Huu mjadala wa kususia bidhaa na huduma ni hatari kwa uchumi wa nchi

Huu mjadala wa kususia bidhaa na huduma ni hatari kwa uchumi wa nchi

Huu ni uzushi wako mwenyewe, acha kudanganya watu.

Chadema wanaweza kuwa na kasoro kadhaa lakini sio kukosa akili kiasi hiki kwamba wadhani wakisusia bidhaa itakuwa na impact kwenye uchumi kwa sababu hata CCM wakisusia hakuwezi kuwa na impact.

Kwa hiyo hii kitu umejitungia kichwani halafu unaileta hapa ukisingizia Chadema
Ulisikiliza space jana?
 
Ukiingia twitter eneo lililotawaliwa na kigogo & the co utahisi Tanzania pana upinzani mkali mno ila njoo mitaani hakuna response yoyote.

Hao hao chadema walishawishi watu wavunje laini zao za voda ila kiko wapi na kilifikia wapi
 
Subiri uone mamilioni ya raia wakubali kujinyima kununua huduma na vitu fulanifulani ili kuinyima serikali kodi, hapo ndo utajua mbinu ya economic boycott inafanya kazi au la!

Kwa hiyo mbinu ya kuua uchumi utaitumia mwenyewe? Utawaambia nini wananchi kuhusu uharibifu huo wa uchumi? Wananchi watalipokeeje?
Au hayo ni ya kwenye ulimwengu wa Twitter pekee?
 
Ufinyu wa kufikiri. Wewe unadhani makusanyo yoote ya serikali yanaenda kulipa askari? Hujafikiria madawa hospitali, mishahara ya walimu na watumishi wengine n.k mambo luluki.

Lkn hiyo kampeni yenu inabidi mjipange, maana hilo mnaloliwaza, hampambani ni ccm bali mnapambana na wananchi. Maana ukisema unapambana na serikali, kwa lugha nyingine ni kuwa mnapambana na wananchi. Kama lengo lenu ni kuwa dhidi ya wananchi, ni kwamba mmeshindwa kabla ya kuanza vita.
Wananchi wenyewe ndo watashiriki kwa hiyari yao, wasiotaka basi wanaendelea na maisha yao kiroho safi
Ila kwa wale watakaojitolea kushiriki hiyo boycott lazima joto lifike magogoni huko, maana serikali hata ikiporeza bilion 10 tu kwa mwezi hiyo ni pesa nyingi sana!
 
Wananchi wenyewe ndo watashiriki kwa hiyari yao, wasiotaka basi wanaendelea na maisha yao kiroho safi
Ila kwa wale watakaojitolea kushiriki hiyo boycott lazima joto lifike magogoni huko, maana serikali hata ikiporeza bilion 10 tu kwa mwezi hiyo ni pesa nyingi sana!

Mtawashirikishaje wananchi? Kumbuka Twitter hamzidi hata 500k.
 
Huko ndiko kuishiwa mbinu!

Mwenzako anacheza DEMOGHASIA na si DEMOKRASIA wewe unataraji fair play?

Bado unatumia mbinu zilezile za wazi ambazo unajua piga uwa anazimudu?

Kama hujaishiwa mbinu ni nini hiki?
Waendelee kutumia non violence it pay off in the future, tofauti na hapo unawaambia watumie violence
 
Mpaka sasa mimi nimesitisha kutuma pesa kwa njia ya muamala ya simu. Na sinunui chochote kwenye duka la mwanaccm, huku ni kishawishi watu wengi kufanya hivyo. Nitanunua kitu kwa mwanaccm inaposhindikana. Pia unahakikisha kushawishi wapinzani hakuna kuhudhuria sherehe wala msiba wa mwanaccm. Jamaa yangu kafiwa na mama yake mwanaccm, nimemwambia natoa mchango tu ila msiba wa mwanaccm sihudhurii. Na kwenye kikao cha mazishi nikalisema hilo wazi. Nilifurahi maana niliwagawa watu kwenye msiba ule. Mjinga mmoja wa ccm anaitumia sms usiku kuwa hivyo sio vizuri kwakuwa sisi ni watanzania. Sijamjibu huo upuuzi.
Eh! Wewe una akili nyingi sana, na kwa kitendo hicho ulichomfanyia jamaa yako Nafikiri kila mmoja ana kuona shujaa! Utalinganishwa na watu kama Gandhi, Mandela, Martin Luther, Lumumba na Che kwa kitendo hicho ulichomfanyia jamaa yako! Una matendo mema sana!
 
Hao wapumbavu wa twitter nani ana habari nao? Tukisusia watatuletea maendeleo?
Mkuu lakususia linawezekana kabisa tena linafanya kazi vizuri.

Hukumbuki Wakenya walivyosusia bidhaa zitokanazo na wanasiasa wa upande wa Jubilee ulivyoteteresha uchumi hadi kufikia kukaa meza moja na wapinzani?

Mfano mimi ndo baba wa familia mbona hilo lakususia linawezekana vizuri kabisa na wala sipigwi mabomu.
 
Ufinyu wa kufikiri. Wewe unadhani makusanyo yoote ya serikali yanaenda kulipa askari? Hujafikiria madawa hospitali, mishahara ya walimu na watumishi wengine n.k mambo luluki.

Lkn hiyo kampeni yenu inabidi mjipange, maana hilo mnaloliwaza, hampambani ni ccm bali mnapambana na wananchi. Maana ukisema unapambana na serikali, kwa lugha nyingine ni kuwa mnapambana na wananchi. Kama lengo lenu ni kuwa dhidi ya wananchi, ni kwamba mmeshindwa kabla ya kuanza vita.
Ulisoma chuo gani mkuu?
 
Hao wapumbavu wa twitter nani ana habari nao? Tukisusia watatuletea maendeleo?
Msipuuze kila kitu vingine vitakuja kutokea kwa surprise.

Mfano tu suala la miamala ya simu kushuka kwa zaidi ya 75% huoni Serikali inavyohaha kulishughulikia?
 
Kwasabu chadema wapo wachache hawatofanikiwa ,labda wananchi kwa ujumla bila kujali vyama ndio hiyo kitu itawezekana kumbuka walisusia voda mpaka sasa inadunda
Voda iliyumba pakubwa sana hadi wanahisa wakubwa kama kina Rostam kufikia kuuza hisa zao zote unadhani ni mchezo?

Na hapo waliosusia walikuwa wachache sana maana hapakuwa na hamasa kubwa.
 
Huu ni uzushi wako mwenyewe, acha kudanganya watu.

Chadema wanaweza kuwa na kasoro kadhaa lakini sio kukosa akili kiasi hiki kwamba wadhani wakisusia bidhaa itakuwa na impact kwenye uchumi kwa sababu hata CCM wakisusia hakuwezi kuwa na impact.

Kwa hiyo hii kitu umejitungia kichwani halafu unaileta hapa ukisingizia Chadema
Mkuu are you serious kususia bidhaa hakuwezi kuleta athari za kiuchumi?
 
Mtaani watu wanapambana na mambo yao, hawana habari na mambo ya kususia.
Hivi huko mtaani mnakokuzungumziaga ni wapi? Maana sisi tuliopo humu ndo hao hao tunaoishi mtaani.
 
Lema na Lisu waliwahi kuja na kampeni kwamba wafuasi wao wasusie laini za voda,, na kweli wafuasi wajinga wakawa wanatuma vipicha eti wamevunja laini za voda.

Siku walipokamatwa hao kina Lema wakatoa namba zao za voda kwa ajili ya kupokelea michango [emoji23][emoji23][emoji23]

Ni ujinga
Waweza kususia huduma zingine za voda ukabaki na M-PESA tu kwa malengo fulani.
 
Na wewe unaamini wametengeneza hasara?

Na hata kama wametengeneza hasara ni kwa ajili ya uzembe wao.

Mfano mimi mwaka jana sikuweka salio kabisa sababu ya ughali wa vifurishi vyao.
Kwanini halotel, airtel na tigo wao wapate faida wakati ughali wa vifurushi ulikuwa kwenye makampuni yote?
 
Back
Top Bottom