Huu mjadala wa kususia bidhaa na huduma ni hatari kwa uchumi wa nchi

Huu mjadala wa kususia bidhaa na huduma ni hatari kwa uchumi wa nchi

Mkuu utaniambia wakifanikiwa unikumbushe kwa hapo ni bet.
MABUNGE YA CCM HAYAZIDI 500 lakini yamepitisha tozo za miamala zinazosumbua mamilioni ya Watanzania hivi sasa, wewe unatumia kiungo gani kufikiri?
 
MABUNGE YA CCM HAYAZIDI 500 lakini yamepitisha tozo za miamala zinazosumbua mamilioni ya Watanzania hivi sasa, wewe unatumia kiungo gani kufikiri?
Kichwa cha chini.

Hebu tikisa hicho kichwa. Huenda ubongo wako ni yule wa " shake before use"
 
Hizi mambo ziko kichwani field haziwezekani milele kama ujamaa wa nyerere[emoji706]
Ujamaa tuliujaribu, na mbinu hii ya sasa ikijaribiwa tutaona effect yake.
Uchumi wa TZ unachangiwa zaidi na sekta ya huduma, Ikitokea watu hata 10000 wakapunguza spending zao hata siku mbili tu kwa mwezi, utaona shughuli yake!
 
Kwasabu chadema wapo wachache hawatofanikiwa ,labda wananchi kwa ujumla bila kujali vyama ndio hiyo kitu itawezekana kumbuka walisusia voda mpaka sasa inadunda
We huoni imejitoa udhamini wa ligi kuu
 
Mtandao wa voda una gharama kubwa watu wanakimbilia kwenye unafuu sio kwa sababu watu wamesusa
Ndio nitawashawishi hivyo hivyo waache kutumia kupanda mabasi ya wakina Abood na wapande zuberi.

Hivi unajua kwamba Zakaria magari yake watu wa Mara hawapandi kabisa yanapandwa na wageni njia ile ya mwanza- musoma na Mwanza-Sirari watu wanapamda KISIRE

Toka mwaka 2015 magari mengi ya Zakaria yapo yadi kule Tarime.
 
Mgomo bila research ni ujinga....unahamasisha kwa twitter wakati waliopo huko is less than 200k of the whole TZ population.
 
Mbuyu ulianza kama mchicha...

Maneno huumba na kufanya kitu/jambo halisi kutokea...

Mfano, polisi wanasema mara kwa mara kuwa;

å wataua watu, NA KWELI WANAUA NA WATAUA WENGINE...!

å watavunja watu miguu, NA KWELI WALISHAWAVUNJA NA SASA WANAENDA KUVUNJA WWNGINE...!

Ni kama masihara hivi. Lakini uzima [uheri] na mauti [ulemavu, maumivu na kifo] vipo katika NGUVU YA ULIMI...

Ndo kusema, kwa kadiri jambo linavyorudiwa rudiwa kusemwa, basi kitu/jambo huimarika katika masikio na fahamu za watu na kisha kuwekwa ktk vitendo...

Tuchunge na kuzitumia vyema ndimi zetu kwa kunena mazuri tuyatakayo ktk maisha yetu...
 
Nipo Space ya Maria Sarungi ambapo baadhi ya makada wa CHADEMA na Wanaharakati wanajenga hoja juu ya kususia bidhaa na huduma mbalimbali ili kuikosesha serikali mapato.

Wanaanza na kutoa historia ya Boycotting ambapo kwa wakati fulani, watu wa Uingereza walikuwa hawapendezwi na biashara ya Utumwa. Ili kuukomesha, wakaacha kutumia Sukari ambayo ilikuwa ikitengenezwa na Watumwa. Na hivyo ikasabisha kiwanda kufungwa kwa sababu bidhaa hazitoki.

Wanasema kuwa, jamii ya Watanzania wakipunguza matumizi ya bidhaa na huduma kama vile unywaji wa Bia, kupunguza matumizi ya sukari, maji ya kunywa, kupunguza miamala isiyo ya lazima na vyakula katika hoteli zilizosajiliwa.

Wanaamini kuwa kupunguza huko matumizi ya huduma na bidhaa itasababisha serikali kukosa kiasi kikubwa cha mapato.

Na kukosa huko mapato itasababisha serikali ishindwe kujiendesha kwa sababu mapato yamepungua. Na bila shaka, kutafuta namna ya kukaa na wadau na kuzungumza nao ili kuweza kutatua yaliyomo.

Wanaamini kuwa, njia hii ya kususia bidhaa na huduma 'Boycotting' itakuwa na ufanisi kwa sababu hakuna polisi watakaokuja kuwalazimisha watu watumie.

Wanaona kuwa njia hii ni ya amani na hivyo itawalazimisha serikali kurudi katika Misingi ya Utawala bora na kuleta uchocheo wa Katiba mpya.

Je, CHADEMA watafanikiwa kwa njia hii?
Inawezekana mkuu,kwa sababu watuamiaji wakubwa wa Sukari kwa mfano,ni watu waishio mijini na wamestaarabika,na wengi wao ni Wapinzani.
Nature ya wana CCM wengi ni umaskini wa kutupwa na ujinga, ambao wengi wao wapo vijjini na hata Chai hawaijui,wanachojua ni kunywa uji wa ukwaju au Chumvi.
 
Hili halitafanikiwa Mkuu.

Labda niweke hili wazi! Chadema imeshapoteza mbinu/akili ya kupambana na CCM. MBOWE akili yake imesha staafu. Imma aombe watu wengine wamchoree mipango au atoke aruhusu akili nyengine iingie ifanye kazi. Kwa haya madrama mnayokwenda nayo yaani hamna kitu.
Wakati huo huo Yule binti Kigogo na Lisu wameshavurugana
 
Inawezekana mkuu,kwa sababu watuamiaji wakubwa wa Sukari kwa mfano,ni watu waishio mijini na wamestaarabika,na wengi wao ni Wapinzani.
Nature ya wana CCM wengi ni umaskini wa kutupwa na ujinga, ambao wengi wao wapo vijjini na hata Chai hawaijui,wanachojua ni kunywa uji wa ukwaju au Chumvi.
Ndio mtapata tabu Sana na hoja zenu za sijui gas,sukari mara luku ,miamala haya mambo hayawahusu Vijijini,, serikali ikiwaambia tumewwka tozo watu wa mjini walipe Ili tuwajengee barabara, zahanati na maji au shule ni makofi kwa kwenda mbele .

Nyie machadema hamjui hata kuchambua bajeti za serikali,hamjui hoja za kutoka nazo mnakomaa na Katiba,nani kijijini anataka Katiba?

Kijijini hata mijini wakiambiwa wanataka walete vita wamefadhiliwa na bwana zeenu Ulaya fasta mnapuuzwa na watu..Hii nchi ina wajinga wengi haijawa tayari kwa vyama vingi,hata wanaotumia mitandao ya kijamii ni watu wa mjini kijijini hawana huo mda.
 
Mdharau MWIBA …….
Inawezekana mkuu,kwa sababu watuamiaji wakubwa wa Sukari kwa mfano,ni watu waishio mijini na wamestaarabika,na wengi wao ni Wapinzani.
Nature ya wana CCM wengi ni umaskini wa kutupwa na ujinga, ambao wengi wao wapo vijjini na hata Chai hawaijui,wanachojua ni kunywa uji wa ukwaju au Chumvi.
 
Akili za kitoto sana hizo kwani hao chadema nchi hii wangapi mpaka ifike hatua ya kuathiri muhimu kwao kuhama nchi kama wale
 
Back
Top Bottom