Huu mjadala wa kususia bidhaa na huduma ni hatari kwa uchumi wa nchi

Huu mjadala wa kususia bidhaa na huduma ni hatari kwa uchumi wa nchi

Nipo Space ya Maria Sarungi ambapo baadhi ya makada wa CHADEMA na Wanaharakati wanajenga hoja juu ya kususia bidhaa na huduma mbalimbali ili kuikosesha serikali mapato. Wanaanza na kutoa historia ya Boycotting ambapo kwa wakati fulani, watu wa Uingereza walikuwa hawapendezwi na biashara ya Utumwa. Ili kuukomesha, wakaacha kutumia Sukari ambayo ilikuwa ikitengenezwa na Watumwa. Na hivyo ikasabisha kiwanda kufungwa kwa sababu bidhaa hazitoki. Wanasema kuwa, jamii ya Watanzania wakipunguza matumizi ya bidhaa na huduma kama vile unywaji wa Bia, kupunguza matumizi ya sukari, maji ya kunywa, kupunguza miamala isiyo ya lazima na vyakula katika hoteli zilizosajiliwa. Wanaamini kuwa kupunguza huko matumizi ya huduma na bidhaa itasababisha serikali kukosa kiasi kikubwa cha mapato. Na kukosa huko mapato itasababisha serikali ishindwe kujiendesha kwa sababu mapato yamepungua. Na bila shaka, kutafuta namna ya kukaa na wadau na kuzungumza nao ili kuweza kutatua yaliyomo. Wanaamini kuwa, njia hii ya kususia bidhaa na huduma 'Boycotting' itakuwa na ufanisi kwa sababu hakuna polisi watakaokuja kuwalazimisha watu watumie. Wanaona kuwa njia hii ni ya amani na hivyo itawalazimisha serikali kurudi katika Misingi ya Utawala bora na kuleta uchocheo wa Katiba mpya. Je, CHADEMA watafanikiwa kwa njia hii?
 
6B4A80B7-280D-4A84-ADC9-26E0A6C38785.jpeg
 
Hahaha..aiseee huwa nacheka sana ninapoona wanaharakati wa twiraaaa...hv hivyo vibint viwil..sijui sarungi na wenzake hawajaish maisha ya kitanzania halisi au? Hv wanazani watz wapo huko twitwangaaaa..ni wapuuzi sana nawaambia. Alaf hao chadema nao maisha yao yakojee..hawakai na watz halisi huko mitaani..hv mtu anatoka asubuh eti asusie beer..unajua utamu wa beer ww..etu sukar..yelewiii..alaf wanajadl upuuzi wakat watz asilimia 90 hawamo twiter
[emoji23][emoji23][emoji23]Akili zao ni ndogo sana hawa watu
 
Waambieni waingie front hii ya kususa ni ya kijinga tu.
Kumbe waoga sana. Huwa najua hawawezi kuandamana waoga kuchezea kichapo
Tunasubiri watuhamsishe kumbe hakuna
 
Kigogo siku hizi anajifanya mtumishi na anasoma sana bible!

[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Waambieni waingie front hii ya kususa ni ya kijinga tu.
Kumbe waoga sana. Huwa najua hawawezi kuandamana waoga kuchezea kichapo
Tunasubiri watuhamsishe kumbe hakuna
Tafiti zimeonyesha kuwa non-violent struggle zina nguvu kuliko violent struggle

Kususa kunakomnyima dhalimu hela ya kuwalipa mishahara askari wake na raia wavivu wa mabadiliko ndiyo njia muafaka zaidi
 
Hakuna mpango wa mgomo uliofanyika na wanaharakati wa Twita ukafanikiwa "kwa graundi" ..Hao makamanda wakimaliza huo mjadala kesho watarukia mwingine, utasikia tuwachangie kwa Mpesa ili wazunguke dunia wakati jana walituambia tugome kutumia Mpesa🤣🤸🐒
 
Hakuna kitu kama hicho.
Forum yao ilikuwa na peak ya 6k wakisikiliza wakiwemo wasiowaunga mkono.
Sasa hivi imedrop kwenye 2k. Assume wagome hao. Effect ni negligible. Shemasi siku hizi kawa dis. Ni empty set hao
Mtandao unachezewa wanaobaki ni wale wenyewe VPN kama hauna huwezi sikia chochote unapoteza muda tu ndio maana watu hawasikilizi kwa sasa but hao 2000 ni wengi kwa mujibu wa takwimu.
 
simple mbona tulishasusa toka zamani kwa kuwa tunatamani lakini hatuwezi kununua!
lakini la pili ni ipi nia ya ndani ya watu hawa? kipi kimejificha au kuna agenda gani hawa watoto wa watawala wetu wa zamani? ni kweli wanaipenda sana tazania kuliko sisi wenye uraia wa 100%? nadhani unanielewa bado napata mashaka
 
Mkuu hili la KUSUSIA huduma muhimu bila ya shaka limewaogopesha sana hawa maccm ná Serikali yao haramu. Kama hili la kususia likiwa na mafanikio makubwa basi maccm lazima yanyooshe mikono juu kwani athari yake katika makusanyo ya mapato ya Serikali yataanguka hata kama ni kwa 20% tu. Fikiria kuelekea 2025 kususia huduma mbali mbali kama maccm yataendelea kukataa Katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi na kuendelea na maovu yao dhidi ya Watanzania.

CHADEMA kamueni CCM ndo tutaacha ujinga ujinga na utoto utoto uliokithiri
 
Tafiti zimeonyesha kuwa non-violent struggle zina nguvu kuliko violent struggle

Kususa kunakomnyima dhalimu hela ya kuwalipa mishahara askari wake na raia wavivu wa mabadiliko ndiyo njia muafaka zaidi
Mkuu kwa akili yako ilivyo sawa unaamini utafnikiwa huo mpango? Jiulize wewe kwa mf kesho unagoma kununua unga ili serkali isipate kodi yake umeona unaweza?
Halafu twiter wako kikundi ambacho ukikaa utaona speakers ni wale wale hawazidi 20 wengine wote listeners huo wanawachora tu.
Wagome tuone. Tena wawahi, huku mtaani hakuna atakayejua kuna mgomo
 
Samia alianza vizuri lakini akakubali lile kundi la Axis of evil AKA SG limpore Urais ili kuendeleza maovu ya dhalimu mwendazake sasa ITAKULA kwake.

inaweza ikawa nzuri na vilevile ikazalisha mwandiko mbaya!

Kosa ni la nani? Ni la kalamu au la mwandishi?

Kalamu ni CCM. Mwandishi ni raia. Miezi michache hii ya Samia Chadema ina dili na kalamu badala ya kudili na mwandishi.

Naunga mkono maneno ya Mwl.
 
chadema nimeanza kuwaogopa hadi IGP Siro katoka pangoni 🌚
 
Back
Top Bottom