nyakubonga
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 5,960
- 9,978
Uraisi ni taasisi mkuu, akisusa anashauliwa vinginevyo.Na nchi ikiongozwa na mwanamke?[emoji848]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uraisi ni taasisi mkuu, akisusa anashauliwa vinginevyo.Na nchi ikiongozwa na mwanamke?[emoji848]
Voda unajua hali yake lakini kwa miaka 5 iliyopita.
Unajua mwaka Jana wametengeneza hasara ya 60 billions?
Kilichopi ni mpesa sio voda, voda ilishakufa kitambo sana .
Na mpesa wakicheza haya matozo inakufa nayo.
AibuKuna mjadala unaendelea space pale twitter aisee kama haya maazimio ya kususia bidhaa na huduma yatafanikiwa hakika itakuwa hatari kwa uchumi.
Ushauri serikali wakutane na wapinzani haraka maana hata mishahara ya mapolisi inaweza kukosa huko mbeleni.
Ni ushauri tu mnaweza kuufanyia kazi au kuupuza ila kama hatua hizi zitafanikiwa hata kwa 25% makusanyo yataporomoka sana.
View attachment 1877729
Wa mjini ndo wana cashflow ya maana na ndo waelewa.Ndio mtapata tabu Sana na hoja zenu za sijui gas,sukari mara luku ,miamala haya mambo hayawahusu Vijijini,, serikali ikiwaambia tumewwka tozo watu wa mjini walipe Ili tuwajengee barabara, zahanati na maji au shule ni makofi kwa kwenda mbele .
Nyie machadema hamjui hata kuchambua bajeti za serikali,hamjui hoja za kutoka nazo mnakomaa na Katiba,nani kijijini anataka Katiba?
Kijijini hata mijini wakiambiwa wanataka walete vita wamefadhiliwa na bwana zeenu Ulaya fasta mnapuuzwa na watu..Hii nchi ina wajinga wengi haijawa tayari kwa vyama vingi,hata wanaotumia mitandao ya kijamii ni watu wa mjini kijijini hawana huo mda.
Haijawahi kuwa na uhitaji mkubwa wa kususia, lakini watu wakiwa pushed to the limit itafanikiwa tu, na itapiga penyewe palepale panapoumaMsigwa alikuwa na kampeni ya kususia bidhaa za ASAS pale Iringa.
Hizi ni kama harakati za pimbi tu,hazijawahi kufanikiwa wala kuwa endelevu.
Sisi tumesusia huduma za fedha za simu tu ,Kuna mjadala unaendelea space pale twitter aisee kama haya maazimio ya kususia bidhaa na huduma yatafanikiwa hakika itakuwa hatari kwa uchumi.
Ushauri serikali wakutane na wapinzani haraka maana hata mishahara ya mapolisi inaweza kukosa huko mbeleni.
Ni ushauri tu mnaweza kuufanyia kazi au kuupuza ila kama hatua hizi zitafanikiwa hata kwa 25% makusanyo yataporomoka sana.
View attachment 1877729
Hapo ulipo unayo hayo maendeleo?Hao wapumbavu wa twitter nani ana habari nao? Tukisusia watatuletea maendeleo?
Tusiwapuuze kwakua tunaona ni hoja kutoka chadema. Endapo taarifa hii ikawafikia wengi wasiopendezwa na yanayoendelea, amini nakuambia, tusipoziba ufa, tutajenga ukutaNipo Space ya Maria Sarungi ambapo baadhi ya makada wa CHADEMA na Wanaharakati wanajenga hoja juu ya kususia bidhaa na huduma mbalimbali ili kuikosesha serikali mapato.
Wanaanza na kutoa historia ya Boycotting ambapo kwa wakati fulani, watu wa Uingereza walikuwa hawapendezwi na biashara ya Utumwa. Ili kuukomesha, wakaacha kutumia Sukari ambayo ilikuwa ikitengenezwa na Watumwa. Na hivyo ikasabisha kiwanda kufungwa kwa sababu bidhaa hazitoki.
Wanasema kuwa, jamii ya Watanzania wakipunguza matumizi ya bidhaa na huduma kama vile unywaji wa Bia, kupunguza matumizi ya sukari, maji ya kunywa, kupunguza miamala isiyo ya lazima na vyakula katika hoteli zilizosajiliwa.
Wanaamini kuwa kupunguza huko matumizi ya huduma na bidhaa itasababisha serikali kukosa kiasi kikubwa cha mapato.
Na kukosa huko mapato itasababisha serikali ishindwe kujiendesha kwa sababu mapato yamepungua. Na bila shaka, kutafuta namna ya kukaa na wadau na kuzungumza nao ili kuweza kutatua yaliyomo.
Wanaamini kuwa, njia hii ya kususia bidhaa na huduma 'Boycotting' itakuwa na ufanisi kwa sababu hakuna polisi watakaokuja kuwalazimisha watu watumie.
Wanaona kuwa njia hii ni ya amani na hivyo itawalazimisha serikali kurudi katika Misingi ya Utawala bora na kuleta uchocheo wa Katiba mpya.
Je, CHADEMA watafanikiwa kwa njia hii?
Mimi sio chadema na nimeanza kuzungumza na familia yangu. Maana sipendezwi na huu uhuni unaoendelea. Najua hutaamini ila mpaka kadi na vyeti vya ccm ninavyo na ni moja kati ya wanufaika na mfumo uliopoKwasabu chadema wapo wachache hawatofanikiwa ,labda wananchi kwa ujumla bila kujali vyama ndio hiyo kitu itawezekana kumbuka walisusia voda mpaka sasa inadunda
Sio uzushi. Ni technique ambayo huwa inafanya kazi kama itakua na mwitikio mkubwaHuu ni uzushi wako mwenyewe, acha kudanganya watu.
Chadema wanaweza kuwa na kasoro kadhaa lakini sio kukosa akili kiasi hiki kwamba wadhani wakisusia bidhaa itakuwa na impact kwenye uchumi kwa sababu hata CCM wakisusia hakuwezi kuwa na impact.
Kwa hiyo hii kitu umejitungia kichwani halafu unaileta hapa ukisingizia Chadema
Ni kuandamana bila kuumizana na polisi. Hakuna utoto maana unapunguza matumizi yasiyo ya lazimaIla ukitafakari nje ya box utagundua kususa ni utoto.
Mfano usipokunywa bia soda au ukaacha kwenda disko au makanisani nani anapata faidaHayupo wa kufanya huo ujinga
Nadhani anayesema nhaya ni mtoto maana hata faida ya kusave hela haijui i ststed serikali haitaoata hela zangu kizembe.Ni kuandamana bila kuumizana na polisi. Hakuna utoto maana unapunguza matumizi yasiyo ya lazima
Hayupo wa kufanya huo ujinga
Mpesa ndio inajifia maana watumiaji ni sisi ambao tumeshasusa. Situmii tena mpesa wala mfumo wowote wa kifedha wa mitandao ya simu kutokana na tozo. Sio mimi tu, ni woteVoda unajua hali yake lakini kwa miaka 5 iliyopita.
Unajua mwaka Jana wametengeneza hasara ya 60 billions?
Kilichopi ni mpesa sio voda, voda ilishakufa kitambo sana .
Na mpesa wakicheza haya matozo inakufa nayo.
We ni mjinga sana inamaana huon serekali haitumii jukwaa huru kushinda na chadema alafu unawatuhumu wameshindwa kwa hoja, Tanzania ina wajinga wengi na watu wasiojielewaHili halitafanikiwa Mkuu.
Labda niweke hili wazi! Chadema imeshapoteza mbinu/akili ya kupambana na CCM. MBOWE akili yake imesha staafu. Imma aombe watu wengine wamchoree mipango au atoke aruhusu akili nyengine iingie ifanye kazi. Kwa haya madrama mnayokwenda nayo yaani hamna kitu.
Hujui kituHayupo wa kufanya huo ujing