika ila kila jambo lina mahala pake.


Kwa sasa tunazungumzia kadhia iliyobeba kichwa cha huu Uzi.
 
Back
Top Bottom